Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Goals contribution bila consistency ni utopolo

Angekuwa anaenda hivyo kwa misimu hata 3 mfululizo ningempaisha daraja ila ni homa za vipindi.

Msimu huu karudi yule utopolo na akifikisha goal contributions hata 15-20 najikata vidole
Misimu 4 iliopita kaperform mitatu hajaperfom mmoja na huo ambao hajaperform ni timu nzima ilikua ovyo na alianza msimu kama majeruhi alicheza kama nusu msimu.

Sio kosa lake timu haina wafungaji zigo lote anabebeshwa yeye,

Sawa leo kaanza contribution moja, 14 to go ukate vidole.
 
Brighton anapigwa goli la 2 uwanjani pake.
Mpira ameachiwa yeye acheze
Anaingia joao pedro
Soka lina maajabu hawa jamaa wana kichaa ila nikashangaa siku inapigwa 5 na Everton halafu nyumbani.

Sema West Ham wamebadilika pia mido zao zipo vyema Ward Prowse pamoja na mkata umeme aliyekuwa kijana wa Ten Hag,Alvarez.

Sasa bwana upara si angetuletea huyu pia tukamtumia muda mrefu maana Case kapungua vibe
 
Kuna mtu alinotice game ya leo Elanga alionekana kuwa fit na physically kuliko alipokua Man U.


Ila Dalot ni takataka asee, tushukuru tuna Wan Bissaka, kuna move kama mbili aliua za thorough passes.

Alafu eti Dalot anapewa mkataba Wan Bissaka anazungushwa.

Mechi ijayo litimu hili lipigwe tena. Nitarudisha passion siku Glazer na wajinga wajinga wakisepa.


Hawa wenzangu wanaoogopa kuliangalia chama dawa ni moja shangilia mpinzani akilitandika I promise halitakupa stress sana.

Leo kuna watu walinishangaa bila shaka kushangilia magoli ya Nottingham.

Sasa nifanyeje?
 
Lazima Elanga aonekane yupo fit physically huenda ndio mambo ya miundombinu aliyozungumziaga Ronaldo
 
Timu za wenzetu wanafanya mazoezi gani, Wolves unakuta mijemba imepanda kweli kweli ina nguvu, Fulham kuna mijitu vile vile ile dk ya 90 Adama alipepea weee mpaka golini jitu kweli kweli, Njoo Nottingham mbele kuna Jitu Awoniyi, Bolly, Worall, asee. Yaani timu yetu tu ndio unaona kama hawali vile wala hawa nguvu.

Shida nini? Alafu mijitu inalipwa pesa ndefu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…