Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Bado, tuna nafasiGary Neville criticises decision to sign Antony for £85m insisting 'it was NEVER a deal to do in those circumstances'![]()
Kila la kheriBado, tuna nafasi
Makosa yapo mengi lkn hayaashirii mwisho mbaya.
"Always there's a room for improvement "







laana ya kununua Mechi enzi za Howard webb haitawaacha salama Hahaha, na nyinyi si mlikua washiriki wa hilo Coroboi!Fulham anajiandaa kuyachinja haya mashetani.
Wachambuzi uchwara mmetokomea kusikojulikana
Kipindi mmebeba lile Coroboi mlikuwa hamkauki humu.
Endelezeni sasa ule uchambuziHahaha, na nyinyi si mlikua washiriki wa hilo Coroboi!
Kipara ni fundi! Baadhi ya misimamo yake ndio inamgharimu yeye na timuEndelezeni sasa ule uchambuzi
Kuchambua ufundi wa kipara