Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimeangalia clip yake ya dakika 2, amenishangaza.
---------
Nje ya mada
Kwa nini orthodox winger wamepotea?
Ufundi katika mpira umeivolve kwa kiwango kikubwa sana makocha kwenye maeneo mengi hawaangalii sana kama mchezaji ni specialist kwenye eneo fulani.

Wanachoangalia ni workrate na uwezo wa kuexcute gameplan.

Eneo pekee ambalo haija shake kwenye modern football ni DM midfield alone.

Central Defenders wanatakiwa wanatakiwa kuwa sehemu ya build up na kucheza juu ya msitari wa ulinzi.

Fullbacks wanauza wenye uwezo wa kushambulia zaidi kuliko kudefend na recently few managers wanawaforce full backs kuingia kwenye midfield kuwa inverted fullbacks sometimes wanakuwa wing backs.

Mabadiliko kwenye role za full backs zinafanya wingers wawe wanacheza kwenye angle A na B ya uwanja na full backs wachukue position ya za orthodox wingers.

Nowadays crosses nyingi zinapigwa na fullbacks kutanua uwanja wanatanua fullbacks.kutengeneza midfield overload wanafanya fullbacks.

Link up plays wanafanya strikers kwa kutumia wide fowards (Not wingers).

4 3 3, 4 2 3 1, 3 5 2, 4 3 2 1 na 3 4 3 zinafanya orthodox wingers wasiwe na matumizi, wana umuhimu pale tu wanapoweza kuscore goals kama wide foward, na kutrack back.
 
Nimeangalia clip yake ya dakika 2, amenishangaza.
---------
4 3 3, 4 2 3 1, 3 5 2, 4 3 2 1 na 3 4 3 zinafanya orthodox wingers wasiwe na matumizi, wana umuhimu pale tu wanapoweza kuscore goals kama wide foward, na kutrack back
Umejibu Poa sana Al Watani! Ukianzia Olise, Yule Mkali anajua Haswa na UTD Namna inaendeshwa Hovyo ni moja ya Talanta walipuuzia, Kuna wakati Woodward angekubali kuwa na DOF na TechD, angekuwa leo Hii ana Caicedo, Bellingham, Haaland, Enzo, Alvarez na Hojlund {Tumempata but Scouts wali-reccomend kabla ya yeye kwenda Sturm Gruz},

Kwa nini orthodox winger wamepotea?
Hii mada kuna Mahala nshakutana nayo ila Hitimisho kubwa waligusia Mambo mengi ila mimi naona kama ma3 {Sio Sheria kwamba ndo hizo tu ndo sababu}
1.MIFUMO:
Hapa kiuhalisia Makocha wachache sana bado wanatumia 4~4~2, hii ndo ilikuwa rahisi kuwa na Orthodox na timu yetu miaka yote imekuwa maarufu kwa sababu ya Wings, Giggs, Becks, and Co. ila Huwezi iona UTD Karibuni n mfumo huo sababu imekuwa kama ya kizamani ingawa kwa inaowapa Matokeo bado wanatumia kama Simeone kuna kipindi alikuwa anatumia Orthodox

2.Aina za Uchezaji na Wachezaji, Walimu na Mbinu
Hapa Ajax ndo alibadili mwelekeo mzima wa Mpira na namna unaathiri wachezaji, Ile TOTAL FOOTBALL Ilikuja kuwa mpira wa majukumu ya wote na zaidi mfumo tawala ukawa 4~3~3 hapa Orthodox ngumu kuoperate, {Inaingia kwenye Pt.3}

3.Matumizi ya Nafasi,
Hawa tunaita Inverted Fb's, Hii imekuja kuwa Maarufu ila Inverted ya Wingers ndo ilianza mana majukumu ya FB's yakabadiliaka yakawa ndo yale unasikia Beki ya Kupanda na kushuka {Hii ndo Overlapping} sasa hili lilisababishwa na Wings kuingia ndani kushambulia Nafasi nusu zile. Walimu wengi wakaja na namna ya matumizi ya Unorthodox na nadhani Combo nzuri zaidi na World Class Ilikuwa ya ROBBERY {Ribery na Robben}

Hizo ni kama Hints tu, Siku hizi sio kama Orthodox hazizalishwi ila Academies nyingi tangu utoto unakuta Player ashatengenezwa Unorthodox, Sisi UTD season mbili Nyuma tumekuwa na Dan James ila unaona sio World Class, Now tuna Pellistri! Orthodox wa kiwango cha Juu naenda kwa Chiesa, Sane na Gnabry yani hawa ukiwabadili wawe Unorthodox wanakuwa na Performance ya kawaida ila ukiwaeka nafasi Old School kwamba RW for Right Foot and LW for Left Foot, full back zinapata kazi ya ziada.
 
