Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Gary Neville criticises decision to sign Antony for £85m insisting 'it was NEVER a deal to do in those circumstances'
 
Nyie wahuni mmepotelea wapi?

Ina maana wote mmetelekeza uzi?

Mashetani wekundu hebu rudini mchambue mbinu za professor wenu
Gengemkeni pressing
..eti gengen,waah,
Kiko wapi?
 
Bado, tuna nafasi
Makosa yapo mengi lkn hayaashirii mwisho mbaya.
"Always there's a room for improvement "
Kila la kheri
20231031_142126.jpg
20231030_183937.jpg
 
Siku hizi tunatembelea upepo wa Bruno na zile pasi zake ambazo awali tulimkosoa kuwa hana utulivu kama namba 10 halisi. Kwa risk taking anayofanya Bruno ndio maana tunaonekana hata mashambulizi tunafanya ila siku akipata majeruhi au akizira kukimbia uwanjani kama timu ni ya baba yake, ndani ya mechi 5 relegation hii hapa.

Timu inashindwa kumiliki mpira dhidi ya Coppenhagen,Sheffield, n.k?
 
Fulham anajiandaa kuyachinja haya mashetani.


Wachambuzi uchwara mmetokomea kusikojulikana

Kipindi mmebeba lile Coroboi mlikuwa hamkauki humu.
 
Fulham anajiandaa kuyachinja haya mashetani.


Wachambuzi uchwara mmetokomea kusikojulikana

Kipindi mmebeba lile Coroboi mlikuwa hamkauki humu.
Hahaha, na nyinyi si mlikua washiriki wa hilo Coroboi!
 
Back
Top Bottom