Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sijajua kocha anawaza nini lakini nadhani tulipofika ni point of no return yani kama anategemea hapo mbeleni hawa wachezaji wacheze vizuri na kushinda mechi anajidanganya mno.

December hafiki huo ndo ukweli au lah aweke wote benchi tuanze project mpya ndani ya project iliyofeli ya vijana kabisa,ni bora hao watushushe daraja sio hawa watu wazima hovyoo.
 
𝐓𝐀𝐊𝐀 𝐓𝐀𝐊𝐀

.........Erik Ten Haag Kufundisha Huyu Mtu Na Watu Wake Wale Wavivu Ni Kazi Sana Na Bahati Mbaya Kwake Alio Wasajili Wameingia Kwenye Mfumo Wa Kundi La Huyu Mwamba Jinga La Malkia Eliza.

Marcus Rashford Ana Mechi Ya 14 Kati Ya 15 Mpaka Sasa Hakuna Kitu Alichokifanya Na Ndie Mshambuliaji Tegemezi Pale Manchester United Na Ana Goli 1 Na Assists 2 Huwezi Kuta Mashabiki Wakiliongelea Hili.

Ten Hag Akisema Amuweke Benchi Mashabiki Wanalalamika Akimuanzisha No Impact Yeyote Kwenye Timu Huyu Ni Muuaji Mkubwa Wa Team .

Rashford Kukaba Kwake Tabu
Kuwapita Mabeki Kwake Tabu
Kukokota Mpira Kwake Tabu
Kufanya Pressing Kwake Tabu Bado
Kutoa Pasi Kwake Shida Vile Vie
Ndie Mchezaji Aliebadilishwa Nafasi Nyingi Pale Mbele Bado Goli Halioni.

Anacho Kifanya Ten Hag Ni Kumtumia Hivyo Hivyo Na Sio Kwamba Anamkubali Wala Nini Ila Dogo Kashikilia Mpini Na MBE Yake .

Kocha Aliyemtimua Ronaldo Kama Top Score Wa Timu Hawezi Mvumilia Rashford.
IMG-20231102-WA0056.jpg


Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
 
Mashabiki ni wanafki sana na nimegundua fans wengi wa man united hawajui tatizo ni nini mbona Liverpool, arsenal hizi team Zipo chini ya wa marekani na mbona hazina tatizo km man united Sawa grazzers hawajui mambo ya mpira kwani Kuna lazima mmiliki akajua mambo ya mpira

Miaka yote wanatoa pesa kama ten Hag Ana kisingizio gani
Casemiro + malacia +antony+ mount+ baydir + martinez + hojlund +onana + amrabat na regulon
Hawa wote uki jumuisha Me spend inafika £400 millions
Hakuna kocha alie spend pesa nyingi kuliko huyu yoyote alie wahi pita miaka ya karibuni na

Hapa kosa la grazzers ni lipi Hawa wote ame wataka mwenyewe kocha kaletewa na bado hawezi kuwatumia na ukiangalia Hawa wote hawaendani na falsafa yake ya mpira ukitoa onana na lisandro walio bakia wote sio wa total football why a spend pesa nyingi kwa wachezaji ambao hawaendani na mbinu zake

Tatizo ni huyu huyu kocha ni avarage kocha

Pale Ajax alikua Ana fanyiwa kila kitu na van de Sar huku akapewa mamlaka ambayo makocha wote walio pita hawajapewa ame sikilizwa km sir Alex anacho taka anafanya

Kinacho fanyika uwanjani ni kipi kocha Ana jeuri kiburi hashauriki yeye kila kukicha mizozo na wachezaji

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Mashabiki ni wanafki sana na nimegundua fans wengi wa man united hawajui tatizo ni nini mbona Liverpool, arsenal hizi team Zipo chini ya wa marekani na mbona hazina tatizo km man united Sawa grazzers hawajui mambo ya mpira kwani Kuna lazima mmiliki akajua mambo ya mpira

Miaka yote wanatoa pesa kama ten Hag Ana kisingizio gani
Casemiro + malacia +antony+ mount+ baydir + martinez + hojlund +onana + amrabat na regulon
Hawa wote uki jumuisha Me spend inafika £400 millions
Hakuna kocha alie spend pesa nyingi kuliko huyu yoyote alie wahi pita miaka ya karibuni na

Hapa kosa la grazzers ni lipi Hawa wote ame wataka mwenyewe kocha kaletewa na bado hawezi kuwatumia na ukiangalia Hawa wote hawaendani na falsafa yake ya mpira ukitoa onana na lisandro walio bakia wote sio wa total football why a spend pesa nyingi kwa wachezaji ambao hawaendani na mbinu zake

