Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

FB_IMG_16988839210132507.jpg
 
Narudi palepale kuwa hamna akili


Martial yupo sokoni pia hayupo kwenye plan za kocha ndio maana anafukuziwa Hojlund,pia Scott naye anauzwa na West Ham wanamtaka japo wanashindwa kufikia makubaliano ya dau.

So kocha kutokuwa na wachezaji bora ndio puppet wa wamiliki dah sijui umeishia la ngapi aisee mbona una akili za kitoto hivi kama jamaa yako.

Kocha kuzingua hayo ni matatizo yake msianze kumpa connection na Glazers ambao hata vurugu za mashabiki zimeshindwa kuwaondoa yeye ni nani awe against nao wakati ndio waliomuajiri pamoja na wachezaji wote.


Mashabikiwa Bongo kila kitu kujifanya wachambuzi wakati hata danadana kupiga ziro,trash
chambua mshabiki wa man wa mbele unaejua kupiga danadana
 
Ubaya wa kushabikia hii timu

Siku ya mechi unajipa matumain labda leo tutafanya kitu

Unajitutumua unaenda kuangalia mechi

As usual wachezaji kama hawajatoka training yan wanaruka ruka tuu. Mnafungwa

Unasema siendi tena kuangalia mechi za ManU

Lakin siku ya mechi tena ikifika upo tena kuangalia

This cycle never end😃😃😃

Nimejifunza kwamba wengi bado tunaamini kuwa tutarudi kuwa bora

Ila kama wengi walivyosema tutafukuza makocha wengi ila tatizo ni Management

Mtakuja na blabla kwamba wanatoa hela ila kumbuka Mourinho na Ole Gunner sio wajinga kusema shida ya United sio kocha bali ni management
 
Back
Top Bottom