Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna kitu Antony huwa anaprovide kwenye timu ila kuna mashabiki tena wenzetu wa man u huwa hawaelewi. Antony yule wa Ajax ni tofauty kabisa na huyu wa utd. Akiwa ajax ni kama alikuwa free mno kuuchezea mpira na pia alikuwa akamiwi sana kama ilivyo kwa utd. Huku anapewa majukumu ya kukaba na kuanza mashambulizi tena akianzia pembeni na sio kuingia ndani hii humfanya kuwa marked na mchezaji zaidi ya mmoja wa timu pinzani hivyo kutoa nafasi kwa wenzake kutanua. Kifupi ni kuwa wachezaji wa timu pinzani huwa wanaiona hatari ya Antony akiwa na mpira au hata asipokuwa nao.
 
Niwe tu mkweli huaga najiskia Vizuri sana nikiona Manjesta wanateseka..
 
Tuli sare na Fulham mkaja kutupigia kelele

Nikawauliza mna timu ya kustahimili msako wa nyani pale Emirates?

Wenzenu Fulham ,Leno alifanya kazi kubwa Sana
 
Sancho kafunguka huko kasema 7hag Ni muongo, siokweli hajitumi mazoezini Kuna issue nyingine kabisa


Huyu 7hag ameshindwa kukuza kipaji hiki anamsingizia uongo kwenye media
 
Sancho:

7hag Ni muongo na tapeli ,siokweli kwamba sijitumi mazoezini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…