De Zerbi ni kocha wetu ajaye ole wako uje kumpondaNi swala la muda mtaelewa ninachozungumza daily kuhusu Erik 7 hag a Dutch Tony pulis
Ukiangalia Chelsea ,Spurs tayari Wana identity ya uchezaji sababu makocha wao Wana uwezo mkubwa
Nimekuwa nikihoji na nitaendelea kuhoji uwezo wa a Dutch David Moyes Erik 7 hag,
Ninachoomba tu wasije mpata Roberto Di zerbi
Usifananishe arsenal na vitu vya ajabuNyumbu wa Tarangire.
Huu mwaka mtajiua kama washabiki wa Asenyani
Wamachinga tu hawaHili li timu linajua kuuza jezi tu na kuongeza mapato ndani ya timu
Conte Mimi nilianza kumponda mechi za awali kipind wachambuzi uchwara wanaipa Spurs u title Contender, kwa ule mpira huwez toboa EPL ya Sasa Kuna standard zimewekwa ,Kuna mpira unalazimishwa ucheze ili uokote pointsTottenham haina mpira wwte wa maana , ni kuwa wamekutana wote wanajifunza kucheza mpira wa Pasi aliyetangulia kuimprove ndo ameshinda , huwez kumponda konte Kwa hzi mechi mbili
Je wajua hata Mount anashangaaa kwa nn alikuja man UnitedHalafu mount akapewa namba 7
Unaongea Kwa mahaba tuuu , subiri ifike DecemberNi swala la muda mtaelewa ninachozungumza daily kuhusu Erik 7 hag a Dutch Tony pulis
Ukiangalia Chelsea ,Spurs tayari Wana identity ya uchezaji sababu makocha wao Wana uwezo mkubwa
Nimekuwa nikihoji na nitaendelea kuhoji uwezo wa a Dutch David Moyes Erik 7 hag,
Ninachoomba tu wasije mpata Roberto Di zerbi
Amka mkuuHizi hasira tutazimalizia kwa Arsenal we ngoja tu
Pamoja mkuu, wataweka sawa ,kumbe Uzi wenu bado unasumbuaMkuu naomba nikusalimie hata kwenye uzi wa hawa panda milia HESHIMA YAKO MKUUU maana nyuzi zetu wamezikorofusha
Chelsea ni majambazi na mahainiUkiwekewa statistics zake za leo utashika mdomo
Tatizo kocha nae ananunua takataka kama akina Anthony. Mpaka kuja kununua wachezaji hasa na kuondoa takataka zilizokuwepo kama akina Rashford itachukua mudaNiliwaambia humu majuzi game ya wolves kua kuna siku wasipo kua makini watakula double figures ya magoal.
Man u ukiangalia kikosi chao bado wana Takatak nyng sana wanazikumbatia.
Ifike sehem wachezaj wengne unawavunjia hata mkataba unamlipa hela zake zote unamwambia sikutaki we ondoka tu.
Utasikia ssa hiv ze greb to nyumbu fcConte Mimi nilianza kumponda mechi za awali kipind wachambuzi uchwara wanaipa Spurs u title Contender, kwa ule mpira huwez toboa EPL ya Sasa Kuna standard zimewekwa ,Kuna mpira unalazimishwa ucheze ili uokote points
Conte kufika February akatupa taulo wale wale waliompa u title Contender wakamgeuka
EPL ya Sasa ukimleta hata Jose Mourinho wanaweza mshusha hata daraja
Wale wolves ni wakawaida Sana lakin niliona vs manjesta walikuwa Bora ,kawaangalie leo walicheza na Brighton ya Di zerbi ambayo inacheza soka hatari Sana ,walivyonyanyasika
Hata Argentina kwenye kombe la dunia ilianza vibaya kwa kufungwa na Saudia lakini baadaye wakatwaa WC.
Hata Argentina kwenye kombe la dunia ilianza vibaya kwa kufungwa na Saudia lakini baadaye wakatwaa WC alisikika shabiki wa mani aking'aka.
Pole mkuu,a Dutch david moyes erick 7hagkinaturamba huko.
Yule kwa uongoz wa manjesta hawawez mleta , yule namuogopa kuliko hata GuardiolaDe Zerbi ni kocha wetu ajaye ole wako uje kumponda
Kwa madudu ya viongozi wetu kocha yoyote anafeli labda aje Glazers wakiwa washaachia timu
Umetolea mfano WA ajabu sana....Argentina ile ilikuwa na watu wa kazi....hii Man U unaona mtu wa kazi nani...ni kama walikusanyana nusu saa kabla ya mechi wakagawana jezi wakaingia uwanjani kucheza.....wapowapo tu...inasikitisha kwakwliHata Argentina kwenye kombe la dunia ilianza vibaya kwa kufungwa na Saudia lakini baadaye wakatwaa WC alisikika shabiki wa mani aking'aka.