Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Stoppage time. All square. Free-kick 30 yards out.

Who's taking it?

Me:- 𝐁𝐞𝐜𝐤𝐡𝐚𝐦

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230716_192317_226.jpg
 
𝐆𝐀𝐍𝐆 𝐎𝐅 𝐋𝐎𝐍𝐃𝐎𝐍

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230716_191727_491.jpg
 
𝐖𝐡𝐚𝐭’𝐬 𝐲𝐨𝐮𝐫 𝐟𝐚𝐯𝐨𝐮𝐫𝐢𝐭𝐞 #𝐔𝐂𝐋 𝐤𝐧𝐨𝐜𝐤-𝐨𝐮𝐭 𝐭𝐢𝐞 #𝐦𝐮𝐟𝐜 𝐡𝐚𝐯𝐞 𝐛𝐞𝐞𝐧 𝐢𝐧𝐯𝐨𝐥𝐯𝐞𝐝 𝐢n UCL?..?


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230716_193004_975.jpg
 
Marcus Rashford has signed his new five-year #mufc contract.

[Fabrizio Romano]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230717_211828_707.jpg
 
The terms in Marcus Rashford’s new #MUFC deal are worth £325,000 per week.


#Times
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230717_211840_360.jpg
 
Rashford

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230717_211845_381.jpg
 
#MUFC have emerged as serious contenders to sign Xavi Simons on loan from PSG.


#LEquipe
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2691328
Huyu dogo yupo vizuri, mkimpata mtakua mmefanya Jambo
Atawaletea challenge nzuri tu Sancho sijui Rashid pale mbele
 
Alikuwa mtovu wa nidhamu, magwaya kakosa Nini?jamaa work hard ,mtulivu Hana kashfa zozote mbovu ,

Mmemfanyia roho mbaya ,Kuna njia mngetumia kumuondoa ukapteni ,
Unakumbuka ile kashfa iliyomuweka jela Ugiriki ?
 
Mm nakubaliana na wewe kuzidiwa msimu wa kwanza ,ila lazima Kuna key points tuziangalie ,ambazo zitasaidia kujua mbelen atafika mbali zaidi,

Kwangu mm Ole gunar anabaki moja ya watu wenye talent ID kubwa ni vile hakupewa Uhuru,huyu ndiye aliwataka kina halland, Bellingham,Sancho,n.k wakiwa hawaeleweki, huyu ndiye alimuamin Greenwood had leo mnamkumbuka

Niliwahi fanya mijadala huu na ambangile anaamini ETH kwenye Talent ID bado kwa Ole ,ila anaweza kuwa na mbinu nzuri za ukocha kuliko ole Gunar
Conclusion yako.
Ole ana talent ID kubwa kuliko ETH .

ETH ana mbinu nzuri za ukocha kuliko Ole.

Maana yake ETH ni kocha mzuri na Ole ni scout mzuri siyo ?
 
Conclusion yako.
Ole ana talent ID kubwa kuliko ETH .

ETH ana mbinu nzuri za ukocha kuliko Ole.

Maana yake ETH ni kocha mzuri na Ole ni scout mzuri siyo ?
Yah ndio ilivyo ,, but kwenye ulimwengu wa soka unahitaji vyote viwili au Kama unacho kimoja either uwe na watu wakukutafsiria mawazo yako au kutaka timu yako ichezaje wakuletee watu sahihi au kocha uwe na vyote ,mfano pale Madrid ,makocha wanafanikiwa sababu ya June Calafat , yule ndiye Mastermind wa Madrid
 
Yah ndio ilivyo ,, but kwenye ulimwengu wa soka unahitaji vyote viwili au Kama unacho kimoja either uwe na watu wakukutafsiria mawazo yako au kutaka timu yako ichezaje wakuletee watu sahihi au kocha uwe na vyote ,mfano pale Madrid ,makocha wanafanikiwa sababu ya June Calafat , yule ndiye Mastermind wa Madrid
Kwahiyo ETH ni kocha mzuri?
 
