Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

make kwanza nicheke ,kwa mpira gani huo ?

Nyie kumaliza juu yetu sahahuni

Mna kocha anafundisha mpira wa ovyo Sana


Wayne Rooney Leo amesema yupo inspired na Arteta kuliko 10 hag
Rooney on Arteta:

"That is where you want to get to as a young coach. I am going through the steps to try and do that."

(@sistoney67 )


Huwa nasema daily humu 7+3hag ni kocha wa kawaida Sana ,, na Sion akitoboa ,, na msimu huu kwa mpira ule kitawakuta Cha Chelsea Cha mwaka Jana ,nafasi ya 10-12
Aisee,huyo ateta msimu wa kwanza alifanya nn
 
make kwanza nicheke ,kwa mpira gani huo ?

Nyie kumaliza juu yetu sahahuni

Mna kocha anafundisha mpira wa ovyo Sana


Wayne Rooney Leo amesema yupo inspired na Arteta kuliko 10 hag
Rooney on Arteta:

"That is where you want to get to as a young coach. I am going through the steps to try and do that."

(@sistoney67 )


Huwa nasema daily humu 7+3hag ni kocha wa kawaida Sana ,, na Sion akitoboa ,, na msimu huu kwa mpira ule kitawakuta Cha Chelsea Cha mwaka Jana ,nafasi ya 10-12
EtH msimu wa kwanza tu ana kombe na timu ipo UCL.

Arsenyani mmeotea msimu mkajiaminisha mnachukua EPL vipigo vilipoanza wote mkajificha.

EtH ana msimu mmoja tu na atampita Arteta maana hajui anachofanya.
 
EtH msimu wa kwanza tu ana kombe na timu ipo UCL.

Arsenyani mmeotea msimu mkajiaminisha mnachukua EPL vipigo vilipoanza wote mkajificha.

EtH ana msimu mmoja tu na atampita Arteta maana hajui anachofanya.
Arsenal tulishatoka huko ,yaan Carabao mnapiga kelele

Arteta alibeba FA na CS kwa bajeti ya £0m akimtandika Pep na klopp ndani ya miez 6 tu,

7hag bado Sana ni kocha wakawaida , ndio maana hata mpira wake ,sajili zake za kubahatisha Sana

Huwez kupewa €250m uitapanye ,
 
EtH msimu wa kwanza tu ana kombe na timu ipo UCL.

Arsenyani mmeotea msimu mkajiaminisha mnachukua EPL vipigo vilipoanza wote mkajificha.

EtH ana msimu mmoja tu na atampita Arteta maana hajui anachofanya.
7hag ni kocha wakawaida huwez kumlinganisha hata na Unai Emery, Di zerbi kimbinu

Msimu huu utanielewa ,wanaoujua mpira kimbinu ,kuanzia sajili wanajua 7hag ni average coach tu ,

Ndio maana Hana project yakueleweka
 
Arsenal tulishatoka huko ,yaan Carabao mnapiga kelele

Arteta alibeba FA na CS kwa bajeti ya £0m akimtandika Pep na klopp ndani ya miez 6 tu,

7hag bado Sana ni kocha wakawaida , ndio maana hata mpira wake ,sajili zake za kubahatisha Sana

Huwez kupewa €250m uitapanye ,
Mkuu piga spana hizi nyumbu

Arteta hiki anachokifanya sio kwa bahati mbaya
Tena uchawi ukioneshwa zile papers za project tu, basi hauchomoi

Mlimualika timber kwenye game yenu, Arteta akapiga simu akamuonesha mchoro mzima.
Timber hakufikiria Mara mbili, akamuambia tuonane July

Hivi ninavyoandika timber yupo na Arteta marekani dogo ameenda kupikwa
Kumbuka upande anaotembea timba ndio upande wa bukayo SAKA

Nyie mbuzi maji mtaita mma safari hii

Unapewa £250 unatapanya kwa Antony masebene and the likes. Una akili wewe?
 
Mkuu piga spana hizi nyumbu

Arteta hiki anachokifanya sio kwa bahati mbaya
Tena uchawi ukioneshwa zile papers za project tu, basi hauchomoi

Mlimualika timber kwenye game yenu, Arteta akapiga simu akamuonesha mchoro mzima.
Timber hakufikiria Mara mbili, akamuambia tuonane July

Hivi ninavyoandika timber yupo na Arteta marekani dogo ameenda kupikwa
Kumbuka upande anaotembea timba ndio upande wa bukayo SAKA

Nyie mbuzi maji mtaita mma safari hii

Unapewa £250 unatapanya kwa Antony masebene and the likes. Una akili wewe?
Arteta ni kocha wa kawaida sana. Huo ujinga wenu wa kuridhika na vitu vidogo ndo umefanya mmekaa miaka 7 bila kuingia UEFA.

