hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Mimi nilimpiga 4 kwake,Arsenal pia alipigwa 3 bila Emirates na huyo huyo Brighton. View attachment 2755253
Hatukatai kufungwa, ila Timu lako hata kupiga pass 10 haliwez
Mimi nilimpiga 4 kwake,Arsenal pia alipigwa 3 bila Emirates na huyo huyo Brighton. View attachment 2755253
Tatzo liko wapi tukiwasajiliKOCHA KAAMUA KUWA DALALI
𝗠𝗣𝗬𝗔
Wafanyakazi wa klabu ya Manchester United wameelezea wasiwasi wao Juu ya uhusika wa wakala wa Kocha Eric Ten Hag kwenye maswala ya Uhamisho wa Klabu hiyo,
Wakala wa Ten Hag Kees Von amekuwa na ushawishi mkubwa kwenye maswala ya uhamisho huko Old Trafford kupitia kampuni alilolianzisha Ten Hag
Baadhi ya Wafanyakazi wa Klabu hiyo wameeleza juu ya wasiwasi wao kuhusu Wakala huyo ambaye ni Mgeni wa kawaida tu ambaye nyuma ya Pazia amekuwa na ushawishi mkubwa kwenye uhamisho wa w wachezaji kusajiliwa na Inaelezwa yeye ndio aliopendekeza Majina ya Rasmus Højlund pamoja na kiungo Sofyan Amrabat kusajiliwa,
kabisa vijana barobaro sisi tunashuka Tena leo kuonyesha makali yetu watapigwa Sana waleee.


4:00 usiku
Allianz Arena



Basi mkipigwa msisisngizie 7hag hasapotiwi kwenye usajiliTatzo liko wapi tukiwasajili
Kihalisia huna Timu ya kuweza kupiga walau pass 10 kwa usahihi,Kwa siku nyingine tamukabisa vijana barobaro sisi tunashuka Tena leo kuonyesha makali yetu watapigwa Sana waleee.
Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha
My prediction
Bayern Munich 1 vs Manchester United 2
4:00 usiku
Allianz Arena
Kauli mbiu yetu
Pigaaaaaa
Uaaaaaaaa
Malizaaaaa
Chinjaaaaaa
Pain went straight to Wenger orphans and cheltako livap*mbu
Itakuwa tu ni rahaa wakubwa
GGMUView attachment 2755501
Baryen 4 manjesta 0GGMU
Wewe si ukishapigwa marufuku na nyumbu wenzako kuhusu hizi tabiri zakoKwa siku nyingine tamukabisa vijana barobaro sisi tunashuka Tena leo kuonyesha makali yetu watapigwa Sana waleee.
Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha
My prediction
Bayern Munich 1 vs Manchester United 2
4:00 usiku
Allianz Arena
Kauli mbiu yetu
Pigaaaaaa
Uaaaaaaaa
Malizaaaaa
Chinjaaaaaa
Pain went straight to Wenger orphans and cheltako livap*mbu
Itakuwa tu ni rahaa wakubwa
GGMUView attachment 2755501
Tuache mwanang, timu yetu, kivyetu vyetu.Basi mkipigwa msisisngizie 7hag hasapotiwi kwenye usajili
Maana Hadi kaamua kuwa dalali
😂😂😂😂😂😂😂😂 13 years later hali hii inaenda kujirudia.Man U kipindi cha pili imebanwa, yaani Bayern ilionekana kama inacheza na timu ya daraja la pili..lol
Kwahiyo bado una Iman ya kushika no.2Tuache mwanang, timu yetu, kivyetu vyetu.
GGMU, ETH is cooking we're coming back stronger


Hata kupiga pass 10 hamuwez,Acha uchawi kijana. Bayern anapasuka chuma 2 kavu leo
Hata Kama Ni Imani , ila yako Ni fekiUsiku nimeota tumempiga Bayern chuma 2
Usikimbie tu, mngekuwa na uwezo hata wakukaa na mpira dk 5 ningewabetiaLeo Bayern anapasuka screenshot hii comment chuma 2
Usikimbie tu, mngekuwa na uwezo hata wakukaa na mpira dk 5 ningewabetia
Brighton aliweka kikos B ,mkasafa ,baryen ya Harry Kane anaweza toka na hattrick
Mpira wa ujanjaujanja kwasasa hauna nafasi ,mtapigwa Hadi na kina Burney ,View attachment 2755668


Masingeli leo tukishamdunda Bayern nyumbani kwake tunakuomba usije na ngojera zako humu za "Bayern msimu huu ni mbovu" kumbuka tu kua leo Bayern anacheza na Mbogo aliyetoka kujeruhiwa hivyo hasira zote leo zinaangukia kwake. 

