hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,285
- 26,685
Mtoto wa Erik ten Hag ameajiriwa katika kampuni ya uwakala ya SEG ambayo imefanya biashara nyingi zaidi Old Trafford msimu huu wa joto.
SEG ndio imemleta Rasmus Højlund na Sofyan Amrabat, na walihusika katika mazungumzo ya kutaka kumuuza Harry Maguire.
[@MattHughesDM]
SEG ndio imemleta Rasmus Højlund na Sofyan Amrabat, na walihusika katika mazungumzo ya kutaka kumuuza Harry Maguire.
[@MattHughesDM]

Kocha wa manjesta Hana mbinu






Ten Hag on whether Marcus Rashford can adapt to help Rasmus Hojlund: "Absolutely, and how the two can take benefit from each other. But they have to know each other and that process has just started. I'm sure they can get that connection."