Bagabeach
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 1,392
- 2,876
Yeah kwa hizo 25% kapewa nguvu kwenye depertment ya kusimamia masuala ya kiufundi na performance ya timu.Ambacho sielewi, inakuwaje 25% akawa ndiyo owner na mwenye maamuzi kuzidi 75%? Kuna kitu nimemiss.