Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Everton yupo mkiani, hana cha kupoteza, kashapaka mkongo.. Kwa kifupi mjiandae.
Kesho naangalia mpira miguu juu!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
20231126_082827.jpg
 
Nyie hata point muwe sawa na wale nafasi za juu ,kwa mpira wenu wa janja janja mtapotea


Mmeshinda mechi 3 ,against mid teams halafu zimewasumbua Sana, kama luton

Magoli ya dakika za mwisho
 
Back
Top Bottom