Huyu dogo yupo vizuri, mkimpata mtakua mmefanya Jambo#MUFC have emerged as serious contenders to sign Xavi Simons on loan from PSG.
#LEquipe
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2691328
Unakumbuka ile kashfa iliyomuweka jela Ugiriki ?Alikuwa mtovu wa nidhamu, magwaya kakosa Nini?jamaa work hard ,mtulivu Hana kashfa zozote mbovu ,
Mmemfanyia roho mbaya ,Kuna njia mngetumia kumuondoa ukapteni ,
Conclusion yako.Mm nakubaliana na wewe kuzidiwa msimu wa kwanza ,ila lazima Kuna key points tuziangalie ,ambazo zitasaidia kujua mbelen atafika mbali zaidi,
Kwangu mm Ole gunar anabaki moja ya watu wenye talent ID kubwa ni vile hakupewa Uhuru,huyu ndiye aliwataka kina halland, Bellingham,Sancho,n.k wakiwa hawaeleweki, huyu ndiye alimuamin Greenwood had leo mnamkumbuka
Niliwahi fanya mijadala huu na ambangile anaamini ETH kwenye Talent ID bado kwa Ole ,ila anaweza kuwa na mbinu nzuri za ukocha kuliko ole Gunar
Timu gani itamtaka mchezaji mvivu anayeumia Kila siku?Tunazungumza wachezaji wote tunamsahau Martial hivi yule mwamba kuna timu inayomtaka kweli![]()
Yah ndio ilivyo ,, but kwenye ulimwengu wa soka unahitaji vyote viwili au Kama unacho kimoja either uwe na watu wakukutafsiria mawazo yako au kutaka timu yako ichezaje wakuletee watu sahihi au kocha uwe na vyote ,mfano pale Madrid ,makocha wanafanikiwa sababu ya June Calafat , yule ndiye Mastermind wa MadridConclusion yako.
Ole ana talent ID kubwa kuliko ETH .
ETH ana mbinu nzuri za ukocha kuliko Ole.
Maana yake ETH ni kocha mzuri na Ole ni scout mzuri siyo ?
Kwahiyo ETH ni kocha mzuri?Yah ndio ilivyo ,, but kwenye ulimwengu wa soka unahitaji vyote viwili au Kama unacho kimoja either uwe na watu wakukutafsiria mawazo yako au kutaka timu yako ichezaje wakuletee watu sahihi au kocha uwe na vyote ,mfano pale Madrid ,makocha wanafanikiwa sababu ya June Calafat , yule ndiye Mastermind wa Madrid
Sio complete package , namaanisha Coaching+Talent ID , unamuona Raph Rangnik yule ni Talent ID ,ila kwenye coaching ni wakawaidaKwahiyo ETH ni kocha mzuri?
Sasa nani ni complete package ?Sio complete package , namaanisha Coaching+Talent ID , unamuona Raph Rangnik yule ni Talent ID ,ila kwenye coaching ni wakawaida
Wapo wengi nakupa mfano , Fergie,Wenger ,even hata Pep Hawa walikuwa complete package akimuona mchezaji wote mnaweza mkataa ila yeye anaamini atakuwa hivi, mwisho wote mnakubaliSasa nani ni complete package ?
Tunarudi palepale wachezaji wa United wasingeweza kufanya vizuri kwenye mfumo wa Gegenpressing.Sio complete package , namaanisha Coaching+Talent ID , unamuona Raph Rangnik yule ni Talent ID ,ila kwenye coaching ni wakawaida
Hadi leo nashangaaga wale mashabiki wa United wanaoona Ralf hakuwa kocha wakati wachezaji tu hatuna ndio maana akasema inahitajika wapya hadi 10.Tunarudi palepale wachezaji wa United wasingeweza kufanya vizuri kwenye mfumo wa Gegenpressing.
Rangnick ni kocha mzuri tatizo idea zake zisingeweza kufanya kazi kwa wachezaji wavivu.
Mechi ya kwanza ya Rangnick pale United vs Crystal Palace 1st half ndiyo tulishuhudia ile Gegenpressing yenyewe. 2nd half wachezaji wote wakakata upepo.
United wanaweza tu quick transition na counter attack. Quick transition ni kumuacha tu adui akushambulie na pale atakapopoteza tu mpira pasi zinaanza kutembea kutoka kwa mabeki, viungo, mpaka kuwafikia washambuliaji.
Counter attack haina pasi nyingi mara nyingi juu anakuwa mshambuliaji mmoja tu ndiyo mambo ya Bruno na Rashford: mara ya mwisho pale OT ndiyo mlifungwa kwa aina hii maana mlikuwa mkijisahau karibia wachezaji 8 walikuwa wanavuka mstari wa kati.
Sasa Gegenpressing inahitaji watu wenye work-rate kubwa yani mkipoteza tu mpira mnautafuta kwa lazima na mnakaa nao (possession). Wachezaji kama Ronaldo, Martial, Sancho wasingetoboa.
Rangnick ni complete package unapokuwa unam-judge kocha angalia na aina ya wachezaji aliokuwa anafanya kazi nao ni lazima angefeli kama wengine tu.