Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mashabiki ni wanafki sana na nimegundua fans wengi wa man united hawajui tatizo ni nini mbona Liverpool, arsenal hizi team Zipo chini ya wa marekani na mbona hazina tatizo km man united Sawa grazzers hawajui mambo ya mpira kwani Kuna lazima mmiliki akajua mambo ya mpira

Miaka yote wanatoa pesa kama ten Hag Ana kisingizio gani
Casemiro + malacia +antony+ mount+ baydir + martinez + hojlund +onana + amrabat na regulon
Hawa wote uki jumuisha Me spend inafika £400 millions
Hakuna kocha alie spend pesa nyingi kuliko huyu yoyote alie wahi pita miaka ya karibuni na

Hapa kosa la grazzers ni lipi Hawa wote ame wataka mwenyewe kocha kaletewa na bado hawezi kuwatumia na ukiangalia Hawa wote hawaendani na falsafa yake ya mpira ukitoa onana na lisandro walio bakia wote sio wa total football why a spend pesa nyingi kwa wachezaji ambao hawaendani na mbinu zake

Tatizo ni huyu huyu kocha ni avarage kocha

Pale Ajax alikua Ana fanyiwa kila kitu na van de Sar huku akapewa mamlaka ambayo makocha wote walio pita hawajapewa ame sikilizwa km sir Alex anacho taka anafanya

Kinacho fanyika uwanjani ni kipi kocha Ana jeuri kiburi hashauriki yeye kila kukicha mizozo na wachezaji

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app

Hizo timu ulizozitaja kazifatilie mifumo Yao ya uongozi afu fatilia na Manchester United nadhani utapata jibu lako au kamsikilize bwana Edu wa arsenal ka interview kake ka majuzi apo
 
Records broken so far this season -

- Manchester United hadn't lost 5 of the opening 10 league games in 36 years, until Erik Ten Hag

- Galatasaray hadn't won a game on English soil in 117 years of existing, until Erik Ten Hag.

- Manchester United had never lost the opening 2 CL group games, until Erik Ten Hag.

- Manchester United had never conceded 7 goals in the opening 2 CL group games, until Erik Ten Hag.

- Manchester United had never conceded 3+ goals in back to back CL games, until Erik Ten Hag

- Galatasaray hadn't scored in or won an away goal in the CL since 2015, 3 in one game as soon as they meet Erik Ten Hag.

- Manchester United hadn't lost 4 of the opening 7 games in PL history, until Erik Ten Hag

- Manchester United haven't had as few as 9 points from the opening 7 games since 1989, until Erik Ten Hag

- Manchester United hadn't conceded 4 goals in a CL group game in 28 years, until Erik Ten Hag.

- Manchester United hadn't conceded 3+ goals in 3 consecutive games since 1978, until Erik Ten Hag.

- Manchester United had never lost at the Tottenham Hotspur stadium, until Erik Ten Hag.

- Manchester United hadn't lost the opening two away games since 1973-74, until Erik Ten Hag.

- Manchester United hadn't conceded more than one goal in 4 consecutive league games since 1979, Until Erik Ten Hag.

- Manchester United had never conceded 2 goals in the opening 4 minutes of a PL game at Old Trafford, Until Erik Ten Hag

- Manchester United had never conceded 23 shots in one game at Old Trafford in PL history, Until Erik Ten Hag

- Brighton had never won twice in a row at Old Trafford, until Erik Ten Hag
 
Hizo timu ulizozitaja kazifatilie mifumo Yao ya uongozi afu fatilia na Manchester United nadhani utapata jibu lako au kamsikilize bwana Edu wa arsenal ka interview kake ka majuzi apo
Acha Tu Yani hii unaniumiza balaa Acha njkachek interview yake pengn nitapata mwanga

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Shida sio wachezaji shida ni mfumo kutokana na watu ulionao,lini umemuona kocha anachezesha mfumo mwingine zaidi ya 4-2-3-1 hapa ndio shida iliopo,huu mfumo unataka watu kukimbia muda mwingi hao watu utd hakuna,kwa leaking ya magori alitakiwa kufanya switch to either 3-5-2 or 4-5-1 ili kufanya watu wasikimbie sn otherwise kwa mfumo wake apandishe madogo wa u23/21/18 wamsaidie bilahivyo watamuondosha
ume uwa band , mie nalia na kocha , mmiliki ana fanya kazi yake vema!


Tena Hag kafel kwenye chemistry ya timu , no team work


Na kocha mzuri ni yule anaye badilika kulingana na Wachezaji waliopo.


