Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,731
Hivi ni kwanini byndir bey hachezi?? Hata mechi ndogo zote anasugua benchi je onana akiumia anaanzaje na hajawahi kupata hata dakika 5 tu uwanjani.
Ili kuanza kujaribu wachezaji wachanga inatakiwa timu iwe inaongoza labda goli 3 na mko dakika ya 80 hapo ndio unaweza kuwajaribu vijana wageni. Sisi hatujawahi hata kuongoza goli 2 bila dakika ya 80 kwa hiyo ni ngumu watoto hao kupata nafasi.Hivi ni kwanini byndir bey hachezi?? Hata mechi ndogo zote anasugua benchi je onana akiumia anaanzaje na hajawahi kupata hata dakika 5 tu uwanjani.
Tulisema na sasa anaweka tu huko Germany!Halafu bado kuna mtu anasema Harry Kane hatufai kwasababu ya umri.
Hakuna striker Europe anayemzidi Kane (complete striker) kwa sasa. 🔥
Mnunueni broghton, vizee tulivyonavyo vinatutoshaTulisema na sasa anaweka tu huko Germany!
Kocha anampenda uchochoro Dalot kinoma..sema AWB hayupo kikosini.Erickson, Dalot ujinga bado unaendelea.
RASMUS NI MCHEZAJI MZURI SANATulisema na sasa anaweka tu huko Germany!
Hatari sana huyu jamaa, nashangaa eti tukawa na Martial.RASMUS NI MCHEZAJI MZURI SANA
chuma sema rashford mchoyo sjui alikua anapiga klosiLindeloooooooooof
dogo anajua afu ana NguvuHatari sana huyu jamaa, nashangaa eti tukawa na Martial.
wright phillips alikua anatembea sana labda kama theo walcott umesahau ile gemu tunampiga city goli nne kwa tatu pale old trafford 2009/2010 micheal owen anatupia goli dakika ya 94 phillips alitutesa sanaGarnacho ni jamii ya shaun wright phillips na theo walcott.