Charlz ze son conscious
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 563
- 856
MWAMBA HUYU HAPA
Man United walikuwa hatarini kupoteza mechi ya 3 mfululizo ya EPL kabla ya Scott McTominay kuingilia kati hii kesi na kumfanya ETH kushangilia kama ametwaa taji la UCL
Kiukweli haya mapumziko ya mechi za kimataifa ETH inabidi ayatumie kutafakari sana kuhusu
1: Staili ya uchezaji ya Man United
2: Utambulisho wa timu ... wanajaribu kufanya nini ?
3: Utengenezaji wa nafasi bora za kufunga za mara kwa mara ... unamuangalia Hojlund halafu unafikiria chances kwake ziko wapi
4: Wachezaji wajiangalie sana kwenye kioo kama wanafanya vya kutosha ... makosa mengi sana tena ambayo yanajirudia mno .
5: McTominay ameziba tu ufa tu leo lakini bado kuna kazi kubwa sana ya kufanya ili Man United wawe na msimu bora
Thomas na Frank na Brentford yake , kama mchezaji wako bora anakuwa / wanakuwa mabeki basi kuna shida mahala na sio leo tu bali mechi kadhaa za msimu huu kama sio mabeki wake basi viungo mara chache wamekuwa ( Mbuemo na Wissa )
Leo Kristoffer Ajer , Pinnock ( hasa huyu mwamba ) na Collins walifanya kazi nzuri sana pale walipohitajika
1: Tackling
2: Defensive headers
3: Blocks
4: Kutumia miili yao kukabiliana na wachezaji wa United Physically .
AMBANGILE
Man United walikuwa hatarini kupoteza mechi ya 3 mfululizo ya EPL kabla ya Scott McTominay kuingilia kati hii kesi na kumfanya ETH kushangilia kama ametwaa taji la UCL
Kiukweli haya mapumziko ya mechi za kimataifa ETH inabidi ayatumie kutafakari sana kuhusu 1: Staili ya uchezaji ya Man United
2: Utambulisho wa timu ... wanajaribu kufanya nini ?
3: Utengenezaji wa nafasi bora za kufunga za mara kwa mara ... unamuangalia Hojlund halafu unafikiria chances kwake ziko wapi
4: Wachezaji wajiangalie sana kwenye kioo kama wanafanya vya kutosha ... makosa mengi sana tena ambayo yanajirudia mno .
5: McTominay ameziba tu ufa tu leo lakini bado kuna kazi kubwa sana ya kufanya ili Man United wawe na msimu bora
Thomas na Frank na Brentford yake , kama mchezaji wako bora anakuwa / wanakuwa mabeki basi kuna shida mahala na sio leo tu bali mechi kadhaa za msimu huu kama sio mabeki wake basi viungo mara chache wamekuwa ( Mbuemo na Wissa ) Leo Kristoffer Ajer , Pinnock ( hasa huyu mwamba ) na Collins walifanya kazi nzuri sana pale walipohitajika
1: Tackling
2: Defensive headers
3: Blocks
4: Kutumia miili yao kukabiliana na wachezaji wa United Physically .
AMBANGILE


