D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Kiukweli katika kipindi cha pili winga wa city kuna mahaliwalikuwana huruma.Fukuzeni kocha kabla hamjakutana na Liverpool...wale ndo hawana huruma hata kidogo
City waliwahurumia, hawa walipaswa goli 5Kiukweli katika kipindi cha pili winga wa city kuna mahaliwalikuwana huruma.
Imagine wakutane na wahuni kina salah diaz na jota 7 ni chache
huyu jamaa hapa ndo kamaliza kabisamchezaji mbaya mwenye 30+goals kwa mwaka jana kwa team ambayo inazidiwa possession na Burnley, huyu rashford angekuwa Chelsea kuna matokeo yasingeisha yalivyo , Chelsea kafungwa Moja Bila na Astonvill na Nottingham, Chelsea kaenda 0-0 na Everton , Chelsea kafungwa 3-1 na kakosa penalt dhidi ya westham , 1-1 na Liverpool, muweke rashford kwa nafasi Chelsea anatengeneza matokeo yasingekuwa hivyo Jackson anakosa goli mpira wa kusuma hata na tumbo . Rashford ni Moja ya clinical finisher yupo team mbovu.
Wacha we mko vizuriWe are the famous fucking red devils. Leo mbinu ni ileile hakuna mabadiliko, tunakaa nyuma tunaziba space vizuri, tukipata mali inapigwa kwa Bruno, Bruno anapiga ndefu kwa Rashford... Kamba. Au tunapiga ndefu Moja Kwa Moja kumtafuta Hojlund ... Kamba
Kawe kocha weweHuyu ETH mseng* sana. Erickson anafata nini 1st eleven kwa mpinzani mwenye spidi kama huyu?View attachment 2797015
Kwaiyo siyo penalty?Hii penati kwa kweli duuuh! ni kweli kashikwa ila jinsi alivyoanguka duu! Pamoja na kuwa timu yetu sio nzuri akichezesha Tylaor au Michael Oliver gemu yetu kutoboa huwa ni ngumu sana sijui ni maono yangu au wote tunaona hivyo.
Refa ndiyo VARAsante kwa correction nilichanganya jina huyu refa huwa wa hovyo sana maamuzi yake huwa ni kama yakubahatisha bahatisha hivi ni kama hajiamini anapuliza philimbi kutwa hadi anapoteza ladha ya mchezo.
Amrabat je
Ili kuweza kushindana unahitajika uwekezaji mkubwa, nafasi moja inapaswa kuwa na wachezaji wazuri zaidi ya wawili. Leo hii DM anategemewa Casemiro pekee na ndio huyo ameshakuwa babu, akiwa nje ni msala.
Timu yetu baado saana!!
Ni kajinga kaleKwa kile alichofanya Anthony kwa Doku nitakua ni mtu wa mwisho kuamini kua wale wanawake waliomfungulia kesi ya kuwapiga walikua wanamsingizia. View attachment 2797221
Hii timu hata akija De Zerb nae ataonekana mbovu tu, mtu ukitaka kuharibu career yako ni uende kufundisha au kuchezea United.Nawaombea mshinde Jumatano
Why? Mkifungwa ETH atakuwa karibuni kufukuzwa na binafsi sipend afukuzwe
Man u ndio timu pekee top 6 inacheza mpira wa peke yake
Akifukuzwa kocha ajaye atafanya vzr , wachezaji mnawaona wabaya but wengi wazuri ila hawana proper structure
Prince Boateng anasema akiwa pale sassuolo na miaka 32 alikuwa Bora sana chini ya Di zerbi,anasema walikuwa wanatengenezewa structure mchezaji unakuwa na option had 6 zakupiga pass ukifanyiwa press
Angalia pale Brighton ,kina Dunk ,Gross wachezaji wa Cent 2 lakini wanapiga pass ,wale hata uwafunge kitambaa usoni ,hawapotezi mpira na wamekuwa wakifanya hivo hata kwa huyo Pep Guardiola
Tatizo la man u Ni poor structure ya kocha sio wachezaji
kajinga kalikuwa kamejaa upepo tangia kakiwa bench, kalidhani kufanya vile match itahairishwa.Ni kajinga kale