xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,918
Simchukii 7Hag, shida ni kwamba mashabiki wengi wa utd hamtaki kuambiwa ukweli, tumekua tuki hype sana signing zetu ambazo ni mediocre mwisho wa siku zinakuja kutuumbua. Hata 7Hag ni kocha wa kawaida saana level zakina Moyes kisa ana kipara mnafikiri ni Gurdiolakwa tabia ya Ronaldo timu isipotengenezwa kumzunguka yeye hapo ndo ugomvi unapoanzia kwa ila 10hag hajui kama unamchukia ungechukulia haya mambo kawaida tu au unapumzika hadi akitoka then unaendelea na kushabikia timu yako pendwa

Lisandro Martinez on his ideal partner at the back: “I would choose Nemanja Vidic. His mentality, his motivation and he’s always hungry.”







