Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mmefukuza Moyes mjalizika

Mmefukuza Van gaal mjalizika

Mmefukuza Mourinho mjalizika

Mmefukuza ole mjalizika

Sasa sio mtafukuza kila kocha sasa.
Pipi ,hivi unadhani fans wote wa manjesta wanaridhika na mpira wa ujanjaujanja?

Fans wengi wakiongea kuhusu ETH mnawaandama ,wamekuwa wakinituma niwasemee maana hamtaki kocha aguswe

Fans wenu wengi hawaridhishwi na pira makande pira magimbi ,wanataka na wao waone mpira uki flow
 
Evans update version ya magwaya?
Mbona ana haribu mipango

So far Burnley anapiga mpira mkubwa, wanahitaji push forces ya kumaliza game
 


Thus why nitaendelea kuamini 7 hag ni kocha wa kiwango Cha chini
20230923_222815.jpg
 
Epl na VAR zao watakua na ajenda maalumu na United sio bure.
Hawataki mashabiki wa Man Utd tufurahi japo hata kwa sekunde mbili phumbavu zao.
 
Back
Top Bottom