Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
7hag anaifilisi Manchester
Nyie siku zenu za kurudi kwenye mapango kujificha zinahesabika. Msimu ujao nakuhakikishia namaliza juu yako timu pekee zinazonitisha ni Liverpool na Manchester CityKwa timu gani mliyonayo hii ya kina varane na sanchoka?
Huna timu bana ukweli waujua kwa beki gani kipa gan fowadi gani hata top 4 huingiiNyie siku zenu za kurudi kwenye mapango kujificha zinahesabika. Msimu ujao nakuhakikishia namaliza juu yako timu pekee zinazonitisha ni Liverpool na Manchester City
Time will tell msikimbie jukwaa lenu tu mtavoanza kupelekewa motoHuna timu bana ukweli waujua kwa beki gani kipa gan fowadi gani hata top 4 huingii
SawaAstonvilla ana timu strong na kocha mzuri mwenye mbinu kuliko manjesta
Huu Ni ukweli mchungu ambao anatakiwa mtu awaambie
Astonvilla ana CBs Bora kuliko manjesta
Ana viungo wazuri kuliko manjesta
Ana attacking line Kali kuliko manjesta
Emi Martinez , Pau Tores ,Diego Carlos , Moreno , Douglas Luiz, Tielemans, Watkins, Bailey , Ramsey
Hao jamaa wanauwezo mkubwa kuliko wachezaji wa manjesta kina Fred vunjabei, magwaya , Bisaka,mount , Anthony masebene,Sancho kibonge, n.k
Unai Emery ana mbinu kuliko 7hagView attachment 2684560
Uzuri mm Naongeaga uhalisia mnasema Nina chuki, hata wenzako wanakuja kwa jukwaa letu kuongea ujingahamis 77 una chuki kali sana juu yetu.
REMEMBER " word for women, action for men" sisi ni bora kuliko nyie, thus hatuongei sana, hapa nmejibu kuwawakilisha fans wa united, coz tuko busy na action kuliko maneno.
Unashinda kwa wanaume muda wote kuliko hata kwenu hii inaonesha jinsi gani hamna maajabu sisi wabovu tunatrend kuliko boraUzuri mm Naongeaga uhalisia mnasema Nina chuki, hata wenzako wanakuja kwa jukwaa letu kuongea ujinga
Mm nasema uhalisia Wala sio chuki ,mwaka Jana nilisema hivo kwa Chelsea walisema hivo hivo Kama wewe maana mpira ni mchezo wa wazi
Yaan kwa mabeki wake kina varane ,bisaka , dalot uchochoro ,viungo kina casemiro ,Fred ,mawinga kina Anthony masebene, unataka tusifie ujinga?
Nitarudi kufukua hizi comment najua hutakuwepo maana wewe sio mtokeaji Sana humu




Poa, tutaona kakaUzuri mm Naongeaga uhalisia mnasema Nina chuki, hata wenzako wanakuja kwa jukwaa letu kuongea ujinga
Mm nasema uhalisia Wala sio chuki ,mwaka Jana nilisema hivo kwa Chelsea walisema hivo hivo Kama wewe maana mpira ni mchezo wa wazi
Yaan kwa mabeki wake kina varane ,bisaka , dalot uchochoro ,viungo kina casemiro ,Fred ,mawinga kina Anthony masebene, unataka tusifie ujinga?
Nitarudi kufukua hizi comment najua hutakuwepo maana wewe sio mtokeaji Sana humu
GoodMtoe xhaka hapo
Mkuu kwani hauogopi hili jeshi?View attachment 2684690
Bachelor wewe ni nyumbu suguGood
Huyo Bachelor II mwanachama hai wa Arsenal mtu wenu huyoBachelor wewe ni nyumbu sugu
Ni mwenzenu sema hakubalian na uwezo wa 7hagHuyo Bachelor II mwanachama hai wa Arsenal mtu wenu huyo
Hii project ya arteta itavuta nyumbu na Kenge wote
Wewe ujiulizi Flano muda wote yupo Kule the Gunner kiumeni
Amefikia hatua anaiwaza arsenal NDOO kuliko unyumbuni


Asenyo Kondoo