Pipi ,hivi unadhani fans wote wa manjesta wanaridhika na mpira wa ujanjaujanja?Mmefukuza Moyes mjalizika
Mmefukuza Van gaal mjalizika
Mmefukuza Mourinho mjalizika
Mmefukuza ole mjalizika
Sasa sio mtafukuza kila kocha sasa.
Kula chuma hiko.It's 2023 John Evans bado anaanza kwenye kikosi cha Manchester
Kiko wapi?Kula chuma hiko.
🤣🤣🤣Kiko wapi?
Mkuu unaangalia hii mechi lakini tayari una matokeo yako kichwani...Evans update version ya magwaya?
Mbona ana haribu mipango
So far Burnley anapiga mpira mkubwa, wanahitaji push forces ya kumaliza game
Clear offside mbonaEpl na VAR zao watakua na ajenda maalumu na United sio bure.
Hawataki mashabiki wa Man Utd tufurahi japo hata kwa sekunde mbili phumbavu zao.