D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,646
- 121,056
Standard yetu ya kiuchezaji imeshuka sana, walipotuona hatuna madhara hawa jamaa kuanzia dakika ya 25 wakaamua kwenda jino kwa jino dhidi yetu.
Walipocheza na liverpool muda wote walikuwa nyuma.
Tuna timu ya kucheza EUROPA na CONFERENCE LEAGUE.
Tusipumbazane
Walipocheza na liverpool muda wote walikuwa nyuma.
Tuna timu ya kucheza EUROPA na CONFERENCE LEAGUE.
Tusipumbazane