Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nawahurumia sana msimu mkianza mtalia sana nyumbu
20230805_153910.jpg
 
André Onana is beaten from the halfway line after a Lens stunner

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2709236
IMG_20230805_153559_642.jpg
View attachment 2709237View attachment 2709238
 
Kwa hizi beki zetu Onana atafungwa goli nyingi sana Kama hizi akiendelea kuvuka mstari… ieleweke timu yetu bado hatuna viungo wa kuficha mpira angalau kwa dk1.. So counter yoyote kuja kwetu ni maumivu hasa ukizingatia hizi beki zetu. Hili goli ni la Varane kabisaaaa… kashindwa kocontrol pass imempita akiwa kwenye possision nzuri tu… na kwasababu alishasogea kumsaidia coz alishaona Show amefungua kule kushoto…. Kosa moja gori moja.. Na ligi ndo hii inaanza kesho tu.. kunahaja ya beki wa kati wa kumsaidia Martinez otherwise tutapikwa sana msimu huu
 
Huyu Fremason Mount mbona kama ana uWighorst ndani yake?
Unakosaje sasa kufunga goli uko peke yako tu na kipa?
Hivi Chelsea mnatuchukuliaje kwani?
Kwani pesa yenu mshalipwa yote maana dirisha bado liko wazi.
Akisema hamis77 unachukulia chuki za kishabiki

Technically nyumbu mmeshatupa kitaulo
 
Hili goli ni la Varane kabisaaaa
Right half space itatuadhibu sana, hapo ndipo unapomtamani diomande wa sporting, kim min jae au todibo.

Varane ana changamoto na fullback zetu za kulia zina changamoto.

Kaiangalie mechi ya real na dortmund.

Wan bissaka anarejea makosa yale yale.

Nafikiri ndio maana ten hag alimtumia kobbie mainoo upande wa kulia tunapofanya buildup dhidi ya arsenal, ili kuminimize risk tunapokuwa pressed upande wa kulia
 
Back
Top Bottom