Huyu cleverly aarggggyyyyyyy pumbaf kabisa...
man u tunashinda hii mechi ya leo.
bora angeanza giggs au fletcher huyu cleverley ana bahati sana
Mkuu ukiujua ukweli na ukaukubali ukweli huo unapata amani sana...under moyes hacha kabisa kujipa matumaini twende tukaangalie game tukiwa na moyo mweupee kwamba tukifungwa sio jambo la ajabu na wala sio bahati mbaya...ila kama ikitokea TUKABAHATISHA tukawashinda Man City tushangilie sana...
I am telling you brother huyu jamaa na bench lake la ufundi wametuaribia timu ni bora tufungwe tu..ili aondoke tu..ila ushindi nao naupenda
Yaani moyes kanikera mno kwa nini kamuweka kagawa nje ina maana cleverley ni bora kuliko kagawa??? Dah huyu jamaa sijui nani huwa anamshauri selection yake ya timu
Mwaka wa majangaJe huu ni mwaka wa kuchekana au kupeana pole?
Je huu ni mwaka wa kuchekana au kupeana pole?
Hii game Flecher ndio ingemfaa Kagawa,Cleverley hawawezi hii mechi