Sasa nani ni complete package ?
Wapo wengi nakupa mfano , Fergie,Wenger ,even hata Pep Hawa walikuwa complete package akimuona mchezaji wote mnaweza mkataa ila yeye anaamini atakuwa hivi, mwisho wote mnakubali

Sio mara zote wanapatia ila mara nyingi zaidi wanapatia
 
Sio complete package , namaanisha Coaching+Talent ID , unamuona Raph Rangnik yule ni Talent ID ,ila kwenye coaching ni wakawaida
Tunarudi palepale wachezaji wa United wasingeweza kufanya vizuri kwenye mfumo wa Gegenpressing.

Rangnick ni kocha mzuri tatizo idea zake zisingeweza kufanya kazi kwa wachezaji wavivu.

Mechi ya kwanza ya Rangnick pale United vs Crystal Palace 1st half ndiyo tulishuhudia ile Gegenpressing yenyewe. 2nd half wachezaji wote wakakata upepo.

United wanaweza tu quick transition na counter attack. Quick transition ni kumuacha tu adui akushambulie na pale atakapopoteza tu mpira pasi zinaanza kutembea kutoka kwa mabeki, viungo, mpaka kuwafikia washambuliaji.

Counter attack haina pasi nyingi mara nyingi juu anakuwa mshambuliaji mmoja tu ndiyo mambo ya Bruno na Rashford: mara ya mwisho pale OT ndiyo mlifungwa kwa aina hii maana mlikuwa mkijisahau karibia wachezaji 8 walikuwa wanavuka mstari wa kati.

Sasa Gegenpressing inahitaji watu wenye work-rate kubwa yani mkipoteza tu mpira mnautafuta kwa lazima na mnakaa nao (possession). Wachezaji kama Ronaldo, Martial, Sancho wasingetoboa.

Rangnick ni complete package unapokuwa unam-judge kocha angalia na aina ya wachezaji aliokuwa anafanya kazi nao ni lazima angefeli kama wengine tu.
 
Tunarudi palepale wachezaji wa United wasingeweza kufanya vizuri kwenye mfumo wa Gegenpressing.

Rangnick ni kocha mzuri tatizo idea zake zisingeweza kufanya kazi kwa wachezaji wavivu.

Mechi ya kwanza ya Rangnick pale United vs Crystal Palace 1st half ndiyo tulishuhudia ile Gegenpressing yenyewe. 2nd half wachezaji wote wakakata upepo.

United wanaweza tu quick transition na counter attack. Quick transition ni kumuacha tu adui akushambulie na pale atakapopoteza tu mpira pasi zinaanza kutembea kutoka kwa mabeki, viungo, mpaka kuwafikia washambuliaji.

Counter attack haina pasi nyingi mara nyingi juu anakuwa mshambuliaji mmoja tu ndiyo mambo ya Bruno na Rashford: mara ya mwisho pale OT ndiyo mlifungwa kwa aina hii maana mlikuwa mkijisahau karibia wachezaji 8 walikuwa wanavuka mstari wa kati.

Sasa Gegenpressing inahitaji watu wenye work-rate kubwa yani mkipoteza tu mpira mnautafuta kwa lazima na mnakaa nao (possession). Wachezaji kama Ronaldo, Martial, Sancho wasingetoboa.

Rangnick ni complete package unapokuwa unam-judge kocha angalia na aina ya wachezaji aliokuwa anafanya kazi nao ni lazima angefeli kama wengine tu.
Hadi leo nashangaaga wale mashabiki wa United wanaoona Ralf hakuwa kocha wakati wachezaji tu hatuna ndio maana akasema inahitajika wapya hadi 10.

Hawana uwezo wa kukichafua muda mrefu,msimu ulioisha Gegenpressing tumeipiga game moja tu ile tunayoichapa Spurs 2-0 yaani ilikuwa ni kama naiona Liverpool ndani yetu ile siku ulipigwa mpira haswa sema tuna attacking mbovu ilikuwa tushinde hata 5.

Baada ya hapo sikuona tena ule mpira hadi msimu unaisha.

Ralf ni genius aliyedharaulika ila alikuwa na nia ya dhati ya kuturudisha kwenye makali
 
Back
Top Bottom