Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

KOCHA KAAMUA KUWA DALALI

𝗠𝗣𝗬𝗔

Wafanyakazi wa klabu ya Manchester United wameelezea wasiwasi wao Juu ya uhusika wa wakala wa Kocha Eric Ten Hag kwenye maswala ya Uhamisho wa Klabu hiyo,

Wakala wa Ten Hag Kees Von amekuwa na ushawishi mkubwa kwenye maswala ya uhamisho huko Old Trafford kupitia kampuni alilolianzisha Ten Hag

Baadhi ya Wafanyakazi wa Klabu hiyo wameeleza juu ya wasiwasi wao kuhusu Wakala huyo ambaye ni Mgeni wa kawaida tu ambaye nyuma ya Pazia amekuwa na ushawishi mkubwa kwenye uhamisho wa w wachezaji kusajiliwa na Inaelezwa yeye ndio aliopendekeza Majina ya Rasmus Højlund pamoja na kiungo Sofyan Amrabat kusajiliwa,
 
KOCHA KAAMUA KUWA DALALI

𝗠𝗣𝗬𝗔

Wafanyakazi wa klabu ya Manchester United wameelezea wasiwasi wao Juu ya uhusika wa wakala wa Kocha Eric Ten Hag kwenye maswala ya Uhamisho wa Klabu hiyo,

Wakala wa Ten Hag Kees Von amekuwa na ushawishi mkubwa kwenye maswala ya uhamisho huko Old Trafford kupitia kampuni alilolianzisha Ten Hag

Baadhi ya Wafanyakazi wa Klabu hiyo wameeleza juu ya wasiwasi wao kuhusu Wakala huyo ambaye ni Mgeni wa kawaida tu ambaye nyuma ya Pazia amekuwa na ushawishi mkubwa kwenye uhamisho wa w wachezaji kusajiliwa na Inaelezwa yeye ndio aliopendekeza Majina ya Rasmus Højlund pamoja na kiungo Sofyan Amrabat kusajiliwa,
Tatzo liko wapi tukiwasajili
 
Kwa siku nyingine tamu kabisa vijana barobaro sisi tunashuka Tena leo kuonyesha makali yetu watapigwa Sana waleee.

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha

My prediction

Bayern Munich 1 vs Manchester United 2

4:00 usiku

Allianz Arena

Kauli mbiu yetu

Pigaaaaaa
Uaaaaaaaa
Malizaaaaa
Chinjaaaaaa

Pain went straight to Wenger orphans and cheltako livap*mbu

Itakuwa tu ni rahaa wakubwa

GGMU
1695127513260.jpg
 
Kwa siku nyingine tamu kabisa vijana barobaro sisi tunashuka Tena leo kuonyesha makali yetu watapigwa Sana waleee.

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha

My prediction

Bayern Munich 1 vs Manchester United 2

4:00 usiku

Allianz Arena

Kauli mbiu yetu

Pigaaaaaa
Uaaaaaaaa
Malizaaaaa
Chinjaaaaaa

Pain went straight to Wenger orphans and cheltako livap*mbu

Itakuwa tu ni rahaa wakubwa

GGMUView attachment 2755501
Kihalisia huna Timu ya kuweza kupiga walau pass 10 kwa usahihi,

Matokeo ya leo

Baryen 4 manjesta 0
 
Kwa siku nyingine tamu kabisa vijana barobaro sisi tunashuka Tena leo kuonyesha makali yetu watapigwa Sana waleee.

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha

My prediction

Bayern Munich 1 vs Manchester United 2

4:00 usiku

Allianz Arena

Kauli mbiu yetu

Pigaaaaaa
Uaaaaaaaa
Malizaaaaa
Chinjaaaaaa

Pain went straight to Wenger orphans and cheltako livap*mbu

Itakuwa tu ni rahaa wakubwa

GGMUView attachment 2755501
Wewe si ukishapigwa marufuku na nyumbu wenzako kuhusu hizi tabiri zako
DAEMUSHIN
 
7hag hata apewe mwaka mzima hawezi kubadili chochote

Mech vs Arsenal anasema alicheza vzr

Mech vs Brighton anasema alicheza vzr

Analalamikia marefa , VAR


huyu kocha atawashusha daraja
 
Leo Bayern anapasuka screenshot hii comment chuma 2
Usikimbie tu, mngekuwa na uwezo hata wakukaa na mpira dk 5 ningewabetia


Brighton aliweka kikos B ,mkasafa ,baryen ya Harry Kane anaweza toka na hattrick

Mpira wa ujanjaujanja kwasasa hauna nafasi ,mtapigwa Hadi na kina Burney ,
20230919_102000.jpg
 
OLE alisalitiwa

OGS kuhusu kumsajili Cristiano Ronaldo:

"Ulikuwa uamuzi mgumu kukataa, na nilihisi tunapaswa kuufanya, na ikawa uamuzi mbaya."

[@TheAthleticFC]
 
Ole gunar ana uwezo mkubwa kuliko Erik 7 hag a Dutch David Moyes
 
Usikimbie tu, mngekuwa na uwezo hata wakukaa na mpira dk 5 ningewabetia


Brighton aliweka kikos B ,mkasafa ,baryen ya Harry Kane anaweza toka na hattrick

Mpira wa ujanjaujanja kwasasa hauna nafasi ,mtapigwa Hadi na kina Burney ,View attachment 2755668
Masingeli leo tukishamdunda Bayern nyumbani kwake tunakuomba usije na ngojera zako humu za "Bayern msimu huu ni mbovu" kumbuka tu kua leo Bayern anacheza na Mbogo aliyetoka kujeruhiwa hivyo hasira zote leo zinaangukia kwake.

Wananchi wa Libya leo asubuhi walikuwa wanahojiwa na mwandishi wa Aljazeera kuhusu athari za mafuriko, lakini cha kushangaza siku ya leo wananchi hao walionekana wana bashasha na furaha ya hali ya juu sana mpaka mwandishi akashangazwa na hilo na kuwauliza:

Kulikoni leo mko na furaha hali ya kua siku 3 zilizopita mmepitia misukosuko na mitihani mikubwa ya kupoteza ndugu na jamaa?

"Mwananchi mmoja akajibu huku anatabasamu kua leo Manchester United ipo uwanjani hivyo hapa tulipo kama unavyotuona wananchi wote tuko na furaha na faraja kubwa mno"

Ghafla baada ya kusikia maneno hayo ya wananchi wa Libya nikajikuta nabubujikwa na machozi na kuyakumbuka yale maneno ya allypipi mzee wa Ngwasuma
Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha
 
Back
Top Bottom