Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mnatushinda point 6 tu
Man u hana consistency,kama kwa Luton mlihangaika vile ,

Huwa mnababaishwa Sana na matokeo ,na ndio kipind huwa nakitumia kuwakumbusha

Manjesta hamna uwezo wakushinda mechi 4-5 mfululizo ,au mkasare angalau moja

Unakumbuka last season mliposema mnampiga Palace Kisha mnamfunga Arsenal mnaongoza Ligi , unakumbuka kilichowakuta,ikawa mwisho wenu mkaanza kugombea kubaki top 4


20231109_164619.jpg
 
Hii taarifa hamis77 na wahuni wenzie wa gunners haiwabariki kabisa Arteta kufunikwa na jasusi letu.
Hizi record Ni uchwara ,hata Unai Emery alizipata pale Arsenal

Mimi naiona Chelsea ya 10 ,kufika mbali sababu wanaunda timu shindani tofaut na manjesta ya ETH tapeli ambaye anaishi kwa matokeo ya zimamoto au BRN
 
Kila mwalimu na mbinu zake bana. Mbona huongelei Spurs mwenye GD 9 lakini yuko nafasi ya 4 wakati Newcastle ana yo 14?
Isitoshe Newcastle ana majeruhi wengi karibia hospital nzima hivyo naye simuoni akimaliza ligi kwa ubora aliokuwa nao siku aliyowafunga Arsenal 1-0.
Mkishashinda kwa papatupapatu ,mnaona Safi kabisa,

Mkianza vipigo mnasema Grazzer family

Mnataka mafanikio kwa ganda la ndizi,
 
#mufc have become frustrated by attempts by agents to push coaches into the running for Ten Hag's position.

The representative of a well-known manager, who is out of work, had a scheduled meeting cancelled because of concerns the conversation would focus on the potential uncertainty surrounding the manager's job.

[
@RobDawsonESPN
]
 
Pamoja na yoote,Man utd ndio tim iliyobeba point nyingi zaidi kwa michezo mitano iliyopita (point 12) kuliko tim yoyote epl.

Tofauti kati ya anayeongoza ligi na man utd ni point 7 pekee,ndio kwaanza tupo game ya 12 kati 38.

Wait,trust the process
 
Luton sio wepesi kama unavyodhani,muulize liverkuku aliambulia nini dhidi yao.
Suala la consistency sio man u peke yao,arsenal mechi 8 za mwisho msimu jana alipoteana hadi akashika namba 2 tu.
Unarukaruka Mara msimu Jana


Usije onekana humu unatukana Grazzer family
 
HIKI KITU HAMKUKITARAJIA NA HAKIWAPENDEZI KABISA UNITED KUWA NDANI YA TOP 6 BAADA YA GAME 12 BAADA YA KUANZA MSIMU KWA KUSUASUA!
Niwakumbushe tu kwamba arsenal iliyo form inamzidi man utd mbovu point 6 tu!
Sijawahi kuwa na hofu na manjesta hii ya tapeli ETH,hata tungekuwa sawa point
 
Pamoja na yoote,Man utd ndio tim iliyobeba point nyingi zaidi kwa michezo mitano iliyopita (point 12) kuliko tim yoyote epl.

Tofauti kati ya anayeongoza ligi na man utd ni point 7 pekee,ndio kwaanza tupo game ya 12 kati 38.

Wait,trust the process
Manjesta hata mkiambiwa muwe sawa na anayeongoza Ligi, top hamuwez kuingia

Mna kocha wa kawaida Sana

Mech Kama ya Luton ya kushinda hata 5 ,mnabahatisha 1-0


Ndio maana mkikutana na timu inajiweza kidogo tu mnahangaika na kula vipigo

Niliwaonya humu Copenhagen, Galatasaray watawapiga

Ndio maana mnashika mkia UCL
 
Pamoja na yoote,Man utd ndio tim iliyobeba point nyingi zaidi kwa michezo mitano iliyopita (point 12) kuliko tim yoyote epl.

Tofauti kati ya anayeongoza ligi na man utd ni point 7 pekee,ndio kwaanza tupo game ya 12 kati 38.

Wait,trust the process
Badilisheni kocha ndugu zetu...Kuna mechi tunaziona kabisa mkidundwa..msije kusema hatujawaambia
 
Back
Top Bottom