Mdogo mdogo naona mambo yanaenda si haba 🔥🔥🔥🔥OFFICIAL: Rasmus Højlund is a Manchester United player.
Welcome to the Theatre of Dreams, Rasmus
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2709193
Tulia kijana upate burudani watu wazima tunatoa burudani leo


Achana na Onana mikono miaTulia kijana upate burudani watu wazima tunatoa burudani leo![]()

Tumeacha kumsajili Caicedo tukacheza kamari kwa huyo jamaa na hana maajabu yoyote!Aiseeee tokea pre-season imeanza huyu Fremason binafsi sijaona impact yoyote toka kwake zaidi ya zile picha zake tu za kupendeza amepiga akiwa anatabasamu ndani ya uzi wa Man Utd.
Hatuwez fanya huo ujingaArsenal wakimuuza partey nitafurahi sana
Mtawanga Sana huu mwakaArsenal wakimuuza partey nitafurahi sana



Huyu kijana ligi ikianza akiendelea na mambo yake watu watakuwa wanamtungua mpaka akomeOnana kwanini asiwe anatulia kwenye mstari wake pale timu inapokuwa inashambulia!?
View attachment 2709230
Ila kuna wachezaji wengine wanasajiliwa unabaki tu kukaa kimya labda watabadilikaAiseeee tokea pre-season imeanza huyu Fremason binafsi sijaona impact yoyote toka kwake zaidi ya zile picha zake tu za kupendeza amepiga akiwa anatabasamu ndani ya uzi wa Man Utd.
Mi nilishangaa sana uefa alivyokuwa anatoka mpaka kukaribia katikati 😄😂 hio michezo akiendelea epl kwa jinsi ilivyo vululu vululu sijuiKama ulivyosema ,bado EPL awe anatoka hivo hivo
EPL ni nyepesi sanaMi nilishangaa sana uefa alivyokuwa anatoka mpaka kukaribia katikatihio michezo akiendelea epl kwa jinsi ilivyo vululu vululu sijui
Ndio anavyofanyaga hivyo kila inapotokea kona au zikiwa zimebaki dk 2 na wanaongozwaEPL ni nyepesi sana
Alison anatokaga golini anaenda mpaka goli la mpinzani kwenye kona anagombania na mpira wa kona kabisa
Huyu jamaa namuona yuko vizuri sijui ttz lake liko wapiArsenal wakimuuza partey nitafurahi sana
Huyu Fremason Mount mbona kama ana uWighorst ndani yake?
Unakosaje sasa kufunga goli uko peke yako tu na kipa?
Hivi Chelsea mnatuchukuliaje kwani?
Kwani pesa yenu mshalipwa yote maana dirisha bado liko wazi.