D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
Alvarez,Westham kasajili kweli?
Ward prowse
Maguire yupo njiani.
Paundi millioni 100 kwa hao watatu
Alvarez,Westham kasajili kweli?
Mwamba anapukutisha hatariMaguire, VDB, Telles, Bailly, Lingard, Mata, Matic, Pogba, Cavani, Elanga, De Gea, Jones, Martial, Fred, McTominay, Williams, Pereira, Henderson, Ronaldo.
Heart surgery

Lisandro Martínez: "We can't wait for the season to start. Everyone is excited, we're impatient and it shows that we want to start well and that we want to play." 








Hao wote walikuwa kwenye payroll mwaka mmoja uliopita.Mwamba anapukutisha hatari
Huenda dirisha lijalo Van Gaal Legacy atabaki Luke Shaw na Mourinho Legacy atabaki Dalot na Lindelof tu.Hao wote walikuwa kwenye payroll mwaka mmoja uliopita.
Kipara anafanya ukatili wa hali ya juu,
😂😂😂7Hag decided to keep Marcus Rashbeck and Luke Shaw over Cr7 and Alex Telles
View attachment 2715771
Kuna shida gani kama anatupa matokeo? Mbona kamtoa Bailly, Maguire, Tuanzebe alafu kamsajili John Evans au JE ni U18?
Mkuu unaelewa mpira lakini?
Yaani team kubwa kama Man U tutengeneze timu kumzunguka mzee wa miaka 39?
kItuko cha karne hiki.
Comparison isiyoendana.Kuna shida gani kama anatupa matokeo? Mbona kamtoa Bailly, Maguire, Tuanzebe alafu kamsajili John Evans au JE ni U18?
Hana akili huyo ana wazimu akashabikie rede mpira hajuiComparison isiyoendana.
Isiyo endana kivipi mzee umeongelea suala la umri wakati tumemsajili John Evans, au umri una play part kwa Ronaldo tu.Comparison isiyoendana.