hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Timu inayopambana kidogo tu,zimekuwa zinashinda vs manjesta,Utashangaa Everton anawafunga.
Huko UEFA sijui hata mlifika vipi !
Yaani mtakaamgwa![]()
Timu inayopambana kidogo tu,zimekuwa zinashinda vs manjesta,Utashangaa Everton anawafunga.
Huko UEFA sijui hata mlifika vipi !
Yaani mtakaamgwa![]()
Janjajanja za 7Hag zimmegonga mwambaTimu inayopambana kidogo tu,zimekuwa zinashinda vs manjesta,
Kwahiyo tunaweza kubeba ligi sio??Pamoja na yoote,Man utd ndio tim iliyobeba point nyingi zaidi kwa michezo mitano iliyopita (point 12) kuliko tim yoyote epl.
Tofauti kati ya anayeongoza ligi na man utd ni point 7 pekee,ndio kwaanza tupo game ya 12 kati 38.
Wait,trust the process
Mnamkumbuka Weghorst striker la bolu aliekwenda kwa mkopo Manchester United kama mbadala wa Christian Ronaldo .
Akaondoka na goli 1 la deflection Carabao View attachment 2813745
JE wajua Ten hag ndani ya miaka miwili amesajili washabuliaji wawili ambao ni Hojlund na Weghorst
Maajabu hawajawahi kufunga hata goli 1 EPL .?View attachment 2813811
HUYU hoj ni top scorer UEFAHoj wapo sawa na nkunkuView attachment 2813270
Huyu ndo walisema hatutaleta timu uwanjani 😂🙌Mnamkumbuka Weghorst striker la bolu aliekwenda kwa mkopo Manchester United kama mbadala wa Christian Ronaldo .
Akaondoka na goli 1 la deflection Carabao View attachment 2813745
ana kamomentum flani kazuri kule. Huenda akawaokoa maana pamoja na kuburuza kwenu mkia, group lenu liko open kwa no. 2-4. Lolote lawezekana.HUYU hoj ni top scorer UEFA
Mnafuraahi kuona hamchezi UEFA leo!![]()
Tunajua nyumbu mnaburuza mkiaAsno unajua nn kuhusu UEFA kwendraaaa
The United Stand can confirm that Richard Arnold is leaving on good terms and club sources say that with building blocks in place for success on and off the pitch, now is the right time for Richard Arnold to step aside and seek new challenges. #mufcTunajua nyumbu mnaburuza mkia
Jean-Claude Blanc, the former Juventus chief executive who left a high-ranking role at Paris Saint-Germain last December to oversee the entire INEOS Sport portfolio, is under consideration to replace Arnold on a permanent basis. [@AdamCrafton_] #mufcUsilie basi 😀As if nyie mnao ongoza group ndo mnabeba Uefa Kumbe ndo tembo mtini siku zote
As if nyie mnao ongoza group ndo mnabeba Uefa Kumbe ndo tembo mtini siku zote


Tembo mtini