Sasa kama nyie ndo vibonde wetu tufanyaje sasa...
there is only one manchester which is united over.What side of manchester are you talking about Kigogo?!
dah so sad yaani hili linaumiza sana mi nahissi bado viongozi wa man u wanapaswa kufanya uamuzi wa busara wa kumtimua hata ikitokea kwa bahati tukashinda mechi zetu zote za ligi zilizobakiInaonekana Moyes anakamzizi mashabiki 2liomba sana Man ifungwe zile mechi 2 ili atimliwae na aje kocha mwenye kiwango lkn doooo wameshida zote na jamaa ataendelea kuwa kocha kwaiyo presha iko palepale
Man utd leo watajuta....
Umeona enheh!! Hata mimi nilikua naomba tufungwe gemu tatu mfululizo lakini imeshindikana. Kilichobaki tumuunge mkono tu ili tushinde mchezo wetu wa leo. Ila ukweli ubaki pale pale "MOYES sio Kocha wa kiwango tukitakacho mashabiki".Inaonekana Moyes anakamzizi mashabiki 2liomba sana Man ifungwe zile mechi 2 ili atimliwae na aje kocha mwenye kiwango lkn doooo wameshida zote na jamaa ataendelea kuwa kocha kwaiyo presha iko palepale
Mie hata sishangilii man united watajuwana wenyewe City na united. YNWA.leo naona Chalsea, Liverpool na Arsenal wanaomba Manchster United amfunge Manchester City, ili wampunguze makali
there is only one manchester which is united over.
Manchester siyo united tena.
even if ila kuifunga man u ot sio kazi rahisi
even if ila kuifunga man u ot sio kazi rahisi kihiivyo kama mnavyodhani hasa ukizangatia mechi ya leo ni derby antything can happen. though man c is favourite to win
nayajua yote hayo ila kufungwa na man city au liverpool tena nyumbani ni kitu ambacho man u hawawezi kukubali labda tuzidiwe uwezo.otherwise tutapambana mpk tone la mwishoBut kumbuka kuna kipindi ilifika wakati watu walikuwa hawapendi kabisa kuchezea uwanja wa Nyumbani na kama sijakosea mmefungwa mechi nyingi za nyumbani msimu huu kuliko zile za away.
mkuu mbona unkata tamaaa mapema kumbuka hii ni derby eehh haijalishi nani na nani katufunga likija kwenye suala la derby inakuwa ni swala jingine kabisa.Mkuu hizo za huwezi kuifunga Man U Ot zimebaki story...Moyes katusaidia kuitoa hiyo bikra siku hizi kila mtu anajipigia tu...
Man U imekua kama kidemu cha kitaa tu, kila mtu anajipigia...makonda, masela, mafundi viatu, wacheze ndondo etc..akikutosa leo usikate tamaa eti ukamuona ni bonge la demu lenye msimamo we mkomalie tu kesho ake utamuona anang'ata vidole ukikaza tena kidogo huyo kiulaini anakupa tu..hana noma haijarishi yuko home au away..
mkuu mbona unkata tamaaa mapema kumbuka hii ni derby eehh haijalishi nani na nani katufunga likija kwenye suala la derby inakuwa ni swala jingine kabisa.