Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

KOCHA KAAMUA KUFANYA BIASHARA

Tried to sign Gakpo, same agent as Ten Hag

Signed Hojlund, same agent as Ten Hag

Signed Amrabat, same agent as Ten Hag

Sold Zidane Iqbal, same agent as Ten Hag (also joined Utrecht, a club Ten Hag used to manage)
 
Gabriele Biancheri has penned his first professional contract with Manchester United 󠁧󠁢󠁷󠁬󠁳󠁿

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2754005
Atawasaidia sana huyu dogo. Anacheza namba zote
 
Halafu Kuna mtu anawatupia lawama Grazzer family

emoji599.png
The Manchester United recruitment team don’t think Sofyan Amrabat will succeed in England. He is an Erik ten Hag target.

[@Muppetiers]
unajua sajili za wachezaji pale manchester united zinaendeshwaje?
Hii kesi nyengine
========
labda utakuwa umesahau au huenda huna hii taarifa, unajua database yenye taarifa za mabeki 800 waliokuwa nayo recruitment team kwao pamoja na OLE walimuona wan bissaka ni mchezaji sahihi kusajiliwa badala hao wengineo.

sijui umenielewa.

hapo anatafutwa erik atolewe kafara kama walivyo wengineo waliopita
1695103290150.png
 
Halafu Kuna mtu anawatupia lawama Grazzer family

The Manchester United recruitment team don’t think Sofyan Amrabat will succeed in England. He is an Erik ten Hag target.

[@Muppetiers]
licha ya kwamba msimu huu wamefanya vizuri kiupande fulani kitaarifa lakini bado haiondoi ukweli wa kwamba muppetiers si chanzo cha kuaminika kwa taarifa za manchester united.

juzi niliweka taarifa kutoka chanzo hicho cha muppetiers kwa njia ya utani utani (wengi hawakunielewa)
mupptiers wanasema hivi:

  1. masoun mount na hojlund ndio wachezaji pekee waliosajiliwa msimu huu kwa mapendekezo ya recruitment team (kwa maana hapa erik hakuwa na nguvu kubwa)
  2. onana na amrabat (mkopo) ni wachezaji waliosajiliwa kwa mkono wa erik ten hag
  3. muppetiers wakaenda mbele .....wanasema casemiro haonekani kuwa ni mchezaji aliye kwenye mipango ya muda mrefu wa klabu na ulikuwa usajili wa dharura......recruitment team kwa sasa inatafuta mbadala wake na mchezaji anayelengwa ni palacios wa bayer leverkusen (injury prone)

usajili wa manchester united
  • kocha anakuwa na target zake
  • recruitment team wanakuwa na target zao
baadae wanafanya decisions, usajili pale man utd unafanywa hivi kwa mujibu wa waandishi wa habari niliosoma taarifa zao kwa nyakati tofauti.
mfano:
  • mourinho hakumtaka fred
  • huwezi kuniambia usajili wa matic ni wa recuitment team, bali ni usajili wa mourinho na alipoondoka matic hakuwa na career nzuri (mwisho matic kamfuata mourinho)
tatizo la manchester united bado hawana IDENTITY.
tunachezaje, tunatakaje, tunamhitaji nani kwa lengo gani........

usishangae anaondoka ten hag, baadae unaletewa conte
 
Grazzer family hawatakubali waonekane wao Ni wabaya totally

7hag kafungua kampuni za udalali ndani ya manjesta anamtaka mchezaji kumbe kashamuunganisha na kampuni zake ,mwisho Grazzer wanapigwa pesa ndefu

Sasa wameshtuka
hii ni vita ya mawakala waliokosa ulaji dhidi ya bwana aliyetengeneza ulaji.
jorge mendez na wenzake hawajala hela za manchester united kwa muda wa miaka miwili.
mfano kwenye dili la ronaldo unadhani jorge mendez hakula cha juu?
 