City mwaka jana kawapiga game zote 3, bado unahisi mna kocha bora. Hamna kocha yoyote kwenye top 6 kampa pep point nyingi zaidi ya arteta.
 
Arteta ni kocha wa kawaida sana. Huo ujinga wenu wa kuridhika na vitu vidogo ndo umefanya mmekaa miaka 7 bila kuingia UEFA.

City mwaka jana kawapiga game zote 3, bado unahisi mna kocha bora. Hamna kocha yoyote kwenye top 6 kampa pep point nyingi zaidi ya arteta.
Tulikua kwenye revolution of squad
Mkuu kikosi chetu misimu miwili nyuma Bora ya hiki chenu

Huyo magwaya ni mzuri sana, sisi tulikua na Mustafa, muda wowote anachoma kibanda na Wala hajari

Unazungumzia arsenal ambayo inakikosi ghari dunia nzima
Sasa kuanza hapa maji mtaita mma
This time around Kama tusipogawana points na city Basi tunaondoka na points zote 6
Kwa city tunasubiri bernado asepe, gundogan yeye tayari amesepa

Nyumbu points 6
Kenge points 6
Liverpunda points 6
Newcastle points 6
Brighton points 6
Spurs points 6

Ndio maana Kule the Gunner watu tumeshaanza kufanya party ya ubingwa
 
Huu upuuzi wa kulipa watu mishahara mikubwa sijui nani alitudanganya, Rashford yule ilitakiwa alipwe 200k tu, mana unajua hakuna team ya kumpa hizo 325, ni pesa ndefu mno, wachezaji wa kulipwa $300 pale UTD hawapo an
Rashbeck anapokea pesa ndefu kuliko Rodrygo & Vinicius combined, alafu baadae tutaanza kulia lia hapa kwamba tunashindwa kumuuza
 
Arteta ni kocha wa kawaida sana. Huo ujinga wenu wa kuridhika na vitu vidogo ndo umefanya mmekaa miaka 7 bila kuingia UEFA.

City mwaka jana kawapiga game zote 3, bado unahisi mna kocha bora. Hamna kocha yoyote kwenye top 6 kampa pep point nyingi zaidi ya arteta.
Mbona manjesta imekaa miaka 6 bila taji lolote na ilikuwa na matumizi makubwa ya pesa mnasajili magarasa kina Sancho magwaya nm, Anthony
 
Mkuu piga spana hizi nyumbu

Arteta hiki anachokifanya sio kwa bahati mbaya
Tena uchawi ukioneshwa zile papers za project tu, basi hauchomoi

Mlimualika timber kwenye game yenu, Arteta akapiga simu akamuonesha mchoro mzima.
Timber hakufikiria Mara mbili, akamuambia tuonane July

Hivi ninavyoandika timber yupo na Arteta marekani dogo ameenda kupikwa
Kumbuka upande anaotembea timba ndio upande wa bukayo SAKA

Nyie mbuzi maji mtaita mma safari hii

Unapewa £250 unatapanya kwa Antony masebene and the likes. Una akili wewe?
Huyu kocha hata kuendeleza vipaji hawezi ,ila wanadanganywa ngoja apate sajili zake

Sajili zake zenyewe Sasa Casemiro miaka 30+

Eriksen miaka 30+ hamalizi dk 45

Anthony masebene €100m

Malacia , Average player

Weghost

Total €250m



20230715_172104.jpg
 
Arsenal tulishatoka huko ,yaan Carabao mnapiga kelele

Arteta alibeba FA na CS kwa bajeti ya £0m akimtandika Pep na klopp ndani ya miez 6 tu,

7hag bado Sana ni kocha wakawaida , ndio maana hata mpira wake ,sajili zake za kubahatisha Sana

Huwez kupewa €250m uitapanye ,
😂😂😂 Halafu Community Shield haitambuliki kama major trophy, hiyo ni Super Cup.

Kuhusu Arteta kuwafunga Pep na Klopp ktk hiyo miezi 6 si kwasababu fixtures zilikuwa ndani ya hiyo miezi 6.

Ila kuwafunga Pep na Klopp hata EtH kafanya hivyo ktk msimu wake wa kwanza na akampiga kocha wako Arteta mwanzo wa msimu tu, on top of that kafuzu na UCL.

Arteta hawezi kufika levels za EtH. Nyie hamuwezi hata kufikia mpira wa Ajax uliowatoa Madrid UCL.

Arteta kubeba FA kwa £0m budget hayo ni matatizo yenu, sisi pesa ipo.
 
7hag ni kocha wakawaida huwez kumlinganisha hata na Unai Emery, Di zerbi kimbinu

Msimu huu utanielewa ,wanaoujua mpira kimbinu ,kuanzia sajili wanajua 7hag ni average coach tu ,

Ndio maana Hana project yakueleweka
Sishangai ukiwa shabiki wa Arsenal.
 
