Manchester United (Red Devils) | Special Thread

goli 30 za ligi ni goli 16 hizo nyengine zote za carabao na europa timu zenyewe omonia na sheriff hujui wafungaji wewe kutoka kwa rud van sahivi useme rashford clinical finisher ! sahivi ana goli ngapi ? mfungaji anakuwa kama huyu hojlund timu imepoteana nafasi hakuna ila akikutana nayo anatupia
 
Bado una sonona
Sina uwezo wa kutype paragraph yote iyo.
 
huna akili kama yeye
 
De gea pamoja na ubovu wote wa man utd lakini last season yeye ndo alikuwa kipa mwenye clean sheet nyingi.

Inabidi mtafute kocha akaongee na mashetani mule ndani
hata zidane anaweza kuongea nao akishindwa mwingine baasi arudi ole guna.
 
Clinical finisher wa mchongo sijui mapenzi na rashford au ndo huwajui clinical finishers
 
Siku Onana akikutana na Salah Anfield au Haaland Ettihad.. 😂😂

Ngoja niache kuwaza ujinga!
David Gea hapa ni kama anasema come down mutherFckrr!! si mlinicheka bana? Tulieni dawa iwaingie.

Hakika lilikuwa kosa kumwondoa kikosini kipa ambaye amesha kuwa man of the match mara kibao kisa mistakes ndogongogo.
ka onana kafupi , huwa kanajirusha kama ushahidi tu ila pale hamna kipa. #BRINGBAKCDEGEA
 
Nimeona watu humu wakimshukia Onana kama mwewe. Niseme tu timu yetu ina matatizo mengi sana ukimaliza kusolve tatizo hili linaibuka hili. Tulianza na beki tukaja kiungo, tumekuja staiker leo tumepata kiungo na straiker beki zimekuwa mbovu.

Kwa uwezo wa shoot stopping naweza sema De gea hakuna kipa anamfikia Duniani. Ila kuna aina ya mchezo De gea hawezi na ndio maana De gea wa utd na De gea wa timu ya taifa ya Espain ni watu wawili tofauti. Hicho ndio kilichomfanya apoteze number timu ya taifa rejea fainal za kombe la dunia kule kwa Putin.

Kuhusu Onana ni mtu asiyejua mpira pekee ndiye anamuona kipa mbaya. Onana kacheza na ajax yenye mafanikio, amecheza fainal ya europe legue 2017 dhidi ya utd, amecheza intermilan tumeona kiwango chake hadi fainal ya UEFA na tuliona jinsi city walivyoteseka siku ile. Onana anabahati mbaya ya kucheza na beki mbovu ya utd bahati mbaya zaidi wale beki wenye nafuu wanaandamwa na majeruhi.
 
Niliwaambia tokea day one kuwa ten hag hawezi kitu sasa ndio mnaelewa.

Msi blame injuries au glazers

Team tuliokuwa nayo ni the best among men.

#TenHagOut
 
Kama makocha tumebadili sana, wachezaji tumesajili sana tena wazuri.
Labda uongozi ndio tatizo???? Sijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…