hii ni vita ya mawakala waliokosa ulaji dhidi ya bwana aliyetengeneza ulaji.
jorge mendez na wenzake hawajala hela za manchester united kwa muda wa miaka miwili.
mfano kwenye dili la ronaldo unadhani jorge mendez hakula cha juu?
Masingeli huyu ni mropokaji inatakiwa tumzoee tu humu, ukweli wote kuhusu Glazers na bodi ya United wanavyoidhoofisha timu anaujua, ila yeye kwa makusudi kabisa kaamua tu kutumia nguvu zote kumsilibia Baba Ubaya.
1695106252647.jpg
 
licha ya kwamba msimu huu wamefanya vizuri kiupande fulani kitaarifa lakini bado haiondoi ukweli wa kwamba muppetiers si chanzo cha kuaminika kwa taarifa za manchester united.

juzi niliweka taarifa kutoka chanzo hicho cha muppetiers kwa njia ya utani utani (wengi hawakunielewa)
mupptiers wanasema hivi:

  1. masoun mount na hojlund ndio wachezaji pekee waliosajiliwa msimu huu kwa mapendekezo ya recruitment team (kwa maana hapa erik hakuwa na nguvu kubwa)
  2. onana na amrabat (mkopo) ni wachezaji waliosajiliwa kwa mkono wa erik ten hag
  3. muppetiers wakaenda mbele .....wanasema casemiro haonekani kuwa ni mchezaji aliye kwenye mipango ya muda mrefu wa klabu na ulikuwa usajili wa dharura......recruitment team kwa sasa inatafuta mbadala wake na mchezaji anayelengwa ni palacios wa bayer leverkusen (injury prone)

usajili wa manchester united
  • kocha anakuwa na target zake
  • recruitment team wanakuwa na target zao
baadae wanafanya decisions, usajili pale man utd unafanywa hivi kwa mujibu wa waandishi wa habari niliosoma taarifa zao kwa nyakati tofauti.
mfano:
  • mourinho hakumtaka fred
  • huwezi kuniambia usajili wa matic ni wa recuitment team, bali ni usajili wa mourinho na alipoondoka matic hakuwa na career nzuri (mwisho matic kamfuata mourinho)
tatizo la manchester united bado hawana IDENTITY.
tunachezaje, tunatakaje, tunamhitaji nani kwa lengo gani........

usishangae anaondoka ten hag, baadae unaletewa conte
Sahihi kabisa uliyoyasema
 
Masingeli huyu ni mropokaji inatakiwa tumzoee tu humu, ukweli wote kuhusu Glazers na bodi ya United wanavyoidhoofisha timu anaujua, ila yeye kwa makusudi kabisa kaamua tu kutumia nguvu zote kumsilibia Baba Ubaya. View attachment 2754272
Flano ,hujaona Hadi mtoto wa 7egg Ni wakala

Watu wakisema humu kuhusu 7hag kula 10% mkawa mnabisha ,now taarifa zinavuja
 
Halafu Kuna mtu anawatupia lawama Grazzer family

The Manchester United recruitment team don’t think Sofyan Amrabat will succeed in England. He is an Erik ten Hag target.

[@Muppetiers]
Unawatetea sana Glazers. Angalia huyu ndiyo CEO wa Manchester United na elimu yake ndiyo hii (picha chini).

Huwa unamsifia sana De Zerbi ila ukipata muda jaribu kumsikiliza Paul Barber, CEO-Brighton. Huyu ndiyo engine ya the Seagulls.

Kuna interview yake moja ya Premier League alielezea kuhusu Caicedo saga na jinsi timu yao inavyofanya recruitment kwa kuzingatia budget na aina ya kocha waliyenaye.

Brighton ni system-based team ndiyo maana makocha na wachezaji wao hawafanyi makubwa nje ya Brighton. Kocha mpya akienda anakuwa supported kulingana na idea zake.

Sasa United mpaka sasa tunasikia kuna sajili zinafanyika siyo za kocha, hilo tayari ni tatizo. Tukiweza kurekebisha hapo ni hatua ya kwanza ku-solve tatizo, kocha apewe dhamana ya kuwa msemaji wa mwisho kwenye kila usajili.

Baada ya hapo timu inatakiwa kutafuta scouts wanaoielewa kazi yao, kazi ya scouts iwe ni kutafuta top talents (high potential) kwenye ligi ndogo na vilabu vidogo, United ni timu kubwa ila wanapaswa kubadili sera zao za usajili na kutumia pesa nyingi kwasababu mpaka sasa wametumia over £1b na wamefeli.

