Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wanakosanaje sasa mwingine nusu msimu yupo kwenye kitanda cha wagonjwa ?
Hoja za kipara
  1. Maguire anacheza vizuri kwa sasa, ni vigumu kumweka nje
  2. Both varane na maguire si wachezaji sahihi kucheza upande wa kushoto (LCB)
  3. lindelof na jonny evans wako mbele ya Varane kwa upande wa LCB, wote wanakosa passing angles blah blah blah!!!
  4. Ndio maana mechi ya man city kipara alipoulizwa kwa nini alianza jonny evans na maguire, alijibu
Tactical reasoning......
Akiwa na maana maguire ni mchezaji sahihi kwa RCB kuliko Varane kwa sasa.
 
Hivi ni kwanini byndir bey hachezi?? Hata mechi ndogo zote anasugua benchi je onana akiumia anaanzaje na hajawahi kupata hata dakika 5 tu uwanjani.
 
Hivi ni kwanini byndir bey hachezi?? Hata mechi ndogo zote anasugua benchi je onana akiumia anaanzaje na hajawahi kupata hata dakika 5 tu uwanjani.
Ili kuanza kujaribu wachezaji wachanga inatakiwa timu iwe inaongoza labda goli 3 na mko dakika ya 80 hapo ndio unaweza kuwajaribu vijana wageni. Sisi hatujawahi hata kuongoza goli 2 bila dakika ya 80 kwa hiyo ni ngumu watoto hao kupata nafasi.
 
Back
Top Bottom