Mmefukuza Moyes mjalizikaNani kama mimi anatamani tufungwe tu maisha yaendelee kwa maana hatujui tunachokifanya then ten hag afukuzwe tupate kocha mwingine
Tills, when tutafukuza makocha, ushajiuliza kwanin wamiliki wasiwavunjie mikataba wachezaji mizigo, na wampe kocha watu anaowataka ili ndio tumuhukumu.Nani kama mimi anatamani tufungwe tu maisha yaendelee kwa maana hatujui tunachokifanya then ten hag afukuzwe tupate kocha mwingine
Yaani we acha tu, utafikiri kocha ndio mmiliki wa timuMmefukuza Moyes mjalizika
Mmefukuza Van gaal mjalizika
Mmefukuza Mourinho mjalizika
Mmefukuza ole mjalizika
Sasa sio mtafukuza kila kocha sasa.