Timu hii hii akipewa kocha Mwingine ina wwza tembeza ball sana


Gunnar alikuww mchocu lakini alikuwa na style ya kutafuta magoli si 10 Hag

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
ume uwa band , mie nalia na kocha , mmiliki ana fanya kazi yake vema!


Tena Hag kafel kwenye chemistry ya timu , no team work


Na kocha mzuri ni yule anaye badilika kulingana na Wachezaji waliopo.


Timu hii hii akipewa kocha Mwingine ina wwza tembeza ball sana


Gunnar alikuww mchocu lakini alikuwa na style ya kutafuta magoli si 10 Hag

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
ukitaka kujua mtupu ili acheze mpira kama ajax lazma apate wachezaji wengi wa ajax au alivyomkosa de jong ndo basi tena hawezi kucheza hivyo yani dunia nzima mchezaji ni de jong tu na angempata kisha akaumia msimu mzima ?
 
Kama wewe mpka leo unaamin tatzo ni makocha basi huijui Manchester United
kabla ya kusaini mkataba si tuliambiwa katoa masharti yake ndo mana kakubali kuja na kwann alimkataa yule babu wakati alikuwa anasema ukweli na mzuri kwenye usajili ! sababu gani ilimfanya amtake mount kwa nguvu zote au alilazmishwa ? hata tusiojua mpira kuna viungo kibao wazuri tunawajua
 
ukitaka kujua mtupu ili acheze mpira kama ajax lazma apate wachezaji wengi wa ajax au alivyomkosa de jong ndo basi tena hawezi kucheza hivyo yani dunia nzima mchezaji ni de jong tu na angempata kisha akaumia msimu mzima ?
Huyo kocha uwezo mdogo
 
Mashabiki ni wanafki sana na nimegundua fans wengi wa man united hawajui tatizo ni nini mbona Liverpool, arsenal hizi team Zipo chini ya wa marekani na mbona hazina tatizo km man united Sawa grazzers hawajui mambo ya mpira kwani Kuna lazima mmiliki akajua mambo ya mpira

Miaka yote wanatoa pesa kama ten Hag Ana kisingizio gani
Casemiro + malacia +antony+ mount+ baydir + martinez + hojlund +onana + amrabat na regulon
Hawa wote uki jumuisha Me spend inafika £400 millions
Hakuna kocha alie spend pesa nyingi kuliko huyu yoyote alie wahi pita miaka ya karibuni na

Hapa kosa la grazzers ni lipi Hawa wote ame wataka mwenyewe kocha kaletewa na bado hawezi kuwatumia na ukiangalia Hawa wote hawaendani na falsafa yake ya mpira ukitoa onana na lisandro walio bakia wote sio wa total football why a spend pesa nyingi kwa wachezaji ambao hawaendani na mbinu zake

Tatizo ni huyu huyu kocha ni avarage kocha

Pale Ajax alikua Ana fanyiwa kila kitu na van de Sar huku akapewa mamlaka ambayo makocha wote walio pita hawajapewa ame sikilizwa km sir Alex anacho taka anafanya

Kinacho fanyika uwanjani ni kipi kocha Ana jeuri kiburi hashauriki yeye kila kukicha mizozo na wachezaji

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Umeongea ukweli mtupu

Grazzer Wana makosa Yao ,ila huyu kocha wenu kimbinu Ni mweupe Sana

Kuna watu wanasema mbona mwaka Jana alifanya vzr ,mm nakataa huwa nasema Kuna factors zilimbeba last season na anguko lake nililiona mbelen

Tabia yakuwa outplayed na timu ndogo haijaanza mwaka huu Ni toka last season,Ni vile mashabiki wamejaa mihemko timu ikishinda hawaangalii imeshindaje .

Rejea mechi vs Arsenal pale OT ,mnashinda 3-1 , as Arsenal fan nilifurahia timu yangu japo ilifungwa ila nilishangaa Sana man u kushinda kwa mpira ule ,

Kuna a lot of matches,vs Leicester man u anashinda Lakini kwa Hali ngumu Sana .

Kocha unapewa timu Kama man u ,miaka hii bado unataka ucheze kaunta attack football, Tena ukimtegemea Rashford maana ndio anafiti hiyo falsafa
 
kabla ya kusaini mkataba si tuliambiwa katoa masharti yake ndo mana kakubali kuja na kwann alimkataa yule babu wakati alikuwa anasema ukweli na mzuri kwenye usajili ! sababu gani ilimfanya amtake mount kwa nguvu zote au alilazmishwa ? hata tusiojua mpira kuna viungo kibao wazuri tunawajua
ETH kashapagawa ,anasema KAMWE hataweza kucheza Kama Ajax

Wakati anamsajili Lisandro ,Onana ,mount ,Hojlund ,amrabat malengo yake ilikuwa kucheza aina gan ya football?

