Sasa acheze nani kama MM kachemsha?Sijajua kwa nini ETH anampenda Erickson. Hii mechi ina spidi kubwa haitakiwi mtu mzito, aliyezeeka kama Erickson.
Jamaa una maono dah!Hapa inaweza tokea butua butua nyumbu akapata goal, ingawa hakuna wanachocheza uwanjani
Hili nililiona kwa mbali sanaJamaa una maono dah!