Shoga baba yako mzazi.Team ya mashoga
Sawa kiongozi wa jukwaa la gay gooner .Team ya mashoga
Vipi humu? Kuna jipya? Sisi kule kwetu tuko bize tunashusha vyuma vya maana. Nyie je mna lolote la kujivunia?
After captaincy,then you are not in my plans for the coming season.ETH doing everything he can to make Maguire uncomfortable at the clubView attachment 2690022
Maguire hataki kuuzwa kisa mshahara mkubwa,hiyo ni strategy ya kwanza ya kumlazimisha atake kuondoka ama achukue nafasi ya Jones benchiKanyang'anywa kitambaa bila sababu ,kwann asimuuze au kumwambia aondoke ,kuliko amemnyang'anya kitambaa bila sababu ya msingi ,sio mtovu wa nidhamu ,
Hata asipokuwa Bruno but Varane au Casemiro mmoja wao apewe ila kumpora Maguire unahodha ni jambo jema,captain gani anakaa mbali na matukio uwanjaniSisi Kama familia ya mpira
Kitendo alichofanyiwa Maguire pale Manchester United sio cha kupuuzwa hata kidogo, ifike mahala huyu Ten Hag apunguze mihemko yake wewe chezaji kama Maguire unamdhalilisha kisa huyo Bruno Fernandes aliyetaka kukimbia kipigo cha 7:0 kutoka Kwa Liverpool....View attachment 2690103
Kitambaa wanavaa watu wenye mchango+ kwenye timu, Halimagwaya mchango wake ni kwenye kuidhoofisha timu physically & mentally.Kanyang'anywa kitambaa bila sababu ,kwann asimuuze au kumwambia aondoke ,kuliko amemnyang'anya kitambaa bila sababu ya msingi ,sio mtovu wa nidhamu ,
Yaani Asenyo mnanua michele na kuni halafu ndio mnakuja kutupigia kelele humu?Vipi humu? Kuna jipya? Sisi kule kwetu tuko bize tunashusha vyuma vya maana. Nyie je mna lolote la kujivunia?
Hiyo kumnunua Michele na kuni Ina maana tunaanda bonge la Partey mwisho wa msimu watu wa duniani wafurahiYaani Asenyo mnanua michele na kuni halafu ndio mnakuja kutupigia kelele humu?
Subirini ligi ianze mtupikie biriani Kima nyie
Luke Shaw, Bruno au LindelofHata asipokuwa Bruno but Varane au Casemiro mmoja wao apewe ila kumpora Maguire unahodha ni jambo jema,captain gani anakaa mbali na matukio uwanjani
Unakuta kuna unfair moment imetokea yeye anaitenga mbali huku wenzie wanajaribu kumlalamikia refa,rejea red card ya Martial dhidi ya Spurs.
Luke Shaw anafaa kuvaa kitambaaView attachment 2690165
View attachment 2690169
Bado hajafukuzwa tu,
Nasimama na bilionea wa kiengereza