Unaona kabisa hata anachofanya hakieleweki

Kwasasa kagundua kashaingiza hasara ,Hawa wachezaji hawezi kuwaondoa ,

ETH ndiye kocha aliyependelewa na Grazzer family kuliko wote waliopita baada ya Fergie

Lakini ndiye kawa disappoint kwa kiwango kikubwa
 
Kama wewe mpka leo unaamin tatzo ni makocha basi huijui Manchester United
Ana hoja ,unajua Kwanini ETH ndiye kocha pekee aliyepewa nguvu katika usajili ,na ndiye kocha aliyepewa title ya manager toka Sir Fergie?

ETH ndiye kocha ambaye Sajili 98% Zina Baraka zake ,

Alimtaka Anthony , Grazzer family wakaona wasirudie makosa ya kutompa kocha mahitaji yake Kama walivyofanya nyuma , Grazzer wakavunja benk wakatoa €100m ili aridhike

Akamtaka Onana,mount,amrabat ,Sajili zote hizo Grazzer family wakapambana azipate kwa gharama yoyote

Na isingekuwa FFP angeletewa na mabeki aliowataka

Kwanini Sasa yeye Kama kocha asilaumiwe kwa kushindwa kuweka mifumo mizuri ,n.k

Hao wachezaji wote aliowataka wote profile tofautitofauti

Grazzer family ndio walihakikisha hata kwa Frenkie De Jong wanatoa pesa Barca wanayoitaka ,tuliona had Barca walikubali kumuuza kwa €75-85m ,deal ilikuwa agreed

,Mwisho FDJ alikataa mwenyewe


Ni kocha gani amewahi pata sapoti kubwa kiasi hiki toka aondoke Fergie?


Amuulize mwenzie Ole gunar aliwahitaji kina Bellingham,Jude,rice,Caicedo,n.k hakuletewa ,akaletewa Cr7

Na bado Ole hakuwa outplayed na promoted teams,hakukosa structure ya uchezaji .,
 
Ana hoja ,unajua Kwanini ETH ndiye kocha pekee aliyepewa nguvu katika usajili ,na ndiye kocha aliyepewa title ya manager toka Sir Fergie?

ETH ndiye kocha ambaye Sajili 98% Zina Baraka zake ,

Alimtaka Anthony , Grazzer family wakaona wasirudie makosa ya kutompa kocha mahitaji yake Kama walivyofanya nyuma , Grazzer wakavunja benk wakatoa €100m ili aridhike

Akamtaka Onana,mount,amrabat ,Sajili zote hizo Grazzer family wakapambana azipate kwa gharama yoyote

Na isingekuwa FFP angeletewa na mabeki aliowataka

Kwanini Sasa yeye Kama kocha asilaumiwe kwa kushindwa kuweka mifumo mizuri ,n.k

Hao wachezaji wote aliowataka wote profile tofautitofauti

Grazzer family ndio walihakikisha hata kwa Frenkie De Jong wanatoa pesa Barca wanayoitaka ,tuliona had Barca walikubali kumuuza kwa €75-85m ,deal ilikuwa agreed

,Mwisho FDJ alikataa mwenyewe


Ni kocha gani amewahi pata sapoti kubwa kiasi hiki toka aondoke Fergie?


Amuulize mwenzie Ole gunar aliwahitaji kina Bellingham,Jude,rice,Caicedo,n.k hakuletewa ,akaletewa Cr7

Na bado Ole hakuwa outplayed na promoted teams,hakukosa structure ya uchezaji .,
Unajua sababu ya ole gunner kutoka united, ametuacha nafasi ya sita EPL.
Muda mbaya ukifika, umefika.
Kikubwa tuvumilie, na tuanze kutafuta wachezaji sahihi, umri sahihi, na kwa wakati sahihi.
wachezaji wa United ni wachovu sana na hawaumii kwa ajili ya timu.

Kosa la ETH ni bado hajaweka chemistry na kuwapa wachezaji fighting spirit ya kuleta matokeo dakika ya 1 mpk 90, match 1 had nyingne.
Lakini akipewa muda vyote, atavifanya
 
Unajua sababu ya ole gunner kutoka united, ametuacha nafasi ya sita EPL.
Muda mbaya ukifika, umefika.
Kikubwa tuvumilie, na tuanze kutafuta wachezaji sahihi, umri sahihi, na kwa wakati sahihi.
wachezaji wa United ni wachovu sana na hawaumii kwa ajili ya timu.

