Bagabeach
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 1,355
- 2,792
Unatunza posts za ajabu.Wewe siulisema nafas ya 2 yenu
Na semi fainal UCL yenu
Unatunza posts za ajabu.Wewe siulisema nafas ya 2 yenu
Na semi fainal UCL yenu
Chelsea mtoe hapo leo anashinda vizuri tuhToday EPL games predictions
Luton 0-3Tottenham
Burnley 3-1 Chelsea
Everton 2:1Bournemouth
Fulham 2-0 Sheffield United
Manchester 1:2 Brentford
Crystal Palace 2-1N.forest
Stake all your savings
Kwahiyo ulikuwa umelewa?Unatunza posts za ajabu.


Nyie hamtabiriki ,napenda mshinde kwakweli ,ila Kuna baadh yenu Wana midomo haoChelsea mtoe hapo leo anashinda vizuri tuh
Chelsea tumejitafuta na tumejipataNyie hamtabiriki ,napenda mshinde kwakweli ,ila Kuna baadh yenu Wana midomo hao
Mm sijawahi kuwa na shaka na Pochettino ,Ni kocha mzuri mwenye tacticsChelsea tumejitafuta na tumejipata
Nyie Nyumbu leo Brentford tunataka points 3 au 1


Leo hata tukifungwa sio mbaya maana tayari tunacho kitu cha kusingizia, msiba wa mke wa Sir alex ferguson mama yetu Cathy Ferguson amefariki dunia.Hakuna Cha Nini Wala nini mkandwe tuLeo hata tukifungwa sio mbaya maana tayari tunacho kitu cha kusingizia, msiba wa mke wa Sir alex ferguson mama yetu Cathy Ferguson amefariki dunia.
Kwanza kwa tamaduni zetu Afrika sio busara kuwasema wafiwa, leo tunakuomba upumzishe hilo bakuli lako, wenzio tuko kwenye huzuni ya kuondokewa na mama yetu kipenzi.
Man U ilishuka daraja championship ndo itakua ligi pendwa kuliko zoteHakuna Cha Nini Wala nini mkandwe tu
Kifupi mgombee kushuka daraja
Kuna dalili ya msiba mwingineLeo hata tukifungwa sio mbaya maana tayari tunacho kitu cha kusingizia, msiba wa mke wa Sir alex ferguson mama yetu Cathy Ferguson amefariki dunia.
Kwanza kwa tamaduni zetu Afrika sio busara kuwasema wafiwa, leo tunakuomba upumzishe hilo bakuli lako, wenzio tuko kwenye huzuni ya kuondokewa na mama yetu kipenzi.
