Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

KOCHA KAAMUA KUFANYA BIASHARA

Tried to sign Gakpo, same agent as Ten Hag

Signed Hojlund, same agent as Ten Hag

Signed Amrabat, same agent as Ten Hag

Sold Zidane Iqbal, same agent as Ten Hag (also joined Utrecht, a club Ten Hag used to manage)
We jamaa utakuwa mgeni kwenye football business.

Jaribu kufanya research baada ya kusoma vi-article uchwara. Hiyo agency inawakilisha zaidi ya athletes & managers 500, Guardiola akiwa mmoja wao. Mtoto wa EtH ni Analyst kwenye hiyohiyo agency.

Wachezaji waliowakilishwa na hiyo agency kwenye usajili wa United ni Højlund (permanent) na Amrabat (loan).

Na hiyo habari inadhihirisha madhaifu ya United kwenye scouting, mpaka kocha anatumia agency yake kufanya deals. Ila bado hiyo habari ni upuuzi, kila journalist anaiongelea United ili kupata clicks.

Matt Hughes na hao Daily Mail ni wangese tu. Yani EtH afanye upigaji isijulikane? Agency inachukua 10% fee, walete proofs sasa EtH anapokea % ngapi kwenye kila usajili.
 
We jamaa utakuwa mgeni kwenye football business.

Jaribu kufanya research baada ya kusoma vi-article uchwara. Hiyo agency inawakilisha zaidi ya athletes & managers 500, Guardiola akiwa mmoja wao. Mtoto wa EtH ni Analyst kwenye hiyohiyo agency.

Wachezaji waliowakilishwa na hiyo agency kwenye usajili wa United ni Højlund (permanent) na Amrabat (loan).

Na hiyo habari inadhihirisha madhaifu ya United kwenye scouting, mpaka kocha anatumia agency yake kufanya deals. Ila bado hiyo habari ni upuuzi, kila journalist anaiongelea United ili kupata clicks.

Matt Hughes na hao Daily Mail ni wangese tu. Yani EtH afanye upigaji isijulikane? Agency inachukua 10% fee, walete proofs sasa EtH anapokea % ngapi kwenye kila usajili.
Nadhani hamis77 anaongelea conflict of interest, hata kama hupati commission au so-called 10% , maamuuzi yako yanaweza kuathiliwa kwa namna moja au nyingine.

Ila uko sahihi 100%, kuwa tatizo la Man United ni kubwa, only few of you can see it and admit. I stand with you.
 
Mtoto wa Erik ten Hag ameajiriwa katika kampuni ya uwakala ya SEG ambayo imefanya biashara nyingi zaidi Old Trafford msimu huu wa joto.

SEG ndio imemleta Rasmus Højlund na Sofyan Amrabat, na walihusika katika mazungumzo ya kutaka kumuuza Harry Maguire.

[@MattHughesDM]
 
Mtoto wa Erik ten Hag ameajiriwa katika kampuni ya uwakala ya SEG ambayo imefanya biashara nyingi zaidi Old Trafford msimu huu wa joto.

SEG ndio imemleta Rasmus Højlund na Sofyan Amrabat, na walihusika katika mazungumzo ya kutaka kumuuza Harry Maguire.

[@MattHughesDM]
Yani ten Hag na mwanae ndio walijifanya wajanja kutaka kumuondoa Maguire ili wapige pesa😃

Halafu West Ham walifika mpaka £30 mil, ten Hag na kampuni yake wakaona haitoshi mpaka waongeze pesa apewe mtoto wake.

Ndo mana Maguire beki wa mpira akagoma ili aendelee kula maokoto mana zingekua dharau!
 
1695131709895.png
 
Manjesta pambaneni ,mwakani kucheza UCL Kuna viti maalumu

Next year, the Champions League will have two more slots for the two best-performing leagues in 2023-24. According to @TwentyFirstGrp these are the percentage chances for each league:
PL 91%
Serie A 43%
Bundesliga 37%
Liga 17%
Ligue 1 7%
Other 5%
 
Hii Timu mkiendelea na huyu kocha ,mwaka huu mtashika nafasi za ajabu


7hag nimemuona Ni kocha wakawaida Tena ,juzi aliulizwa kuhusu mechi vs Arsenal

Anasema alicheza vzr Sana

Akaulizwa mechi vs Brighton anakwambia alicheza vzr


Huyu kocha Kama hizo mech anatafsiri alicheza vzr Basi kazi mnayo

Kwanza anaonesha Pira papatupapatu ndio Playing style yake
 
Hiki kikosi Cha Brighton kilipiga pass 30 bila mchezaji wa manjesta kugusa ,Hadi likapigwa goli

Nini unajifunza?

Kocha wa manjesta Hana mbinu
Timu haina playing style ya kueleweka
Timu haijui kukaba


Matatizo haya Ni uwezo mdogo wa Benchi la ufundi ,sio Grazzer family
20230919_102000.jpg
 
Kesho mkipona Sana

4-0

Kwa Timu ambayo haiwezi kukaa na Mpira na kocha anaona ndio falsafa
20230919_234056.jpg
 
Hiki kikosi Cha Brighton kilipiga pass 30 bila mchezaji wa manjesta kugusa ,Hadi likapigwa goli

Nini unajifunza?

Kocha wa manjesta Hana mbinu
Timu haina playing style ya kueleweka
Timu haijui kukaba


Matatizo haya Ni uwezo mdogo wa Benchi la ufundi ,sio Grazzer familyView attachment 2755232
Arsenal pia alipigwa 3 bila Emirates na huyo huyo Brighton.
Screenshot_20230920-000936_Flashscore.jpg
 
Tuchel: “At United, it’s common for small things to become more important than at other clubs”.


“I feel like at United there's always a lot of noise, a lot of consultants in the UK are ex-players. The legacy of Sir Alex creates a lot of pressure and of expectations”.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230920_003616_096.jpg
 
Kobbie Mainoo, Mount & Varane are back in training. Amrabat is training away from the main group.


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230920_003430_788.jpg
 
Manchester United are planning to sign Serge Gnabry or Kaoru Mitoma to replace Jadon Sancho.



[Ekrem Konur]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230920_003421_062.jpg
 
Betting favourites to win the UCL.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230920_003358_906.jpg
 
Back
Top Bottom