King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,980
- 4,942
Utoto ni raha sana hasa ukiwa na elementi za kikePesa walizotoa boss msimu uliopita
Na msimu huu meshusha Mount, Onana, ....
Alafu anaambiwa aachie timu,
Ungekuwa wewe ungekubali?
Mnao mabeki wa kucheza na Onana katika kufanya build up?
Kuna games nyingi msaada wa de gea mkaishia kupigwa 4, 5, 6 na juzi juzi hapa mlikula 7
De gea na Onana Nani yupo vizuri kwenye savings?
Technically nyumbu mmeshatupa taulo ulingoni kabla ligi haijaanza


