hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,250
- 26,641
Pepe mwenyewe aliwafunga goli na assist ,au umesahauAntony goli lake la kwanza kwenye Epl alianza kwa kuwagonga Arsenyo, halafu kilicho wakera zaidi Arsenyau ni vile Antony alivyo wang'ong'a baada ya kuwatia bao maridadi kabisa.
Tokea siku hio Arsenyani wote wamekua na kinyongo kisichoisha kwa hii talent ya kibrazili. View attachment 2693140


Sir Jim Ratcliffe is prepared for #mufc’s protracted potential sale to enter the new season if required and is putting no timeframe on when the Glazers need to make a decision.
BREAKING! 
@MikeKeegan_DM has the latest 