King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,980
- 4,942
T
Tills, when tutafukuza makocha, ushajiuliza kwanin wamiliki wasiwavunjie mikataba wachezaji mizigo, na wampe kocha watu anaowataka ili ndio tumuhukumu.Nani kama mimi anatamani tufungwe tu maisha yaendelee kwa maana hatujui tunachokifanya then ten hag afukuzwe tupate kocha mwingine


