Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Jumamosi King Maguire atasimama pale mbele asaidiane na Højlund kutetemesha nyavu.Naona Maguire kuzaliwa upya.
Mmuanzishe mechi ya weekend dhidi ya City, ashirikiane na Evans kumzuia Haaland![]()
Maguire yule ni striker by nature ni vile tu makocha wa United wanashindwa kumchezesha kwenye position yake.








