Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

I hope leo tutapata ushindi but Moyes anapaswa kufanya maamuzi magumu leo Chicharito aanze badala ya RVP then viungo waanze Carick,Felaini na Kagawa

ww furahia ushindi wa leo alafu ukakutane na BARCA!!!
teh! teh!
 
sikubaliani nawewe!

Timu ingedrop but isingefikia kiwango hiki.Competitors Chelsea,Liverpool na Man City wameimprove sana but SAF angepiga watu bakora kama wangecheza kama wanavyocheza sasa
 
ww furahia ushindi wa leo alafu ukakutane na BARCA!!!
teh! teh!

Sijawahi kuombea timu ifungwe kwenye Champions League au EPL labda Capital One,FA au Uropa.Possibly kufungwa na Barca kutaishtua management
Barca alifungwa na Bayern 7,Madrid alifungwa na Barca,Arsenal alifungwa 6 then 8.Hakuna sababu ya kuogopa kucheza na timu yeyote
 
Ndio nimesema hivi we ulitaka nisemeje.

You are right Ngongo. Hii timu inatukata stimu sana supporters wake. Bora iwe mbaya zaidi ili wamuondoe Moyes kwani hana mbinu kabisa na nadhani hata players nao wameshamchoka!
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • fergiemoyes.jpg
    fergiemoyes.jpg
    50.2 KB · Views: 83
  • ftrue.jpg
    ftrue.jpg
    44.7 KB · Views: 82
  • moyess.jpg
    moyess.jpg
    28.6 KB · Views: 80
  • moyesclueless.jpg
    moyesclueless.jpg
    16.1 KB · Views: 86
Watch Manchester United vs Olympiakos Live Online today 19/3/2014 , watch the match directly Man United vs Olympiakos Online without cutting free , Manchester United and Olympiakos in the Champions League broadcast Live free , Links to watch the match Manchester United and Olympiakos without cutting direct , live follow-up match Manchester United vs Olympiakos directly, watch Manchester United and Olympiakos Live Online streaming match Manchester United timing and Olympiakos today 19/3/2014 Champions League round of 16 View Manchester United Sport sports game and Olympiakos Champions League round of 16 on 19-3-2014 and Manchester United vs Olympiakos Live Online today 19\3\2014

Click on the link to enter

Manchester United and Olympiakos today 19 March, 2014 - blogy


Manchester United and Olympiakos today 19 March, 2014 - blogy


Champions League
Date: Wednesday 19/03/2014
Time: 21:45 GMT Egypt .
Venue: Old Trafford


Ducts Manchester United vs Olympiakos March 19th, 2014 Champions League
Manchester Unitedvs Olympiakos Live 19-3-2014 Manchester United link transfer game and Olympiakos 19/3/2014 Live Online on the net Links to watch the match Manchester United and Olympiakos Live Online Manchester United

For the first game suffered the England team from the decline in the level of technical performance in the league in the last period which could knock Bmdrih Scotland David Moyes , as it dropped to seventh place after falling to Liverpool last Sunday with three clean , also lost demons seven times in the opener of the 14 since the beginning of in 2014 , making it difficult and important day loss in the first leg by two goals to none .
Moyes must win three straight goals today to be able to climb to the next round in the competition , but pessimism and lack of self-confidence , which seized control of the Alaold Travold may be the biggest factor is that topples outside Baleonaatd tournament


Olympiakos × Manchester United Champions League , the match Wednesday 03/19/2014 Time: 9:45
Manchester United - England -: - Olympiakos - Greece ... View summary of goals and Manchester United vs Olympiakos 19/3/2014 in the second game
 
Wadau karibuni tujadili na kuangalia matokeo ambayo Man Utd inaweza kuyapata, je Moyes atapanga kikosi gani leo, Kagawa atakumbukwa au? Karibuni
 
Kama mpaka kesho Moyes atakuwa bado ni kocha wa Man U ntawashauri waje kumchukua na Msomali awe mwenyekiti wao maana kiwango cha uvumilivu wa mashabiki wao hata shetani anakiogopa.
 
MKUU unaanza kuomba huruma mapema sio mwendo ni ule ule wakunyolewa na hii ndio Mara yenu ya mwisho kucheza uefa mtaanza kuisikia bombani kwa misim kazaaaaaa.

go man u go man u go
hakika fergerson kawaingiza cha kike kwa huyu Moyes hana hadhi na sifa ya kufundisha tim za top 5 za ligi.
 
Tena ngoja nichome mafuta nikaangalie mechi hii mitaa ya Sinza hata matokeo yakiwa ndivyo sivyo kuna vitu vingi maeneo hayo unaweza kijiliwaza ha!ha!ha!ha!Man u mpooo tukutane Soccer City!!!!!
 
MKUU unaanza kuomba huruma mapema sio mwendo ni ule ule wakunyolewa na hii ndio Mara yenu ya mwisho kucheza uefa mtaanza kuisikia bombani kwa misim kazaaaaaa.

go man u go man u go
hakika fergerson kawaingiza cha kike kwa huyu Moyes hana hadhi na sifa ya kufundisha tim za top 5 za ligi.

Moyes inabidi aondoke kwani hata senior players wanaonekana wamepoteza imani kwake...
 
MKUU unaanza kuomba huruma mapema sio mwendo ni ule ule wakunyolewa na hii ndio Mara yenu ya mwisho kucheza uefa mtaanza kuisikia bombani kwa misim kazaaaaaa.

go man u go man u go
hakika fergerson kawaingiza cha kike kwa huyu Moyes hana hadhi na sifa ya kufundisha tim za top 5 za ligi.

kwa mtazamo wang, Fergie angeweza kubadilisha matokeo ya leo, kumbuka As Roma walivyokula wiki(7) OT
 
heri watolewe leo kuliko huko mbele kwenda kupata aibu ya karne ah aha ha
 
,..... Nzi Belo mfarisayo Mndengereko @Belindajacob et al....
nawatakia Ushindi leo,....

sio kwamba nawapenda sana, la hasha...ni kwakuwa hawa #Chelsea
hususan kina King'asti tangu jana wana NgebeNaMasanga meeeengi kisa eti ni team pekee ya Uingereza
wamevuka Champions League....

Wazibeni Mdomo kidogo, halafu #UmburuKenge wenu tuendelee kuubeza mtapokutana na Bayern Munich/Barcelona au Real Madrid....

Wishing You The Best, (Leo tu!)
 
I hope leo tutapata ushindi but Moyes anapaswa kufanya maamuzi magumu leo Chicharito aanze badala ya RVP then viungo waanze Carick,Felaini na Kagawa

RVP amekuwa mzigo!!!!amebaki maneno tu anatakiwa akae nje. leo wacheze watu wa juhudi tu akina VALENCIA,WELBECK,YOUNG hawa wanajituma sana hata kama hawana talent kivile
 
Back
Top Bottom