Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,870
- 16,425
Man Utd ni Azam watupu!


Acha kuwafananisha Azam na vitu vya kijinga kijinga.Man Utd ni Azam watupu!


Acha kuwafananisha Azam na vitu vya kijinga kijinga.Ukingoni zimeishia mbio za sakafuni.Umeanza sasa.
![]()
Bado, tuna nafasiGary Neville criticises decision to sign Antony for £85m insisting 'it was NEVER a deal to do in those circumstances'![]()
Kila la kheriBado, tuna nafasi
Makosa yapo mengi lkn hayaashirii mwisho mbaya.
"Always there's a room for improvement "







laana ya kununua Mechi enzi za Howard webb haitawaacha salama Hahaha, na nyinyi si mlikua washiriki wa hilo Coroboi!Fulham anajiandaa kuyachinja haya mashetani.
Wachambuzi uchwara mmetokomea kusikojulikana
Kipindi mmebeba lile Coroboi mlikuwa hamkauki humu.