Kosa la ETH ni bado hajaweka chemistry na kuwapa wachezaji fighting spirit ya kuleta matokeo dakika ya 1 mpk 90, match 1 had nyingne.
Lakini akipewa muda vyote, atavifanya
Tatizo haoneshi dalili za kufanya hivo Leo wale kesho ,Kama jahazi linaonesha limeshaingia maji linazama
 
Unajua sababu ya ole gunner kutoka united, ametuacha nafasi ya sita EPL.
Muda mbaya ukifika, umefika.
Kikubwa tuvumilie, na tuanze kutafuta wachezaji sahihi, umri sahihi, na kwa wakati sahihi.
wachezaji wa United ni wachovu sana na hawaumii kwa ajili ya timu.

Kosa la ETH ni bado hajaweka chemistry na kuwapa wachezaji fighting spirit ya kuleta matokeo dakika ya 1 mpk 90, match 1 had nyingne.
Lakini akipewa muda vyote, atavifanya
Tumpe miaka mingapi mkuu?? aweke hiyo chemistry wachezaji sahihi wake si ndo kina antony na malacia na mount au kuna wengine tusubiri wengine?.
 
Tumpe miaka mingapi mkuu?? aweke hiyo chemistry wachezaji sahihi wake si ndo kina antony na malacia na mount au kuna wengine tusubiri wengine?.
Fighting spirit ni km ile tulionyesha against Barcelona mwaka jana.
Lakini chemistry inataka wachezaji sahihi, ETH anamtaka Jean Todibo analetewa Evan's, kina mount, Antony, Casemiro na wengine wengi ni punic buy ambazo ndio kosa la top management.
Sasa makocha 7 wote wanalalamika au wanafelishwa na usajili.
Japo na yeye ni weak coz kocha bora unaanza na ulichonacho.
Binafsi siungi mkono wachezaji wa United, coz ndio wanaangusha makocha.
Rashford msimu uliopita kacheza vizuri na kumdaganya kocha kuwa usiwe na tabu kuhusu left wing, then rapidly kiwango kinashuka na kuwa hovyo, na hii wanavo wachezaji wengi wa United.
Wanatudaganya kwa 1 season performance then msimu ujao wanashuka viwango.
Maguire wa Leicester £80 million, unahisi ndio huyu wa leo kwanini akose mwendelezo hata wa performance yake binafs acha inayotengemea Chemistry ya timu.

united hatujui tatizo ni nini? Na ndio maana tuna tapatapa mwaka wa kumi sasa.

ETH sio tatizo pekee, wachezaji ndio tatizo, wahojiwe kwanini hawana mwendelezo wa match hadi match na msimu hadi msimu kama Salah, saka, halaand, kdb, kane, etc na waeleze kwanini wanacheza bila morali sababu hata kwa jicho la kipofu utagundua United player ni matapeli.
 

Tukiachana na utumbo wa glazers, ni kitu gani cha kubadilisha ili Man Utd iboreshe performance?
 
There are no plans to fire Ten Hag at present, but confidence in his abilities is not universal among those with United connections either. Some believe he has not fully adapted to the demands of the Premier League. Others consider that he is a good coach, but that he does not have the right personality for the situation in which United finds itself. [
@TheAthleticFC
] #MUFC
 
The comment about wanting to “play more football” after the win over Brentford, made by Ten Hag when explaining his decision to take Casemiro off at half-time, did not go down well inside the dressing room.Others raised eyebrows at Ten Hag’s decision to leave Raphael Varane out of the starting XI, picking Jonny Evans instead for United’s derby against Manchester City. [
@TheAthleticFC
] #MUFC
 
The comment about wanting to “play more football” after the win over Brentford, made by Ten Hag when explaining his decision to take Casemiro off at half-time, did not go down well inside the dressing room.Others raised eyebrows at Ten Hag’s decision to leave Raphael Varane out of the starting XI, picking Jonny Evans instead for United’s derby against Manchester City. [
@TheAthleticFC
] #MUFC
Kazi ya ukocha ni ngumu sana aiseee vaa viatu vya Erik sasaivi kwanza na wenda anafanya kila kitu kwenye uwanja wamazoezi ila wachezaji tu wameamua kumchania mkeka

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom