Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sio complete package , namaanisha Coaching+Talent ID , unamuona Raph Rangnik yule ni Talent ID ,ila kwenye coaching ni wakawaida
Tunarudi palepale wachezaji wa United wasingeweza kufanya vizuri kwenye mfumo wa Gegenpressing.

Rangnick ni kocha mzuri tatizo idea zake zisingeweza kufanya kazi kwa wachezaji wavivu.

Mechi ya kwanza ya Rangnick pale United vs Crystal Palace 1st half ndiyo tulishuhudia ile Gegenpressing yenyewe. 2nd half wachezaji wote wakakata upepo.

United wanaweza tu quick transition na counter attack. Quick transition ni kumuacha tu adui akushambulie na pale atakapopoteza tu mpira pasi zinaanza kutembea kutoka kwa mabeki, viungo, mpaka kuwafikia washambuliaji.

Counter attack haina pasi nyingi mara nyingi juu anakuwa mshambuliaji mmoja tu ndiyo mambo ya Bruno na Rashford: mara ya mwisho pale OT ndiyo mlifungwa kwa aina hii maana mlikuwa mkijisahau karibia wachezaji 8 walikuwa wanavuka mstari wa kati.

Sasa Gegenpressing inahitaji watu wenye work-rate kubwa yani mkipoteza tu mpira mnautafuta kwa lazima na mnakaa nao (possession). Wachezaji kama Ronaldo, Martial, Sancho wasingetoboa.

Rangnick ni complete package unapokuwa unam-judge kocha angalia na aina ya wachezaji aliokuwa anafanya kazi nao ni lazima angefeli kama wengine tu.
 
Tunarudi palepale wachezaji wa United wasingeweza kufanya vizuri kwenye mfumo wa Gegenpressing.

Rangnick ni kocha mzuri tatizo idea zake zisingeweza kufanya kazi kwa wachezaji wavivu.

Mechi ya kwanza ya Rangnick pale United vs Crystal Palace 1st half ndiyo tulishuhudia ile Gegenpressing yenyewe. 2nd half wachezaji wote wakakata upepo.

United wanaweza tu quick transition na counter attack. Quick transition ni kumuacha tu adui akushambulie na pale atakapopoteza tu mpira pasi zinaanza kutembea kutoka kwa mabeki, viungo, mpaka kuwafikia washambuliaji.

Counter attack haina pasi nyingi mara nyingi juu anakuwa mshambuliaji mmoja tu ndiyo mambo ya Bruno na Rashford: mara ya mwisho pale OT ndiyo mlifungwa kwa aina hii maana mlikuwa mkijisahau karibia wachezaji 8 walikuwa wanavuka mstari wa kati.

Sasa Gegenpressing inahitaji watu wenye work-rate kubwa yani mkipoteza tu mpira mnautafuta kwa lazima na mnakaa nao (possession). Wachezaji kama Ronaldo, Martial, Sancho wasingetoboa.

Rangnick ni complete package unapokuwa unam-judge kocha angalia na aina ya wachezaji aliokuwa anafanya kazi nao ni lazima angefeli kama wengine tu.
Hadi leo nashangaaga wale mashabiki wa United wanaoona Ralf hakuwa kocha wakati wachezaji tu hatuna ndio maana akasema inahitajika wapya hadi 10.

Hawana uwezo wa kukichafua muda mrefu,msimu ulioisha Gegenpressing tumeipiga game moja tu ile tunayoichapa Spurs 2-0 yaani ilikuwa ni kama naiona Liverpool ndani yetu ile siku ulipigwa mpira haswa sema tuna attacking mbovu ilikuwa tushinde hata 5.

Baada ya hapo sikuona tena ule mpira hadi msimu unaisha.

