Naona kocha ameamua kupiga nyetoUkisoma comments za Mashabiki humu moyo unajaa majonzi na kuhisi timu inashuka daraja, ila ukiingia kwenye jukwaa la Chelsea na kusoma comments za mashabiki wao unajikuta unatabasamu na kuhisi kama vile sisi tunaongoza ligipoleni sana ndugu zangu wa Chelkenge nimejaribu kuvaa viatu vyenu lakini hata vidole tu vimeshindwa kuingia.
View attachment 2752791
Ukisoma comments za Mashabiki humu moyo unajaa majonzi na kuhisi timu inashuka daraja, ila ukiingia kwenye jukwaa la Chelsea na kusoma comments za mashabiki wao unajikuta unatabasamu na kuhisi kama vile sisi tunaongoza ligipoleni sana ndugu zangu wa Chelkenge nimejaribu kuvaa viatu vyenu lakini hata vidole tu vimeshindwa kuingia.
View attachment 2752791
Shida ya Man u niliiona kuanzia pre season, mechi zote ambazo Kobbie Maino alianza tulishanda ila alipoumia tu toka hapo tukaanza tia maji. Nina hakika dogo angekuwepo angeimarisha sana kiungo yetu. Halafu ni kwa nini kila msimu timu yetu inakuwa na majeruhi wengi hivyo? Hili nalo ni lakutizama.
Hata wangeletwaShida ya Man u niliiona kuanzia pre season, mechi zote ambazo Kobbie Maino alianza tulishanda ila alipoumia tu toka hapo tukaanza tia maji. Nina hakika dogo angekuwepo angeimarisha sana kiungo yetu. Halafu ni kwa nini kila msimu timu yetu inakuwa na majeruhi wengi hivyo? Hili nalo ni lakutizama.
Nyumbu mbona Bado hamjasemaVarane: injury prone
Maguire: ass
Lindelof: average
Evans: ass
Shaw: average
Malacia: ass
Dalot: ass
Bissaka: average
Casemiro: the end of his career-ass
McTominay: average
Van de Beek: average & injury prone
Rashford: average, selfish, lazy ass
Sancho: ass
Antony: ass
Diallo: average
Pellistri: average
Martial: ass & injury prone
Hii ndiyo timu tunategemea itafanya chochote cha maana.
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwani Man U na Yanga lini?
Mwisho wa msimu tutafunga hesabu, kama kawaida Arsenyani hatashinda kombe lolote.Nyumbu mbona Bado hamjasema
Arsenal tulishaanza kuhesabu MedaliMwisho wa msimu tutafunga hesabu, kama kawaida Arsenyani hatashinda kombe lolote.