Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tulikua kwenye revolution of squad
Mkuu kikosi chetu misimu miwili nyuma Bora ya hiki chenu

Huyo magwaya ni mzuri sana, sisi tulikua na Mustafa, muda wowote anachoma kibanda na Wala hajari

Unazungumzia arsenal ambayo inakikosi ghari dunia nzima
Sasa kuanza hapa maji mtaita mma
This time around Kama tusipogawana points na city Basi tunaondoka na points zote 6
Kwa city tunasubiri bernado asepe, gundogan yeye tayari amesepa

Nyumbu points 6
Kenge points 6
Liverpunda points 6
Newcastle points 6
Brighton points 6
Spurs points 6

Ndio maana Kule the Gunner watu tumeshaanza kufanya party ya ubingwa
Duh hizi dharau zimezidi sasa. Nasemaje ligi ianze tu tuwaone kama kweli mtaweza mziki wa kukimbizana na wakubwa zenu (City,United, Liverpool).
 
Duh hizi dharau zimezidi sasa. Nasemaje ligi ianze tu tuwaone kama kweli mtaweza mziki wa kukimbizana na wakubwa zenu (City,United, Liverpool).
Manjesta hii ya kina dalot na winga Anthony masebene

Kuwa serious Basi ,
 
Ni wale wale wazee wa ngwasuma tunashuka kwa mara nyingine tena kugawa burudani majirani wote wakina hamis77 mnakaribishwa.

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester United 4 vs Lyon 1

1689768374783.jpg
 
Ni wale wale wazee wa ngwasuma tunashuka kwa mara nyingine tena kugawa burudani majirani wote wakina hamis77 mnakaribishwa.

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester United 4 vs Lyon 1

View attachment 2693136
Mm sikosi kuwaangalia wapinzani, ili nikija kuwaambia ukweli nakuwa na confidence

Mpaka Sasa akiumia casemiro ,hatujui Rashford atarudia form ile ile ,hatujui casemiro miaka 33 atakuwa form au ndio yagenda ,maana Hana tena room of improvement, sitashangaa nikiona mnagombea top 10
 
Antony goli lake la kwanza kwenye Epl alianza kwa kuwagonga Arsenyo, halafu kilicho wakera zaidi Arsenyau ni vile Antony alivyo wang'ong'a baada ya kuwatia bao maridadi kabisa.
Tokea siku hio Arsenyani wote wamekua na kinyongo kisichoisha kwa hii talent ya kibrazili. View attachment 2693140
Pepe mwenyewe aliwafunga goli na assist ,au umesahau
 
Nyie inabidi tuwakande nje ndani msimu huu ili heshima irudi. Arsenal mmetushikia point 6 zetu.
Kwa manjesta hii ambayo tukikutana nayo inapaki Basi au ipi?

Hii manjesta inayohitaji miujiza ya Rashford na casemiro miaka 30+,

Jengeni timu kwanza yenye uwezo wakukaa na mpira kwanza
 
Tupo pamoja Sir Jim a.k.a Dr.Shika wa UK

Sir Jim Ratcliffe is prepared for #mufc’s protracted potential sale to enter the new season if required and is putting no timeframe on when the Glazers need to make a decision.

[@JamieJackson___]
 
Huu upuuzi wa kulipa watu mishahara mikubwa sijui nani alitudanganya, Rashford yule ilitakiwa alipwe 200k tu, mana unajua hakuna team ya kumpa hizo 325, ni pesa ndefu mno, wachezaji wa kulipwa $300 pale UTD hawapo an
Hii ni list ya winga bora kuliko Rashbeck lakini wanalipwa kidogo kuliko huyu pepe wa kingereza

Vinicius Jr
Rodrygo
Rafael Leao
Diogo Jota
Luis Diaz
Grealish
Foden
Federico Chiesa
Kingsley Coman
 
Like I said siku zote , Grazzer wanacheza na akili za mashabiki wa manjesta

Walifanya hivo mwaka Jana na mwaka huu wanafanya hivo

Wale madalali wa Sheikh Jasim kina Flano Forgotten na wengine Timu haiuzwi hii


BREAKING!

The Glazer family will still be in control of #mufc when the Premier League season starts

[@MikeKeegan_DM]-Tier 1
 
Back
Top Bottom