Ralf ni genius aliyedharaulika ila alikuwa na nia ya dhati ya kuturudisha kwenye makali
 
Kuweni makini Kuna siku mtachezea hiviView attachment 2691314
Amka.
1689476232207.jpg
 
Leicester City are interested in Amad Diallo but they face competition from Premier League clubs such as Burnley and Sheffield United. The 21-year-old is more likely to stay in the top flight than drop down to the relegated Leicester.

[Simon Jones, Mail]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2691339
Uwa napata tabu kuona talent changa kama hizi zinauzwa.
 
De Gea aliibuka kuwa shujaa wa Man United kwa zaidi ya mechi 5 msimu uliopita.

Ningumu kipa kupata tuzo ya Man Of The Match lakini kwa De Gea ilikuwa ni kitu chepesi.

Kwa beki za #Nyumbu na muundo wao wa timu kwenye uzuiaji naona kabisa Onana anaenda kuwa shati pale golini
20230718_094856.jpg
 
Baada ya masaa 72 Glazers watatoa maamuzi kama wanauza timu rasmi ama wanaendelea kubaki so wa kufurahi wajiandae kucheka na wa wale wa kuumia wajiandae kulia.
Mbona script inajulikanaga toka last season, ikifika muda huu watatoa pesa ,wataletwa wachezaj wawili watatu watazima upepo wa kutaka wauze timu ,watabaki

Mwaka Jana si toka awali walikuwa wabishi kutoa €40m kwa Anthony na wakijivutavuta kwa FDJ , walipowashiwa Moto , wakatoa €70m casemiro na €100m kwa Anthony,na mkaufyata mkia

Sasa hivi watatoa pesa anasajiliwa Hojlund na onana ,wakati mnafurahia ndio muda huo huo wanatangaza timu ipo mikono salama

Hii script mbona inajulikanaga
 
Wapo wengi nakupa mfano , Fergie,Wenger ,even hata Pep Hawa walikuwa complete package akimuona mchezaji wote mnaweza mkataa ila yeye anaamini atakuwa hivi, mwisho wote mnakubali

Sio mara zote wanapatia ila mara nyingi zaidi wanapatia
Ni sajili ngapi ambazo alisajili Fergie, Guardiola na Wenger zilifeli ?
 
Mbona script inajulikanaga toka last season, ikifika muda huu watatoa pesa ,wataletwa wachezaj wawili watatu watazima upepo wa kutaka wauze timu ,watabaki

Mwaka Jana si toka awali walikuwa wabishi kutoa €40m kwa Anthony na wakijivutavuta kwa FDJ , walipowashiwa Moto , wakatoa €70m casemiro na €100m kwa Anthony,na mkaufyata mkia

Sasa hivi watatoa pesa anasajiliwa Hojlund na onana ,wakati mnafurahia ndio muda huo huo wanatangaza timu ipo mikono salama

Hii script mbona inajulikanaga
Hivi Arsenyani siku mkifika levels za kutumia €170m kwa wachezaji wawili si mtasema mnashinda Champions League kabisa.

Mnajua kabisa timu akipewa Sheikh Jassim ni miaka mingine ya mateso maana itakuwa ni United na City tu wanapokezana kombe.
 
Tyrell Malacia ruled out of #mufc's pre-season tour to the USA through injury.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230718_181158_616.jpg
 
EXCL: Al Nassr are closing in on deal to sign Alex Telles from Man United, here we go soon! 🟡

There’s verbal agreement now in place between the two clubs, waiting for the documents/check details.

Al Nassr want both Seko Fofana and Telles to join in the next days.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230718_181059_162.jpg
 
EXCL: Al Nassr are closing in on deal to sign Alex Telles from Man United, here we go soon! 🟡

There’s verbal agreement now in place between the two clubs, waiting for the documents/check details.

Al Nassr want both Seko Fofana and Telles to join in the next days.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2692188
Alex Telles doesn’t join Al Nassr on free transfer. Told Manchester United will get a fee for Brazilian LB 🟡

More clarity on the exact number after documents check today.

Exclusive news confirmed, Telles will go to Saudi league

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Back
Top Bottom