Sijui wenzangu munauangalia mpira kwa njia gani, ukiniuliza mjinga mimi mpaka sasa tumesajili wachezaji wangapi nitakujibu tumesajili mchezaji mmoja muhimu zaidi kati ya watatu tuliowasajili.
Naye ni Andre Onana.
Je tunataka twende head to head na arsenal na man city zenye midfield aina ya partey na rodri?
Jawabu letu ni sofyan amrabat.
Huyu para ndiye atakayetufanya tuwe na jeuri.
Majirani muna haki ya kubweka
Dah! Gwiji we ni moja ya wadau naonaga michango yao kisoka ipo Mbali mno, Kwenye Hili sijajua Wasiwasi unatoka wapi, (UTD Winning % with Casemiro walikuwa wanasema ni ~74% na Kutokuwepo kwake ilidrop Mpaka ~42%)
Tuanze na
Mount, Huyu sio Ajali Arteta, Klopp, Tuchel na ETH wote kumuhitaji, Jamaa hana Games Nyingi sababu ya Mambo ya Contracts na Ishu nyingine zilokuwa zinaendelea Chelsea, Inshort hakuna Kizuri toka kwa Chelsea ya Last Season. Walimu wote nimewakutajia juu hapo wanakubali Uwezo wa Jama kwenye
Half Turn ama Uwezo wa kupokea Mpira kwenye nafasi iliyo baina ya wachezaji wawili wa timu Pinzani {Still ina Terms nyingi za kuielezea} na Kufanya
Counter Pressing,
Rodri, Hapa inabidi umtake Radhi Casemiro asee, Rodri ni Mzuri sana kwa anachokifanya but still anafanya kulingana na Mwalimu husika, kuna wakati Fabinho akiwa fully fit ingeweza kuwa Comparison ya jamaa, Huyu Mkali alikuwa anachipukia Marcelino anambania ila ungekuwa umebahatika waona Villareal wakati ule walikuwa na yule Bruno Soriano na Manuel Trigueros. Nakwambia yote haya kwa nini? Mchezaji ni Mwalimu, Klopp kapewa Among the Best DLP kwa Alcantara na Among the Best Progressive MD's in Nabi Keita ila Wote wameshindwa {Unaeza Argue kuhus Injuries, n.k ila Shortly wamekuwa Flops} lakini alikuwa ameweza fanya wonders na Henderson and Co.
Partey, Hawa ndo wale tunawapa jina Underrated, Jamaa Player haswa ila Mimi imani na Mchezaji Black kwenye suala la umri naonaga kizungumkuti maana kuna Stage wanakuwa hawatibiki ni Injury after Injury nakuwa nahisi Umri halisi ndo umeanza fanya kazi, Hawa Mabwana yeye na Rodri wametoka Chama moja japo hawakucheza mda Mrefu pamoja ila kama ulikuwa unatizama la Liga sijui kama ungeweza waweka among the best DM's but kulingana na aina ya matumizi ya walimu wako nao sasa, time hii kila Mmoja anawa-rate High,
Nimeyasema hayo hapo juu yote kwa sababu 1, Casemiro Madrid na Selecao wamepata the Best yake kwa sababu wamemtumia kulingana na Strengths zake, Yule kitu anakuwa Bora zaidi timu inapokuwa haina Mpira, Ni tofauti na wenzake wawili juu hapo na ukitaka jua still jamaa anoffer kitu kikubwa tizama Madrid bado wanataabika kuhusu nafasi yake, Kina Tchouameni wazuri but they're yet kuwa Wabadala wa Jamaa. So ujio wa Amrabat nadhani ni Rotations zaidi ila sio kuanza mbele ya jamaa na hata wakitumika Pamoja ni zile game Ngumu za away ambazo moslty ukimfatilia ETH alishafanya kuswitch kwenye 4~1~2~1~2 Diamond na hapa Ukiwa na Amrabat na Casa unakuwa na Protection kubwa sana!
Inatosha asee!