7Hag ni kirusi
IMG_20230812_160142.jpg
 
Umejibu Poa sana Al Watani! Ukianzia Olise, Yule Mkali anajua Haswa na UTD Namna inaendeshwa Hovyo ni moja ya Talanta walipuuzia, Kuna wakati Woodward angekubali kuwa na DOF na TechD, angekuwa leo Hii ana Caicedo, Bellingham, Haaland, Enzo, Alvarez na Hojlund {Tumempata but Scouts wali-reccomend kabla ya yeye kwenda Sturm Gruz},


Hii mada kuna Mahala nshakutana nayo ila Hitimisho kubwa waligusia Mambo mengi ila mimi naona kama ma3 {Sio Sheria kwamba ndo hizo tu ndo sababu}
1.MIFUMO:
Hapa kiuhalisia Makocha wachache sana bado wanatumia 4~4~2, hii ndo ilikuwa rahisi kuwa na Orthodox na timu yetu miaka yote imekuwa maarufu kwa sababu ya Wings, Giggs, Becks, and Co. ila Huwezi iona UTD Karibuni n mfumo huo sababu imekuwa kama ya kizamani ingawa kwa inaowapa Matokeo bado wanatumia kama Simeone kuna kipindi alikuwa anatumia Orthodox

2.Aina za Uchezaji na Wachezaji, Walimu na Mbinu
Hapa Ajax ndo alibadili mwelekeo mzima wa Mpira na namna unaathiri wachezaji, Ile TOTAL FOOTBALL Ilikuja kuwa mpira wa majukumu ya wote na zaidi mfumo tawala ukawa 4~3~3 hapa Orthodox ngumu kuoperate, {Inaingia kwenye Pt.3}

3.Matumizi ya Nafasi,
Hawa tunaita Inverted Fb's, Hii imekuja kuwa Maarufu ila Inverted ya Wingers ndo ilianza mana majukumu ya FB's yakabadiliaka yakawa ndo yale unasikia Beki ya Kupanda na kushuka {Hii ndo Overlapping} sasa hili lilisababishwa na Wings kuingia ndani kushambulia Nafasi nusu zile. Walimu wengi wakaja na namna ya matumizi ya Unorthodox na nadhani Combo nzuri zaidi na World Class Ilikuwa ya ROBBERY {Ribery na Robben}

Hizo ni kama Hints tu, Siku hizi sio kama Orthodox hazizalishwi ila Academies nyingi tangu utoto unakuta Player ashatengenezwa Unorthodox, Sisi UTD season mbili Nyuma tumekuwa na Dan James ila unaona sio World Class, Now tuna Pellistri! Orthodox wa kiwango cha Juu naenda kwa Chiesa, Sane na Gnabry yani hawa ukiwabadili wawe Unorthodox wanakuwa na Performance ya kawaida ila ukiwaeka nafasi Old School kwamba RW for Right Foot and LW for Left Foot, full back zinapata kazi ya ziada.
Umepita mule mule mifumo niliorodgesha hapo ni popular sana siku hizi na hiyo ndiyo inafanya Orthodox wingers wasiwe na matumizi.

Lakini hata 4 4 2 ni mfumo ambao umeshaanza kuwa outperformed kwa sababu ya mifumo common kwa sasa inabana channels za Orthodox wingers kukimbia, plus 10s nao ni kama wanapotea potea.
 
Lisandro Martínez: "We can't wait for the season to start. Everyone is excited, we're impatient and it shows that we want to start well and that we want to play."

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230812_203259_900.jpg
 
Back
Top Bottom