ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,549
- 7,987
Hatari sana huyu jamaa, nashangaa eti tukawa na Martial.RASMUS NI MCHEZAJI MZURI SANA
Hatari sana huyu jamaa, nashangaa eti tukawa na Martial.RASMUS NI MCHEZAJI MZURI SANA
chuma sema rashford mchoyo sjui alikua anapiga klosiLindeloooooooooof
dogo anajua afu ana NguvuHatari sana huyu jamaa, nashangaa eti tukawa na Martial.
wright phillips alikua anatembea sana labda kama theo walcott umesahau ile gemu tunampiga city goli nne kwa tatu pale old trafford 2009/2010 micheal owen anatupia goli dakika ya 94 phillips alitutesa sanaGarnacho ni jamii ya shaun wright phillips na theo walcott.
iko wazi, huyu ETH anampeleka taratibu.Sema hata hivyo mnawachezaji wa hovyo mtu kama martial
Jamaa anacheza mechi nyingi sanaa club na national team lazima achokeTunacheza vizuri, siamini kama hii ndio ile Luton ilimtoa kamasi Liverpool last week.
Kuna wakati itabidi Bruno nae aanzie bench. Amekuwa mzito sana siku hizi.
KwaniniBinafsi huu ushindi haujanifurahisha hata kidogo
Ni bora usisajili kabisa kuliko kusajili mchezaji asiye sahihi.ETH akipata middle wazuri 6 na 8 (eg Barela)
Winger nzuri zeny akili
CB, LB
huyu mzee mtampenda mdogo mdogo, ngonj sir jim atue ili asaidie kweny usajili makini.
Jana nimemuon du anahatari sana dgo yuko faster sana ana nguvu sanaGreenwood ana goli7 mpk sasa na ametoka gerezani, nyie foward yenu ina goli ngap?