Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Halafu si ni wewe juzijuzi ulisema , Ten hag asipobadiri kipa ajiandae kufail anachokipanga?
Kuna sehemu nimekataa mabadiliko ya GK? Point yangu Ni Kama mabek na viungo Ni hao hao ,bado kazi ipo

Onana atapiga pass nzuri ,beki au Kiungo ata pressiwa , turnover yake Ni kushambuliwa
 
Mpira ni ule ule naona mnapaka mafuta eti modern football!!
Hapana! Kuna vitu vimebadilika, kuanzia sheria, namna ya uchezaji, majukumu ya wachezaji uwanjani: full backs, goalkeepers.

Zamani kabisa wakati soka linaanzia England walikuwa wanacheza 2-3-5. Baadae kwenye mapinduzi ya soka la Uingereza wakaongeza beki 1 hadi kuwa 3 sasa hivi inajulikana 3-5-2.

Wadachi nao wakaja kufanya mapinduzi kwa kuleta Totat Football, hapa kila mchezaji alikuwa anaweza kucheza nafasi zote uwanjani (kiraka). Waingereza waliiga na Liverpool walicheza aina hii ya football.

Miaka ya 2000 Hispania nao wakafanya mapinduzi kwa kuja na Tiki-Taka hapa Barcelona wanajulikana kwa aina hii ya uchezaji. Late 90s Johan Cruyff ndiyo alikuwa Barca, ni mtu ambaye Erik ten Hag anamtazama kama role model na legend wa Holland.

Modern football inatazamia kila eneo la uwanja, kufunga na kuzuia. Kutoka kutumia mabeki 2 (ambao kwasasa ni mabeki wa kati) mpaka timu kutumia mabeki 3 wa kati (mfano Chelsea). Pia inahitaji wachezaji walio mahiri kwenye nafasi zao.

Kwenye modern football ndiyo kuna high-pressing, counter-attacking football.
 
ETH akiweza kupandisha viwango vya mchezaji kama sancho, anthony, mount, bissaka, martial, rashford awe na mwendelezo, bruno awe bora kama kawaida, na mabeki lindelof kiwango kiongezeke na confidence.
Then asajili onana na striker mpya, na beki mmoja wa kati....
ETH yuko makini na kila mechi anaichukulia serious.
Aongeze morali ya wachezaji.
akiongeza viwango na motisha tuna squand pana na bora kuliko timu zote isipokuwa man city tu EPL...
hao kina hamis na wengne wengi ni haters tu na maneno mengi but sisi ni bora kuliko hao 2nd wa 2022/2023 na last season overall assessment sisi tumefanikiwa kuliko arsenal lakini wao wamefanya improvement kubwa kuliko Sisi ndio maana hata wao wako excited na last season sababu ni rapid improvement walioifanya inawapa over confidence na kusema sana.
But ETH ni bora na next season ttakuwa bora sana....trust
 
Mtu kaweka hoja mezan ,unaacha kushambulia hoja ,unashambulia personality,

Anauliza kwa mabeki ukitoa Martinez , na Kiungo labda Eriksen Nan ataendana na Onana ,

Kuna ushahidi wa waz save za Degea ziliiweka au kuipa point manjesta kwenye mechi ambazo hakustahili kushinda

Onana sio best kwenye shot stopping hawapishani Sana na Kepa kwa kila kitu

Tuliona Chelsea ilivyopoteana Kiungo ,na mabeki , jinsi Kepa alivyokuwa anachezea Fimbo
Hapa wew ndio umeongea hoja mezani, ebu angalia mwenzio kwenye hoja zake utoto alioweka, ndio maana niliona ni ujinga anapigo za kike.

Aya turudi ulivyosema ni kweli hata mie naogopa, maana ligi ya italia sio ngumu Kama ya uingereza ambapo, kwa onana kutokua shot stopping Ni hatari sana.

Hivyo huu ni mtihani mwingine kwa ten hag ngoja tuone atafanya niny!
 
Bila kusajili namba 9 tutaendelea kupigania top 4
Tunaenda Kuanza pre season hatuna GK, hatuna striker, kwenye kiungo tuna Casemiro tu, na beki tuna Martinez na Varane pekee alafu tunaongea kuhusu top four? We'll be luck to finish ndani ya top ten
 
Tunaenda Kuanza pre season hatuna GK, hatuna striker, kwenye kiungo tuna Casemiro tu, na beki tuna Martinez na Varane pekee alafu tunaongea kuhusu top four? We'll be luck to finish ndani ya top ten
Mkuu deal ya Onana ni almost done na pre season atakuwepo.
 
