Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,478
Inakua slow ama website hazifunguki kabisa? Ukitumia Vpn zinafunguka?Chief-Mkwawa
nahitaji msaada wako
- natumia laini ya tigo kwenye simu
- natumia hotspot nikihitaji kutumia laptop
- nikiweka 3G napata huduma ya internet kwa website zote
- nikiweka 4g tovuti muhimu zote nakosa access kwenye laptop
jamiiforumsInakua slow ama website hazifunguki kabisa? Ukitumia Vpn zinafunguka?
nimepakuwa extensionUkitumia Vpn zinafunguka?
Pengine wamefungia mkuu, internet ni yako binafsi ama ya ofisi/serikali? Kama kuna IT pengine ameshafanya yake. Hapo solution ni vpn/proxy.jamiiforums
reddit n.k
zote hazifunguki
hizi tovuti za kizanzibari (serikali na ofisi) zinafunguka
Chai .Ibrahimovic: I'm a lion but after watching Maguire I became a cat
Mbappe: I ran with the ball Maguire was far behind me before I could reach the 18 yard box he's already infront waiting for me
Messi: I refused to come to the Premier league because of Harry Maguire
Neymar: he's the toughest defender I've ever faced
Pep Guardiola: if Defence was an art, Maguire will be the Picasso of it
Sergio Ramos: people say I'm the best defender in the world, but after watching Maguire I realise they were smoking weed.
Cristiano Ronaldo: he's probably the best centre back I've ever played with, the way he stretches his leg to tap-in an Own goal is so unbelievable
De Gea: whenever I have Maguire infront of me I'm always speechless, he's unbelievable
Lindelof: he's the best defence partnership I've ever played with, we contributed a lot of goals together
Haaland: i would love to play against United, but if Maguire will play I'll fake an injury
Graham Potter: he's a very generous person, he doesn't care what side he's playing on, he just score for everybody
Paolo Maldini: in my prime I wasn't even close to Maguire
Pele: if Maguire had played in the 90's with me I wouldn't have scored up to 50 goals
Ronaldinho: the toughest defender I've come across was Maldini and Pepe but after watching Maguire I realise i was wrong
Phil Jones: he's my role model, he taught me alot in the defence academy
Eden Hazard: I ran away from the Premier league cuz of him
LIVING LEGENDARYView attachment 2727360
Naunga mkono hojaHii timu ni ya Kik*uma haki ya mama.View attachment 2724250
Najaribu kutafakari Imekuwaje dortmund ni ya 9 na Psg ni ya 15Global club football rankings
[FiveThirtyEight]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2726113
Bado hamjasema!😂😂Ukisikia huu msimu kazi tunayo ndio hapa dah matatizo kila sikuView attachment 2727727
Niliwahi sema hapa ,makosa anayofanya kocha wenu ,mtakuja kuwalaumu Grazzer familyGlazer ni tatizo
Hapa hatuzungumzii makosa ya kocha tunaongelea sajili zaidi haiwezekani timu imefuzu Champions League tulategemea hata sajili 6-7 za kuongeza nguvu ila tumeishia 3 tena moja ya kipa.Niliwahi sema hapa ,makosa anayofanya kocha wenu ,mtakuja kuwalaumu Grazzer family
Kabla ya kuongeza sajili 6-7 ,jiulize kwanza je Kocha kawaongezea Nini au kuwainua viwango baadh ya aliowakutaHapa hatuzungumzii makosa ya kocha tunaongelea sajili zaidi haiwezekani timu imefuzu Champions League tulategemea hata sajili 6-7 za kuongeza nguvu ila tumeishia 3 tena moja ya kipa.
Wanasingizia timu iuze wachezaji ndio isajili wakati ipo capable kusajili bila kuuza kutokana na mapato yake basi wanasambaza propaganda kwa media.
Kocha nitamlaumu kwa sajili ya Antony na Mount tu ila kwa Hojlund ni makosa ya watu wa juu waliofahamu kwamba majeruhi ila wakapiga sanctioning.