Mwisho kabisa timu inahitaji a fresh start, wamiliki wapya kwasababu Glazers wameshindwa kuiongoza timu kwenye mafanikio kwa kuajiri watu wasio na ujuzi ktk football. Rejea Ed Woodward. Timu ipate CEO & DOF wa kueleweka.
20230919_104834.jpg
 
NILIONGEA HAYA KIPINDI CHA NYUMA ,HATA USAJILI WA HOJLUND KWA €85m GRAZZER WAMETAPELIWA ,

Kuna mkono wa wakala wa Ten hag , Ni Kama Ten hag ameamua kufanya biashara ndani ya man utd ....LAWAMA wanapewa Grazzer Family yeye ametulia ,Grazzer family hawawezi kukubali mzigo wa LAWAMA


Daily Mail wanazidi kuripoti wanasema

Kampuni ya Sport Kees Vos imekuwa chombo muhimu katika mazungumzo ya usajili wa wachezaji na mauzo kwa #mufc , pamoja na kutoa ushauri usio rasmi kuhusu soko la uhamisho - Nigel mtoto wa Ten Hag pia anafanya kazi katika kampuni hiyo ya uwakala kama mchambuzi.

[@MattHughesDM]
Kwa huku bongo 7 hag ni dalali Kama madalali wengine
 
7hag jisni alivyokua anampanga masebene, over Sancho

Kuna uwezekano 7hag ana asilimia zake kwenye wage wa masebene
 
KOCHA KAAMUA KUFANYA BIASHARA

Tried to sign Gakpo, same agent as Ten Hag

Signed Hojlund, same agent as Ten Hag

Signed Amrabat, same agent as Ten Hag

Sold Zidane Iqbal, same agent as Ten Hag (also joined Utrecht, a club Ten Hag used to manage)
We jamaa utakuwa mgeni kwenye football business.

Jaribu kufanya research baada ya kusoma vi-article uchwara. Hiyo agency inawakilisha zaidi ya athletes & managers 500, Guardiola akiwa mmoja wao. Mtoto wa EtH ni Analyst kwenye hiyohiyo agency.

Wachezaji waliowakilishwa na hiyo agency kwenye usajili wa United ni Højlund (permanent) na Amrabat (loan).

Na hiyo habari inadhihirisha madhaifu ya United kwenye scouting, mpaka kocha anatumia agency yake kufanya deals. Ila bado hiyo habari ni upuuzi, kila journalist anaiongelea United ili kupata clicks.

Matt Hughes na hao Daily Mail ni wangese tu. Yani EtH afanye upigaji isijulikane? Agency inachukua 10% fee, walete proofs sasa EtH anapokea % ngapi kwenye kila usajili.
 
We jamaa utakuwa mgeni kwenye football business.

Jaribu kufanya research baada ya kusoma vi-article uchwara. Hiyo agency inawakilisha zaidi ya athletes & managers 500, Guardiola akiwa mmoja wao. Mtoto wa EtH ni Analyst kwenye hiyohiyo agency.

Wachezaji waliowakilishwa na hiyo agency kwenye usajili wa United ni Højlund (permanent) na Amrabat (loan).

Na hiyo habari inadhihirisha madhaifu ya United kwenye scouting, mpaka kocha anatumia agency yake kufanya deals. Ila bado hiyo habari ni upuuzi, kila journalist anaiongelea United ili kupata clicks.

Matt Hughes na hao Daily Mail ni wangese tu. Yani EtH afanye upigaji isijulikane? Agency inachukua 10% fee, walete proofs sasa EtH anapokea % ngapi kwenye kila usajili.
Nadhani hamis77 anaongelea conflict of interest, hata kama hupati commission au so-called 10% , maamuuzi yako yanaweza kuathiliwa kwa namna moja au nyingine.

Ila uko sahihi 100%, kuwa tatizo la Man United ni kubwa, only few of you can see it and admit. I stand with you.
 
Back
Top Bottom