Tatizo ni huyu huyu kocha ni avarage kocha

Pale Ajax alikua Ana fanyiwa kila kitu na van de Sar huku akapewa mamlaka ambayo makocha wote walio pita hawajapewa ame sikilizwa km sir Alex anacho taka anafanya

Kinacho fanyika uwanjani ni kipi kocha Ana jeuri kiburi hashauriki yeye kila kukicha mizozo na wachezaji

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Nina mengi Sana kuhusu timu yangu hii daah

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Mashabiki ni wanafki sana na nimegundua fans wengi wa man united hawajui tatizo ni nini mbona Liverpool, arsenal hizi team Zipo chini ya wa marekani na mbona hazina tatizo km man united Sawa grazzers hawajui mambo ya mpira kwani Kuna lazima mmiliki akajua mambo ya mpira

Miaka yote wanatoa pesa kama ten Hag Ana kisingizio gani
Casemiro + malacia +antony+ mount+ baydir + martinez + hojlund +onana + amrabat na regulon
Hawa wote uki jumuisha Me spend inafika £400 millions
Hakuna kocha alie spend pesa nyingi kuliko huyu yoyote alie wahi pita miaka ya karibuni na

Hapa kosa la grazzers ni lipi Hawa wote ame wataka mwenyewe kocha kaletewa na bado hawezi kuwatumia na ukiangalia Hawa wote hawaendani na falsafa yake ya mpira ukitoa onana na lisandro walio bakia wote sio wa total football why a spend pesa nyingi kwa wachezaji ambao hawaendani na mbinu zake

Tatizo ni huyu huyu kocha ni avarage kocha

Pale Ajax alikua Ana fanyiwa kila kitu na van de Sar huku akapewa mamlaka ambayo makocha wote walio pita hawajapewa ame sikilizwa km sir Alex anacho taka anafanya

Kinacho fanyika uwanjani ni kipi kocha Ana jeuri kiburi hashauriki yeye kila kukicha mizozo na wachezaji

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Nasimama na ole Gunner na Mourinho tatizo la United ni kubwa sana kuliko tunavyozani...

Ronaldo kaenda kalud kakuta Gym ya Man U ipo vile vile
 
Mashabiki ni wanafki sana na nimegundua fans wengi wa man united hawajui tatizo ni nini mbona Liverpool, arsenal hizi team Zipo chini ya wa marekani na mbona hazina tatizo km man united Sawa grazzers hawajui mambo ya mpira kwani Kuna lazima mmiliki akajua mambo ya mpira

Miaka yote wanatoa pesa kama ten Hag Ana kisingizio gani
Casemiro + malacia +antony+ mount+ baydir + martinez + hojlund +onana + amrabat na regulon
Hawa wote uki jumuisha Me spend inafika £400 millions
Hakuna kocha alie spend pesa nyingi kuliko huyu yoyote alie wahi pita miaka ya karibuni na

Hapa kosa la grazzers ni lipi Hawa wote ame wataka mwenyewe kocha kaletewa na bado hawezi kuwatumia na ukiangalia Hawa wote hawaendani na falsafa yake ya mpira ukitoa onana na lisandro walio bakia wote sio wa total football why a spend pesa nyingi kwa wachezaji ambao hawaendani na mbinu zake

Tatizo ni huyu huyu kocha ni avarage kocha

Pale Ajax alikua Ana fanyiwa kila kitu na van de Sar huku akapewa mamlaka ambayo makocha wote walio pita hawajapewa ame sikilizwa km sir Alex anacho taka anafanya

Kinacho fanyika uwanjani ni kipi kocha Ana jeuri kiburi hashauriki yeye kila kukicha mizozo na wachezaji

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app

Kama wewe mpka leo unaamin tatzo ni makocha basi huijui Manchester United
 
Martial
Antiny
Dalot
Hawastahili kuanza hata ihefu cha ajabu wanaanza man united
Shida sio wachezaji shida ni mfumo kutokana na watu ulionao,lini umemuona kocha anachezesha mfumo mwingine zaidi ya 4-2-3-1 hapa ndio shida iliopo,huu mfumo unataka watu kukimbia muda mwingi hao watu utd hakuna,kwa leaking ya magori alitakiwa kufanya switch to either 3-5-2 or 4-5-1 ili kufanya watu wasikimbie sn otherwise kwa mfumo wake apandishe madogo wa u23/21/18 wamsaidie bilahivyo watamuondosha
 
Back
Top Bottom