Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Antony goli lake la kwanza kwenye Epl alianza kwa kuwagonga Arsenyo, halafu kilicho wakera zaidi Arsenyau ni vile Antony alivyo wang'ong'a baada ya kuwatia bao maridadi kabisa.
Tokea siku hio Arsenyani wote wamekua na kinyongo kisichoisha kwa hii talent ya kibrazili. View attachment 2693140
Pepe mwenyewe aliwafunga goli na assist ,au umesahau
 
Kuna biashara ya kitapeli inataka kufanyika na watu wamekaa kimya
20230719_100644.jpg
 
Nyie inabidi tuwakande nje ndani msimu huu ili heshima irudi. Arsenal mmetushikia point 6 zetu.
Kwa manjesta hii ambayo tukikutana nayo inapaki Basi au ipi?

Hii manjesta inayohitaji miujiza ya Rashford na casemiro miaka 30+,

Jengeni timu kwanza yenye uwezo wakukaa na mpira kwanza
 
Tupo pamoja Sir Jim a.k.a Dr.Shika wa UK

Sir Jim Ratcliffe is prepared for #mufc’s protracted potential sale to enter the new season if required and is putting no timeframe on when the Glazers need to make a decision.

[@JamieJackson___]
 
Huu upuuzi wa kulipa watu mishahara mikubwa sijui nani alitudanganya, Rashford yule ilitakiwa alipwe 200k tu, mana unajua hakuna team ya kumpa hizo 325, ni pesa ndefu mno, wachezaji wa kulipwa $300 pale UTD hawapo an
Hii ni list ya winga bora kuliko Rashbeck lakini wanalipwa kidogo kuliko huyu pepe wa kingereza

Vinicius Jr
Rodrygo
Rafael Leao
Diogo Jota
Luis Diaz
Grealish
Foden
Federico Chiesa
Kingsley Coman
 
Like I said siku zote , Grazzer wanacheza na akili za mashabiki wa manjesta

Walifanya hivo mwaka Jana na mwaka huu wanafanya hivo

Wale madalali wa Sheikh Jasim kina Flano Forgotten na wengine Timu haiuzwi hii


BREAKING!

The Glazer family will still be in control of #mufc when the Premier League season starts

[@MikeKeegan_DM]-Tier 1
 
Duh hizi dharau zimezidi sasa. Nasemaje ligi ianze tu tuwaone kama kweli mtaweza mziki wa kukimbizana na wakubwa zenu (City,United, Liverpool).
Liverpool anauza fabinho na Henderson, anahaha kupata DM, anategemea hasa form ya salah miaka 33 ambaye alishaonesha kushuka ,factors Kama hizi muwe mnaziangalia mnapoziweka timu kwenye ubingwa ,sio baadae mnakuwa surprised ,mwaka Jana sikuwa shocked na Liverpool kuchechemea ,

Manjesta una mbadala wa casemiro ambaye suspension,injury zikitokea ?

Una mbadala wa Rashford , na CF?

Msiropoke tu kuweka timu kwenye title race bila ku count some factors

Kile kikos Cha Chelsea ,Gaby Agnobo kasema hata nafasi 10 waitafute
 



EXCL: The Glazers could pull the plug on the sale of manutd

@MikeKeegan_DM has the latest View attachment 2693461
Acha kujichekesha kama Mmama hii kitu nishaelezea humu ndani siku za nyuma japo hawa jamaa wamechelewesha wakati.


Takeover ni process ndefu bado wataendelea kuwa kwenye power kwa sababu hata wakishauza itachukua wiki 8-12 Premier League kuapprove hiyo ownership mpya so tuendelee kusubiri tu kwa sababu hata wakiuza sasa bado wataendelea kushika usukani kwa huo muda

Kaanglie takeover ya Newcastle ilichukua muda gani.


Hilo unaloliwaza linaweza kutokea,basi hadi hapa naomba timu ifanye vibaya ili wauze kwa presha ya mashabiki maana ikiwa katika ubora tu watapata excuse ya kuendelea kuwepo.
 
Like I said siku zote , Grazzer wanacheza na akili za mashabiki wa manjesta

Walifanya hivo mwaka Jana na mwaka huu wanafanya hivo

Wale madalali wa Sheikh Jasim kina Flano Forgotten na wengine Timu haiuzwi hii


BREAKING!

The Glazer family will still be in control of #mufc when the Premier League season starts

[@MikeKeegan_DM]-Tier 1
Glazers wakisubiri msimu uanze hali itakuwa mbaya kwao.

Kuna dalili za mechi ya ufunguzi kuahirishwa.
 
Back
Top Bottom