Ambacho sielewi, inakuwaje 25% akawa ndiyo owner na mwenye maamuzi kuzidi 75%? Kuna kitu nimemiss.Sir Jim namuona ni mtu anaeujua mpira, naona mateso sasa bac. Mijitu ya hovyo kama sancho, martial, na anthony watauzwa january. Na hao wastaafu hapo kwenye picha nao wanaeza kuuzwa.View attachment 2823399
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Yeah kwa hizo 25% kapewa nguvu kwenye depertment ya kusimamia masuala ya kiufundi na performance ya timu.Ambacho sielewi, inakuwaje 25% akawa ndiyo owner na mwenye maamuzi kuzidi 75%? Kuna kitu nimemiss.
Everton yupo mkiani, hana cha kupoteza, kashapaka mkongo.. Kwa kifupi mjiandae.
Kesho naangalia mpira miguu juu!
Last 5 matchLeo kajichanganya kayatimba
Bado mnawaza historia.. Haya, mimi nipo pale!Last 5 match
Man United won 4/5
GLORY GLORY MANCHESTER UNITED
Yani hiki kikundi chote kina goli 1 tu!😂🙌
Labda mki shinda njaaMaajabu haya..
Yaani leo tukishinda City atakuwa anatuzidi point tano na Liverpool atakuwa anatuzidi nne..