Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Evans update version ya magwaya?
Mbona ana haribu mipango

So far Burnley anapiga mpira mkubwa, wanahitaji push forces ya kumaliza game
 


Thus why nitaendelea kuamini 7 hag ni kocha wa kiwango Cha chini
20230923_222815.jpg
 
Epl na VAR zao watakua na ajenda maalumu na United sio bure.
Hawataki mashabiki wa Man Utd tufurahi japo hata kwa sekunde mbili phumbavu zao.
 
Inatosha, hii timu bora ipate ajali ya ndege tuanze upya.

Fedheha, fedheha.
Hivi ni kweli sisi tumekosa carrier,
Sawa tumekosa basi hata kujaribu kukokota mpira mbele tunashindwa.
 
Back
Top Bottom