Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

😃😃😃dunia ya Europa
Una habari mmeshika mkia UEFA kwenye kundi lenu?

Mtaitafuta Europa hamtaiona

Kila sehemu nyie ni fungu la kukosa.

7hag mi5 tena 😆
 

Attachments

  • JamiiForums-1776405502.jpeg
    JamiiForums-1776405502.jpeg
    21.9 KB · Views: 9
Zamani nilikua nasikia mtu katapeliwa Kariakoo kwamba kanunua Simu kufika home anakuta sabuni

yaani ukimuangalia Antony utaamini ni kweli utapeli upo tangu enzi za nyerere

Congo-Brazilian material
20231110_151411.jpg
 
Back
Top Bottom