Kama nilivyosema na leo Bruno anaanza RW.Sitashangaa kesho kumuona Bruno au Garnacho RW maana EtH usipomu-impress kwenye training ni bench tu. Wengi tunataka Pellistri acheze ila hatujui kwanini EtH hampangi.
Natarajia hii move kuja kutokea na wakija Madrid hatuna cha kufanya.Real Madrid are closely monitoring the progress of Garnacho.
[Fichajes]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2751168
Lendelof na Dalot si wa kumweka AWB bench.Starting XI
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2751173
Huyo Fati ndo yule alikuwa Barcelona?Achana na Mitoma.
Kuna huu usajili mpya kwenye winga ya kushoto;
Adingra.. Leo huyu dogo atakula ganda la ndizi mbele ya Reguillon.
Baadae kidogo atampisha Ansu Fati.
NYIEE!!
Kocha kasema AWB hayupo tayari kwa kuanza leo.Lendelof na Dalot si wa kumweka AWB bench.
Mchezaji yeyote akiwa Brighton ya sasa ni tofauti.Huyo Fati ndo yule alikuwa Barcelona?
Kama nilivyosema na leo Bruno anaanza RW.
Ten Hag ni fala sana. Anarudia makosa yaleyale Bruno kwenye RW ishaonekana mara kibao siyo nafasi nzuri kwake.
Acha nisubiri mechi. Pivot ya Case na Scott, hii tutaiita McCase!
System.Mchezaji yeyote akiwa Brighton ya sasa ni tofauti.
Hata akienda Maguire, nina uhakika mtaenda kumnunua tena kwa £100 mil.😂
Kama unabisha kamuangalia Caicedo wa Chelsea! 😂
Ushauri wako wataufanyia kazi,Tafuteni kipa wa kueleweka aisee