Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,631
- 11,106
We jamaa utakuwa mgeni kwenye football business.KOCHA KAAMUA KUFANYA BIASHARA
Tried to sign Gakpo, same agent as Ten Hag
Signed Hojlund, same agent as Ten Hag
Signed Amrabat, same agent as Ten Hag
Sold Zidane Iqbal, same agent as Ten Hag (also joined Utrecht, a club Ten Hag used to manage)
Jaribu kufanya research baada ya kusoma vi-article uchwara. Hiyo agency inawakilisha zaidi ya athletes & managers 500, Guardiola akiwa mmoja wao. Mtoto wa EtH ni Analyst kwenye hiyohiyo agency.
Wachezaji waliowakilishwa na hiyo agency kwenye usajili wa United ni Højlund (permanent) na Amrabat (loan).
Na hiyo habari inadhihirisha madhaifu ya United kwenye scouting, mpaka kocha anatumia agency yake kufanya deals. Ila bado hiyo habari ni upuuzi, kila journalist anaiongelea United ili kupata clicks.
Matt Hughes na hao Daily Mail ni wangese tu. Yani EtH afanye upigaji isijulikane? Agency inachukua 10% fee, walete proofs sasa EtH anapokea % ngapi kwenye kila usajili.

Kocha wa manjesta Hana mbinu





