KENGE 01
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 1,770
- 4,393
EPL ni nyepesi sanaMi nilishangaa sana uefa alivyokuwa anatoka mpaka kukaribia katikatihio michezo akiendelea epl kwa jinsi ilivyo vululu vululu sijui
Alison anatokaga golini anaenda mpaka goli la mpinzani kwenye kona anagombania na mpira wa kona kabisa

hio michezo akiendelea epl kwa jinsi ilivyo vululu vululu sijui
