Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,751
- 5,623
Mnamtetea huyo kocha wenu hadi inatia kinyaaWalitakiwa baada ya kupata mwalimu mpya wafanye signings zake mapema.
Siyo unasajili wachezaji ligi tayari imeshaanza.
Dirisha la 2021/2022 mchezaji aliyesajiliwa mwanzoni ni Malacia tu wengine wote walifika siku ya deadline.
Msimu huu wamefanya hivyo kwa Mount wengine wote wamefika deadline day.
Hata mwalimu anaandaaje timu katika mazingira hayo ?
Wanakwambia tatizo la kuzidiwa na Burney Ni Grazzer na sio kochaBurnley tulistahiri kupata point leoView attachment 2760431
Hivi mnapata wapi nguvu ya kumtetea huyo mwl wakati alipewa fungu akawaleta Antony, Malacia etc? Kocha wa Brighton ana only six months kibaruani huyu kipara ana mwaka na miezi kadhaa lkn mpaka sasa hatujui anafundisha nini, timu hata pass 10 hazifiki tunapigiwa pass 28 na Brighton OT hadi goli bila kugusa mpira huyu kweli ni mwl wa mpira? Sifa mojawapo ya mwl ni kukuza viwango vya wachezaji je huyo kocha wenu kakuja kiwango Cha mchezaji gani hapo matofalini?Walitakiwa baada ya kupata mwalimu mpya wafanye signings zake mapema.
Siyo unasajili wachezaji ligi tayari imeshaanza.
Dirisha la 2021/2022 mchezaji aliyesajiliwa mwanzoni ni Malacia tu wengine wote walifika siku ya deadline.
Msimu huu wamefanya hivyo kwa Mount wengine wote wamefika deadline day.
Hata mwalimu anaandaaje timu katika mazingira hayo ?
Mimi hoja yangu huwa Ni hii pamoja na matatizo ya Grazzer family,sio sababu ashindwe kuweka uchezaji sahihiHakuna kocha mle Mimi nitakuwa mtu wa mwisho kuaminin uwezo wa 7 Hag jamaa hajui kabisa bolu eti linakuja kenge Moja lenye mavidole marefu linaandika makala ndefu eti wachezaji wa Manchester United kiwango kibovu unajiuliza kiwango Cha wachezaji wa Wolves, Brighton na hawa Burnley ni kikubwa kuliko akina Casemiro, Bruno, ONANA, Hojlund, Luke Shaw, Mactomey huyu ambae national team ni moto wa kuotea mbali, Varane, The butcher, linderlof ambae ni regular starter wa national team, Sancho ambae alikotoka alikuwa wembe mkali sana ifike mahali tukubali kuwa tuna average coach katoka ligi dhaifu kaja ligi ya wanaume kweli, unatoka kushindana na PSV unajiona wewe kocha? Mashabiki wa United tukubali kuwa pamoja na matatizo yetu ya menenimenti lkn hatujapa mwl sahihi huyu ni uozo United ni kubwa kuliko yeye au basi hii mikikimikiki ya EPL haiwezi KAMWE
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Wolves walifukuza mwalimu wiki moja kabla ya kucheza na man u , wanafanya training session 2 tu, wakamu outplay huyo kocha wenu OT, ambaye alikuwa na timu pre season.Hivi mnapata wapi nguvu ya kumtetea huyo mwl wakati alipewa fungu akawaleta Antony, Malacia etc? Kocha wa Brighton ana only six months kibaruani huyu kipara ana mwaka na miezi kadhaa lkn mpaka sasa hatujui anafundisha nini, timu hata pass 10 hazifiki tunapigiwa pass 28 na Brighton OT hadi goli bila kugusa mpira huyu kweli ni mwl wa mpira? Sifa mojawapo ya mwl ni kukuza viwango vya wachezaji je huyo kocha wenu kakuja kiwango Cha mchezaji gani hapo matofalini?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Sosha alikuwa na playing style inayoeleweka kabisa ,Wote tunakumbuka midfield za Sosha walikuwa Fred na Mactomey na walifanya kazi kweli kweli kaja huyu kipara wamekuwa flop
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Huyo alisema anahamia Newcastle
Well explained mkuuMimi hoja yangu huwa Ni hii pamoja na matatizo ya Grazzer family,sio sababu ashindwe kuweka uchezaji sahihi
Ndio Maana alikuwa outplayed na wolves ambayo kocha wao alikuwa na wiki 1 tu ,
Mngepata mwalimu mzuri hata matatizo ya Grazzer msingeyaona ,man u ina wachezaji professional kwenye National teams zao ,tofaut kabisa na wa kina wolves , Burney, Brighton,
Lakin wanakuwa outplayed sababu mwalimu hawez kufundisha Mpira kwenye Ligi kubwa