Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwenye maisha ya mashabiki wa Manchester United hii tunaiita "Title Charge Phase" kwetu leo msimu ndiyo unaanza.

Timu yoyote ambayo bado haijacheza na United ijiandae kuachia points 3 na wale wanaosubiri mzunguko wa 2 wajiandae kukutana na dhahma, hasa wale Arsenyani.
United is back, ETH time.
tukiacha masihara, mm bado nina imani tutamaliza juu EPL na UEFA ttacheza quarter au semi final.
Never lose hope 😅
GGMU
 
United is back, ETH time.
tukiacha masihara, mm bado nina imani tutamaliza juu EPL na UEFA ttacheza quarter au semi final.
Never lose hope 😅
GGMU
Injuries ndiyo zimetuharibia. Soon Amrabat, Mount, Mainoo, Varane wanarudi kikosini. Eneo la kiungo kocha atakuwa na options za kutosha tofauti na msimu uliopita.

Injuries za Varane na Shaw zimetuyumbisha sana maana wote walikuwa ni tegemeo ku-cover sehemu ya CB.

Mimi naona kabisa msimu ndiyo umeanza. Tutawashangaza!!!
 
Injuries ndiyo zimetuharibia. Soon Amrabat, Mount, Mainoo, Varane wanarudi kikosini. Eneo la kiungo kocha atakuwa na options za kutosha tofauti na msimu uliopita.

Injuries za Varane na Shaw zimetuyumbisha sana maana wote walikuwa ni tegemeo ku-cover sehemu ya CB.

Mimi naona kabisa msimu ndiyo umeanza. Tutawashangaza!!!
hao injuries wenyewe VIMEO tu,Man Useless hamna Timu,leo yenyewe MNAGONGWA KENGE ninyi,labda muishangaze mikia
 
Siku nyingine ya Manyumbu kupigwa miti, Leo ni zamu ya Burnley...😂😂

Andaeni mafuta mpake mapema msisababishe michubuko
 
United is back, ETH time.
tukiacha masihara, mm bado nina imani tutamaliza juu EPL na UEFA ttacheza quarter au semi final.
Never lose hope
GGMU
Eti juu EPL na UEFA Quarter Final,kwa Mpira PITIKUPITIKU mnaocheza!!!mawazo mengine ya kingese sana
 
Au?
images (5).jpg
 
Injuries ndiyo zimetuharibia. Soon Amrabat, Mount, Mainoo, Varane wanarudi kikosini. Eneo la kiungo kocha atakuwa na options za kutosha tofauti na msimu uliopita.

Injuries za Varane na Shaw zimetuyumbisha sana maana wote walikuwa ni tegemeo ku-cover sehemu ya CB.

Mimi naona kabisa msimu ndiyo umeanza. Tutawashangaza!!!
Hehehheee mnachekesha Sana,huyu 7 hag msimu unaanza si alikuwa na kiungo Cha mount casemiro Bruno ,na sub ya kina eriksen , na Shaw ,varane ,walikuwepo mbona mlikuwa bado ovyo tu

Yaan leo ndio uje uamini kuwepo kwa amrabat tu ,maana maino msimuweke EPL mtapigika zaidi, ile mech ya pre season isiwadanganyeni ,EPL sio ya kujaribu makinda hasa eneo la kiungo ,

7hag hata apewe ile Barcelona ya 2009-2012 au AC Milan ya 1992 au Brazil ya 1970 ,bado atapaki Basi asubiri miujiza ,

7hag Hana uwezo wa kufundisha modern football kwenye Ligi Kama EPL
 
United is back, ETH time.
tukiacha masihara, mm bado nina imani tutamaliza juu EPL na UEFA ttacheza quarter au semi final.
Never lose hope
GGMU
Naombea leo mpate sare muendelee kudanganyana ,na kocha msimfukuze

