The Tan-talizer
Senior Member
- Mar 28, 2012
- 162
- 61
Kawaga is on Cleverly off..!!
Wacha tuone kile atafanya
Wacha tuone kile atafanya
Kwanini wachezaji wa United awawezi kupiga chenga na kuficha mipira
hivi nauliza ktk kumbukumbu kuna timu ishawai beba ubingwa mwezi march
Huu mpira wa kila mkishambulia ni kukimbilia hadi kwenye kibendera then unatia cross umepitwa na wakati sanaaaaa
Moyes tafuta tactics mpya
Mkifungwa leo top 4 ndio basi tena
Kocha anaacha kuingiza wachezaji wenye speed anaingiza wajinga kama kagawa
top four haipo zamani tu hata tukishinda leo.