2 of Amerikaz most wanted
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 1,328
- 3,725
wewe ndo umekuwa mpuuzi sasaWewe kuangalia fainaili ya 99' haifanyi mawazo ya kipuuzi tuungane nayo
chambua mshabiki wa man wa mbele unaejua kupiga danadanaNarudi palepale kuwa hamna akili
Martial yupo sokoni pia hayupo kwenye plan za kocha ndio maana anafukuziwa Hojlund,pia Scott naye anauzwa na West Ham wanamtaka japo wanashindwa kufikia makubaliano ya dau.
So kocha kutokuwa na wachezaji bora ndio puppet wa wamiliki dah sijui umeishia la ngapi aisee mbona una akili za kitoto hivi kama jamaa yako.
Kocha kuzingua hayo ni matatizo yake msianze kumpa connection na Glazers ambao hata vurugu za mashabiki zimeshindwa kuwaondoa yeye ni nani awe against nao wakati ndio waliomuajiri pamoja na wachezaji wote.
Mashabikiwa Bongo kila kitu kujifanya wachambuzi wakati hata danadana kupiga ziro,trash![]()
Actually sancho is still a very good player.



Sasa tusikauke wakati ni uzi wa Man utd? Unataka tusikauke kwenye uzi wa livakuku we mpuuzi.Fulham anajiandaa kuyachinja haya mashetani.
Wachambuzi uchwara mmetokomea kusikojulikana
Kipindi mmebeba lile Coroboi mlikuwa hamkauki humu.
Mpuuzi mwenyeweSasa tusikauke wakati ni uzi wa Man utd? Unataka tusikauke kwenye uzi wa livakuku we mpuuzi.
Yani watu wanacomment kwenye uzi wao wewe unakuja kudiss? Ulitaka wakoment kwenye uzi wenu?Mpuuzi mwenyewe
Makasiriko ya Nini sasa?🤣
Ndio mrudi sasa kwenye uzi wenuYani watu wanacomment kwenye uzi wao wewe unakuja kudiss? Ulitaka wakoment kwenye uzi wenu?
Hatuna tabia za kimalaya kama zenu kufuata wanaume kujipitisha kila mara muonekane.