Maana nilishajithibitishia kocha wenu uwezo mdogo ,hivo napenda kumuona akikaa manjesta hata miaka 10
 
Hehehheee mnachekesha Sana,huyu 7 hag msimu unaanza si alikuwa na kiungo Cha mount casemiro Bruno ,na sub ya kina eriksen , na Shaw ,varane ,walikuwepo mbona mlikuwa bado ovyo tu

Yaan leo ndio uje uamini kuwepo kwa amrabat tu ,maana maino msimuweke EPL mtapigika zaidi, ile mech ya pre season isiwadanganyeni ,EPL sio ya kujaribu makinda hasa eneo la kiungo ,

7hag hata apewe ile Barcelona ya 2009-2012 au AC Milan ya 1992 au Brazil ya 1970 ,bado atapaki Basi asubiri miujiza ,

7hag Hana uwezo wa kufundisha modern football kwenye Ligi Kama EPL
Sisi hatuongei sana sasa hivi. Kuongea tumewaachia nyie Arsenyani. Nyie ndiyo mna kocha bora na kikosi bora. Ila jinsi msimu unavyoendelea tutajua timu gani inasindikiza wengine.
 
Naombea leo mpate sare muendelee kudanganyana ,na kocha msimfukuze

Maana nilishajithibitishia kocha wenu uwezo mdogo ,hivo napenda kumuona akikaa manjesta hata miaka 10
Arteta ndiyo unaona ni kocha? 🤣

Ten Hag msimu wa kwanza kapata points 75. Arteta katumia misimu 3 kupata points 70+ na hapo alishapewa timu katikati ya msimu kabla. Nyie kwenu kocha kukaa misimu 2 mnacheza upuuzi na miaka 5 bila kombe la maana ni sawa ila ikija kwa Manchester United kocha hafai!!!

Huu ndiyo msimu wa pili wa EtH, EPL tumefungwa mechi 3. Mechi ya Spurs tulicheza vizuri tu. Mechi ya Arsenal tulicheza vizuri pia ila injuries ndiyo zilikuwa zimeanza kudhoofisha kikosi.

Mechi ambazo tuli-struggle kwelikweli ni Wolves na Brighton.

Kwenye UCL tumeanza vizuri ni eneo la defense tu ndiyo linatuangusha. Varane, Shaw hawapo. Bado kocha hakupewa RCB anayemtaka.

Angalia stats za Clown Arteta. 🤡
20230923_150902.jpg
 
Arteta ndiyo unaona ni kocha? 🤣

Ten Hag msimu wa kwanza kapata points 75. Arteta katumia misimu 3 kupata points 70+ na hapo alishapewa timu katikati ya msimu kabla. Nyie kwenu kocha kukaa misimu 2 mnacheza upuuzi na miaka 5 bila kombe la maana ni sawa ila ikija kwa Manchester United kocha hafai!!!

Huu ndiyo msimu wa pili wa EtH, EPL tumefungwa mechi 3. Mechi ya Spurs tulicheza vizuri tu. Mechi ya Arsenal tulicheza vizuri pia ila injuries ndiyo zilikuwa zimeanza kudhoofisha kikosi.

Mechi ambazo tuli-struggle kwelikweli ni Wolves na Brighton.

Kwenye UCL tumeanza vizuri ni eneo la defense tu ndiyo linatuangusha. Varane, Shaw hawapo. Bado kocha hakupewa RCB anayemtaka.

Angalia stats za Clown Arteta. 🤡
View attachment 2759492
Mkuu, huyo jama niwakumpotezea tu na utoto wake.
 
Sisi hatuongei sana sasa hivi. Kuongea tumewaachia nyie Arsenyani. Nyie ndiyo mna kocha bora na kikosi bora. Ila jinsi msimu unavyoendelea tutajua timu gani inasindikiza wengine.
hamna cha kuongea
mtaongelea nini sasa wakati hamna cha kuongea

shindeni muongee
 
Back
Top Bottom