Huwa mnakuwa wabishi na maneno mengi ya kebehi

Tulisema hivi hivi kuhusu Anthony masebene kuwa pale hakuna mchezaji ,

Leo % kubwa mnakubali pale ulifanyika utapeli
Yan watu tunasajiri wacheza mpira
7 hag amesajiri mcheza sebene. It's enough mkuu
 
ETH akiweza kupandisha viwango vya mchezaji kama sancho, anthony, mount, bissaka, martial, rashford awe na mwendelezo, bruno awe bora kama kawaida, na mabeki lindelof kiwango kiongezeke na confidence.
Then asajili onana na striker mpya, na beki mmoja wa kati....
ETH yuko makini na kila mechi anaichukulia serious.
Aongeze morali ya wachezaji.
akiongeza viwango na motisha tuna squand pana na bora kuliko timu zote isipokuwa man city tu EPL...
hao kina hamis na wengne wengi ni haters tu na maneno mengi but sisi ni bora kuliko hao 2nd wa 2022/2023 na last season overall assessment sisi tumefanikiwa kuliko arsenal lakini wao wamefanya improvement kubwa kuliko Sisi ndio maana hata wao wako excited na last season sababu ni rapid improvement walioifanya inawapa over confidence na kusema sana.
But ETH ni bora na next season ttakuwa bora sana....trust
Sasa naelewa kwanini nyumbu huwa wanahasira za karibu na wengi wao hukimbilia kujinyonga

Nyumbu mnatimu Bora na yenye build up inayoeleweka kuliko
Brighton, aston Villa, Fulham, N. Forest,?

Butua twende tukutane mbele mmeingia top four kwa sababu ya uzembe wa Brighton
 
Sasa naelewa kwanini nyumbu huwa wanahasira za karibu na wengi wao hukimbilia kujinyonga

Nyumbu mnatimu Bora na yenye build up inayoeleweka kuliko
Brighton, aston Villa, Fulham, N. Forest,?

Butua twende tukutane mbele mmeingia top four kwa sababu ya uzembe wa Brighton
Sasa mbona tumeshika nafasi ya 3 mzee ?
Kama tungekua tumeshika nafasi ya 4 hoja yako ya Brighton ingekua na mashiko.

NB: Maana yangu ni kwamba kwa kuwa tulishika nafasi ya 3, zilihitajika timu mbili kutuondoa kwenye top 4, badala ya hiyo moja uliyoitaja.

Kama yeye huyo Brighton kweli angekua good enough na kushika nafasi ya 3, basi sisi tungeshika nafasi ya 4 (still in top four) maana tulimzidi Newcastle points (tungemsogeza namba 5).

Vinginevyo njoo utaje wazembe wengine wote waliosababisha sisi tumalize ndani ya nne bora.
Hadi utakapofanya hivyo, acha kumuonea (kumbebesha zigo) Brighton.
 
Sasa mbona tumeshika nafasi ya 3 mzee ?
Kama tungekua tumeshika nafasi ya 4 hoja yako ya Brighton ingekua na mashiko.

NB: Maana yangu ni kwamba kwa kuwa tulishika nafasi ya 3, zilihitajika timu mbili kutuondoa kwenye top 4, badala ya hiyo moja uliyoitaja.

Kama yeye huyo Brighton kweli angekua good enough na kushika nafasi ya 3, basi sisi tungeshika nafasi ya 4 (still in top four) maana tulimzidi Newcastle points (tungemsogeza namba 5).

Vinginevyo njoo utaje wazembe wengine wote waliosababisha sisi tumalize ndani ya nne bora.
Hadi utakapofanya hivyo, acha kumuonea (kumbebesha zigo) Brighton.
Muda ni mwalimu mzuri Sana, acha ligi ianze

Sisi Kama mashabiki wa arsenal NDOO tumefurahia uhamisho wa de gea
 
ETH akiweza kupandisha viwango vya mchezaji kama sancho, anthony, mount, bissaka, martial, rashford awe na mwendelezo, bruno awe bora kama kawaida, na mabeki lindelof kiwango kiongezeke na confidence.
Then asajili onana na striker mpya, na beki mmoja wa kati....
ETH yuko makini na kila mechi anaichukulia serious.
Aongeze morali ya wachezaji.
akiongeza viwango na motisha tuna squand pana na bora kuliko timu zote isipokuwa man city tu EPL...
hao kina hamis na wengne wengi ni haters tu na maneno mengi but sisi ni bora kuliko hao 2nd wa 2022/2023 na last season overall assessment sisi tumefanikiwa kuliko arsenal lakini wao wamefanya improvement kubwa kuliko Sisi ndio maana hata wao wako excited na last season sababu ni rapid improvement walioifanya inawapa over confidence na kusema sana.
But ETH ni bora na next season ttakuwa bora sana....trust

Oya hujui ETH kashashindwa kuinua viwango vya kina Sancho, Martial ,?

Huyo Anthony Ni Usajili wake mwenyewe

Hujui kina Sancho, Martial, Fred ,tominay , wamewekwa sokon ?

Sancho alishapelekwa had sober house ,

Halafu last season sio rapid , ukitaka ushahid nakupa ,kabla ya pre season niliweka analysis tunaenda kupigania ubingwa

Na msimu huu tunaingia mazima kupambana
 
Huyu Sancho akija Arsenal atakiwa bonge la winger
20230709_115122.jpg
 
Huyu Sancho akija Arsenal atakiwa bonge la wingerView attachment 2682775
Ukiachana na Sancho hao wengine nawaona wakimaliza mikataba yao iishe ndio waondoke

Tuliposema Onana anakuja kucheza na beki na viungo gani hapo unyumbuni?
Kuna nyumbu mmoja akasema wao wapo vizuri Sana ukiachana na city kwa kuwataja hao wachezaji ambao Leo wamewekwa sokoni
Swali la kujiuliza 7hag yeye ni chizi?

Mbaya zaidi hao wachezaji hawauziki. So sad
 
Back
Top Bottom