Huu upuuzi wa kulipa watu mishahara mikubwa sijui nani alitudanganya, Rashford yule ilitakiwa alipwe 200k tu, mana unajua hakuna team ya kumpa hizo 325, ni pesa ndefu mno, wachezaji wa kulipwa $300 pale UTD hawapo an
Anastahili! Wachezaji ndiyo msingi wa biashara ya football. Timu inatengeneza pesa kupitia wao ni haki yao.

Masuala ya kulipana pesa za kitumwa yamebaki Africa tu.
 
Sishangai ukiwa shabiki wa Arsenal.
Mim sishangai kuona mnadanganyana kuhusu 7hag ,maana atakachowafanya najua mtawageukia Grazzer ,wakati wamempa pesa mingi anasajili ujinga

Anataman Sana kucheza total football ila Hana huo uwezo kwa EPL,

Una casemiro miaka 30+ haijulikan atakuwa na kiwango hicho hicho bila injury na suspension ,huna mbadala wake

Una mount tunayemjua hata kukaba hawez

Hatujui Kama Rashford atarudia Tena ile form yake maana ni Kama uyoga Leo sumu kesho chakula

Degea aliyekuwa anaiokoa timu katika mechi 5 Basi 3 anawabeba hayupo


Nimekaa pale naakula popcorn kusubiri kelele za Grazzer out kipindi hicho mnachezea vipigo
 
Halafu Community Shield haitambuliki kama major trophy, hiyo ni Super Cup.

Kuhusu Arteta kuwafunga Pep na Klopp ktk hiyo miezi 6 si kwasababu fixtures zilikuwa ndani ya hiyo miezi 6.

Ila kuwafunga Pep na Klopp hata EtH kafanya hivyo ktk msimu wake wa kwanza na akampiga kocha wako Arteta mwanzo wa msimu tu, on top of that kafuzu na UCL.

Arteta hawezi kufika levels za EtH. Nyie hamuwezi hata kufikia mpira wa Ajax uliowatoa Madrid UCL.

Arteta kubeba FA kwa £0m budget hayo ni matatizo yenu, sisi pesa ipo.
Pesa ipo wapi mnasajili kwa kulialia ,Kim jae mmemkosa , kaenda Bayern ,mnazidiwa na bayern kwenye usajili halafu mnasema mna hela

7hag Hana mpira wowote wa maana tumeona last season hapa katumia €250m lakin anacheza Kama Sean Dyche au Tony pulis

Na msitegemee msimu huu atacheza tofauti na last season ,akijaribu hivo atacheze vipigo Kama zile 4-0 first half kwa Brentford

Kocha unayejenga timu unaweza sajili mchezaji kwa €100m ambaye ni average player Kama Anthony,huku una maeneo Kama GK, n.k

Time will tell
 
Tulikua kwenye revolution of squad
Mkuu kikosi chetu misimu miwili nyuma Bora ya hiki chenu

Huyo magwaya ni mzuri sana, sisi tulikua na Mustafa, muda wowote anachoma kibanda na Wala hajari

Unazungumzia arsenal ambayo inakikosi ghari dunia nzima
Sasa kuanza hapa maji mtaita mma
This time around Kama tusipogawana points na city Basi tunaondoka na points zote 6
Kwa city tunasubiri bernado asepe, gundogan yeye tayari amesepa

Nyumbu points 6
Kenge points 6
Liverpunda points 6
Newcastle points 6
Brighton points 6
Spurs points 6

Ndio maana Kule the Gunner watu tumeshaanza kufanya party ya ubingwa
Duh hizi dharau zimezidi sasa. Nasemaje ligi ianze tu tuwaone kama kweli mtaweza mziki wa kukimbizana na wakubwa zenu (City,United, Liverpool).
 
Duh hizi dharau zimezidi sasa. Nasemaje ligi ianze tu tuwaone kama kweli mtaweza mziki wa kukimbizana na wakubwa zenu (City,United, Liverpool).
Manjesta hii ya kina dalot na winga Anthony masebene

Kuwa serious Basi ,
 
Ni wale wale wazee wa ngwasuma tunashuka kwa mara nyingine tena kugawa burudani majirani wote wakina hamis77 mnakaribishwa.

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester United 4 vs Lyon 1

1689768374783.jpg
 
Ni wale wale wazee wa ngwasuma tunashuka kwa mara nyingine tena kugawa burudani majirani wote wakina hamis77 mnakaribishwa.

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester United 4 vs Lyon 1

View attachment 2693136
Mm sikosi kuwaangalia wapinzani, ili nikija kuwaambia ukweli nakuwa na confidence

Mpaka Sasa akiumia casemiro ,hatujui Rashford atarudia form ile ile ,hatujui casemiro miaka 33 atakuwa form au ndio yagenda ,maana Hana tena room of improvement, sitashangaa nikiona mnagombea top 10
 
Back
Top Bottom