KENGE 01
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 1,769
- 4,389
Ivi yule dogo Malacia alitolewa mkopo au?
Ivi Fred dah mda mwingine unaona alikua anasaidia mfano combo ya Fred na Bruno ilikua balaa
Ivi Upara kwanini alimuacha Sabtzer akaenda kuchukua Upara mwenzie Sofia Amrabat ambae kiuhalisia hana maajabu yoyote zaidi ya kadi.
Daah Mpaka nauchoka Uzi Bayern ndio anamatumaini yetu..Ila JE wataweza kumfunga bayern??Gala naamini wakikomaa watampiga..Ila vilevile hata tukitoboa Makundi huko mbele zaidi tutakutana na watabe zaidi
Mimi naona tumalize wamwisho ili tusiende hata Yuropa
Ivi Fred dah mda mwingine unaona alikua anasaidia mfano combo ya Fred na Bruno ilikua balaa
Ivi Upara kwanini alimuacha Sabtzer akaenda kuchukua Upara mwenzie Sofia Amrabat ambae kiuhalisia hana maajabu yoyote zaidi ya kadi.
Daah Mpaka nauchoka Uzi Bayern ndio anamatumaini yetu..Ila JE wataweza kumfunga bayern??Gala naamini wakikomaa watampiga..Ila vilevile hata tukitoboa Makundi huko mbele zaidi tutakutana na watabe zaidi
Mimi naona tumalize wamwisho ili tusiende hata Yuropa

