Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

HIKI KITU HAMKUKITARAJIA NA HAKIWAPENDEZI KABISA UNITED KUWA NDANI YA TOP 6 BAADA YA GAME 12 BAADA YA KUANZA MSIMU KWA KUSUASUA!
Niwakumbushe tu kwamba arsenal iliyo form inamzidi man utd mbovu point 6 tu!
Kweli aisee, ila sisi pia hatuko kwenye form. Ila nyie sielewi mnafanya nini huku top 10, sembuse top 6. Mpo huku kwa namna isiyoeleweka.
 
Manjesta hata mkiambiwa muwe sawa na anayeongoza Ligi, top hamuwez kuingia

Mna kocha wa kawaida Sana

Mech Kama ya Luton ya kushinda hata 5 ,mnabahatisha 1-0


Ndio maana mkikutana na timu inajiweza kidogo tu mnahangaika na kula vipigo

Niliwaonya humu Copenhagen, Galatasaray watawapiga

Ndio maana mnashika mkia UCL
Nitajie timu mbovu EPL, ili tujitathimini make hata Luton sio mbovu, Fulham sio, Wolves sio EPL hakuna mbovu.
Arteta miaka kibao alikuw haijui top 4, sie wetu hajawahi maliza nje ya top 4.
Tulia, uzuri kocha wetu anadai bado kuna vitu na style anaiingiza, so ni promising land.
Nowdays ball linapigwa, na UCL tunatoboa mpk semi
 
Ivi yule dogo Malacia alitolewa mkopo au?
Ivi Fred dah mda mwingine unaona alikua anasaidia mfano combo ya Fred na Bruno ilikua balaa
Ivi Upara kwanini alimuacha Sabtzer akaenda kuchukua Upara mwenzie Sofia Amrabat ambae kiuhalisia hana maajabu yoyote zaidi ya kadi.

Daah Mpaka nauchoka Uzi Bayern ndio anamatumaini yetu..Ila JE wataweza kumfunga bayern??Gala naamini wakikomaa watampiga..Ila vilevile hata tukitoboa Makundi huko mbele zaidi tutakutana na watabe zaidi

Mimi naona tumalize wamwisho ili tusiende hata Yuropa
 
Nitajie timu mbovu EPL, ili tujitathimini make hata Luton sio mbovu, Fulham sio, Wolves sio EPL hakuna mbovu.
Arteta miaka kibao alikuw haijui top 4, sie wetu hajawahi maliza nje ya top 4.
Tulia, uzuri kocha wetu anadai bado kuna vitu na style anaiingiza, so ni promising land.
Nowdays ball linapigwa, na UCL tunatoboa mpk semi
Hakuna kitu chochote anachoingiza 7hag ,anacheza ilimradi akipata matokeo inshallah ,akikosa analalamika ,

After international break vipigo vinarejea
 
Hakuna timu ya kumfunga Galatasalay hapa

Bayern anakuja kuwapiga Hapo Hapo sebuleni kwenu hata Europa hamuendi
 
Martinelli, Nketiah, Saka = 10 PL goals

Sterling, Jackson, Palmer = 14 PL goals

Son, Maddison, Kulusevski = 14 PL goals

Jota, Nunez, Salah = 18 PL goals

Haaland, Alvarez, Foden = 20 PL goals

Rashford, Hojlund, Antony = 1 PL goalView attachment 2812723
Hili lijamaa linaitwa Hamis likorofi kama Yoweri Kaguta ,huyo Hoju ni mdogo wake Haland 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hili lijamaa linaitwa Hamis likorofi kama Yoweri Kaguta ,huyo Hoju ni mdogo wake Haland
Hoj wapo sawa na nkunku
20231113_103845.jpg
 
Manjesta mpo kundi na wafuga ng'ombe wa Scandinavia, Copenhagen na wacheza movies kina Atur Bey ,

Cha ajabu mnashika mkia

Mngewekwa kundi na kina Sevilla ,Lens na PSV simngetoka na point 0
20231112_090143.jpg
 
Kuna wakati huwa nawaona wazungu nao ni kama wanabahatisha kwenye taaluma yao kiukweli utd sio mbovu kama watu wanavyodhani ila kuna wajinga wachache wapo kwenye hii timu wala hawajui wanachokitafuta. Kwa kiasi kikubwa ugonjwa wa timu yetu bado haujatibiwa na sijui ni kwanini makocha wote wameshindwa kubaini tatizo hasa la timu lipo wapi.

Kunaweza kuwa na matatizo mengine hasa ya menejimenti lakini tatizo letu kubwa hasa lipo kule mbele kwa winga na straiker zetu. Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kumuanzisha Rashford kila mechi wakati huyu hasa ndio kirusi cha timu kwa sasa ashukuriwe Mungu kwa sasa Martial aanzi why not Rashford?

Kila straiker anayekuja kucheza na huyu dogo lazima amfelishe kwa sababu ya ubinafsi wake tumeona hili kwa Igalo, Cavani, Lukaku na Ronaldo. Dogo ni mbinafsi na anaroho mbaya sijapata kuona. Sasa anakwenda kumfelisha Hodjlund. Haiwezekani timu kila mwaka inakuwa na goli difference negative au zisizozidi 15. Mwaka jana kipa bora kawa De gea lakini goli difference ni cha chache. Misimu karibu sita tunamaliza na vigoli vichache, hivi hawa wazungu waneshindwa kujua tatizo lipo wapi? Timu inahujumiwa na huyu Rashford atukatai kufungwa ila na sisi ingekuwa tunafunga goli nyingi tungekuwa kwenye nafasi nzuri. Tunaona City wanavyomtengenezea nafasi Haland huku kwetu Rashford anashindwa mtengenezea wenzake na akitengenezewa yeye hafungi. Yaani huwa na muangalia Ten hag huwa simmalizi sijui anashida gani huyu bwana na Rashfird wake.

Bado hamjasema
 
Manjesta hizi point mlizonazo Ni mechi mlizoshinda ,bado Kuna vipigo vingi na droo vinakuja

Naiona manjesta ikishika nafasi za 7-10

Kama unabisha ,njoo tuwekane sawa hoja kwa hoja
 
Back
Top Bottom