Glazers hawakwepi lawama kabisa hapa
Haya madini unayowapa ilibidi uwe unalipwaKabla ya kuongeza sajili 6-7 ,jiulize kwanza je Kocha kawaongezea Nini au kuwainua viwango baadh ya aliowakuta
Ni Kuna shida Mahali hasa management na bench la ufundi ,haiwezekani leo Sancho aliyekuwa anaenda kuwa world class player pale BVB awe Kama Dikson ambundo , mchezaji Kama Mactominay, Fred , kocha kashindwa ku utilise ubora wao , Ni muoga pia kuwapa nafasi makinda , last season kila mechi wachezaji hao hao iwe Carabao au FA au Ligi, Degea kadaka michuano yote , Casemiro kachafua michuano karibu yote ,
Hapa fatigue lazima iwakumbe tu,
Hii iliwakuta Liverpool walipopigania mataji manne kwa kikosi hiko hiko ,plus umri wa wachezaj ,msimu uliofata hata kukimbia wakawa hawawezi ,
Takwimu zinasema mpaka Sasa mount casemiro na Bruno ndio viungo wanaopitwa kirahisi
Wachezaji 6-7 hapo unazungumzia timu nzima kabisa ,kitu ambacho sio afya kwa timu Kama manjesta
Kuna kasumba mmemezeshwa Baadhi ya wachezaji ni wabovu na hawafai kuchezea manjesta ,sababu kuu ninayoiona kocha ameshindwa kuwainua viwango Baadhi ,ukichanganya na sajili za Mwaka Jana na mwaka huu tayari unaanza kupata timu shindani
Lakin tujiulize why mpaka Sasa bado kocha ana struggle ku install playing style yake , why sajili zake nyingi hazina malengo ya muda mrefu au kuingia moja kwa moja first eleven na kutoa impact
Kuna wachezaj wengi wazuri Kama Olise , Eze , Tielemans , waliokuwa wanapatikana kwa Bei za kawaida tu
Angalia Sasa mnaenda kusaka backup GK kwa €15m ambaye Hana uwezo wakumzidi Matej au Heaton ,
Grazzer wao wana approve pesa zitumike wakiamin watapunguza lawama lakin ndio Kama zinazid
Kocha unawezaje kuruhusu kitu Kama hicho
United fans love blaming the Glazers but they’ve gave Ten Hag £400m in two seasons and the squad is arguably worse/just as bad as when he took over
Achana na Sancho mimi sijazungumzia yeye hapo kuna vilaza wapo tangu wakati Ole anafika ila hawabadilikagi.Kabla ya kuongeza sajili 6-7 ,jiulize kwanza je Kocha kawaongezea Nini au kuwainua viwango baadh ya aliowakuta
Ni Kuna shida Mahali hasa management na bench la ufundi ,haiwezekani leo Sancho aliyekuwa anaenda kuwa world class player pale BVB awe Kama Dikson ambundo , mchezaji Kama Mactominay, Fred , kocha kashindwa ku utilise ubora wao , Ni muoga pia kuwapa nafasi makinda , last season kila mechi wachezaji hao hao iwe Carabao au FA au Ligi, Degea kadaka michuano yote , Casemiro kachafua michuano karibu yote ,
Hapa fatigue lazima iwakumbe tu,
Hii iliwakuta Liverpool walipopigania mataji manne kwa kikosi hiko hiko ,plus umri wa wachezaj ,msimu uliofata hata kukimbia wakawa hawawezi ,
Takwimu zinasema mpaka Sasa mount casemiro na Bruno ndio viungo wanaopitwa kirahisi
Wachezaji 6-7 hapo unazungumzia timu nzima kabisa ,kitu ambacho sio afya kwa timu Kama manjesta
Kuna kasumba mmemezeshwa Baadhi ya wachezaji ni wabovu na hawafai kuchezea manjesta ,sababu kuu ninayoiona kocha ameshindwa kuwainua viwango Baadhi ,ukichanganya na sajili za Mwaka Jana na mwaka huu tayari unaanza kupata timu shindani
Lakin tujiulize why mpaka Sasa bado kocha ana struggle ku install playing style yake , why sajili zake nyingi hazina malengo ya muda mrefu au kuingia moja kwa moja first eleven na kutoa impact
Kuna wachezaj wengi wazuri Kama Olise , Eze , Tielemans , waliokuwa wanapatikana kwa Bei za kawaida tu
Angalia Sasa mnaenda kusaka backup GK kwa €15m ambaye Hana uwezo wakumzidi Matej au Heaton ,
Grazzer wao wana approve pesa zitumike wakiamin watapunguza lawama lakin ndio Kama zinazid
Kocha unawezaje kuruhusu kitu Kama hicho
United fans love blaming the Glazers but they’ve gave Ten Hag £400m in two seasons and the squad is arguably worse/just as bad as when he took over
Tutawatukana mkiweza kutwaa ubingwa hakuna makamu bingwaHaya madini unayowapa ilibidi uwe unalipwa
Ila walivyokua vichaa watakuja kututukana Kule the Gunner