Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pesa walizotoa boss msimu uliopita
Na msimu huu meshusha Mount, Onana, ....
Alafu anaambiwa aachie timu,
Ungekuwa wewe ungekubali?

Mnao mabeki wa kucheza na Onana katika kufanya build up?

Kuna games nyingi msaada wa de gea mkaishia kupigwa 4, 5, 6 na juzi juzi hapa mlikula 7
De gea na Onana Nani yupo vizuri kwenye savings?

Technically nyumbu mmeshatupa taulo ulingoni kabla ligi haijaanza
Utoto ni raha sana hasa ukiwa na elementi za kike
 
De gea anaondoka magwaya anabaki
Na nyumbu wote mmelifumbia macho hili swala, kana kwamba it's okey

Casimiro, ericksen bruno, Fred
Hiyo ndio midfielders mnayoenda kuanza nayo kwenye ligi.
Alafu nyumbuz mnaseme ligi ianze tu.
 
De gea anaondoka magwaya anabaki
Na nyumbu wote mmelifumbia macho hili swala, kana kwamba it's okey

Casimiro, ericksen bruno, Fred
Hiyo ndio midfielders mnayoenda kuanza nayo kwenye ligi.
Alafu nyumbuz mnaseme ligi ianze tu.
Hao hao wamemaliza nafasi ya 3 na kombe juu + Fainali ya FA, ukiongeza Mount msimu huu watabeba makombe 2, wewe timu yako ya viungo nyanya ina makombe mangap?
 
Onana + backup GK. Hojlund aje na Martial abaki mpaka next summer. Tukipata pesa kwenye sales tumchukue Amrabat.

Ready for next season!
Onana plus mabeki wenu wake na viungo wanaopoteza mipira

Sitashangaa mkimkumbuka Degea

Mimi nimefurahi Sana maana alikuwa kikwazo mechi zetu nyingi tusiwabonde nyingi ,

Safari hii na asilimia kubwa tunawapiga 3+
 
Nikimfikiria Maguire akipsiwa pasi na Onana ndani ya 18… hahahahahh nacheka utadhani madhuri

ETH pls sajiri beki za kuendana na Onana please, well footwork
Sio mabeki tu hata viungo ,ukimtoa Eriksen Nan anaweza kupokea mipira chini na kusambaza bila shida hata akipigwa presha ya maana , hapo ndipo Degea alikuwa anajichukulia point

Sitashangaa lawama zikihama kwa GK, zikaenda kwa kina Bisaka na Casemiro au mount
 
Arsenal fans huwa mnamatatizo sana.
Mtu kaweka hoja mezan ,unaacha kushambulia hoja ,unashambulia personality,

Anauliza kwa mabeki ukitoa Martinez , na Kiungo labda Eriksen Nan ataendana na Onana ,

Kuna ushahidi wa waz save za Degea ziliiweka au kuipa point manjesta kwenye mechi ambazo hakustahili kushinda

Onana sio best kwenye shot stopping hawapishani Sana na Kepa kwa kila kitu

Tuliona Chelsea ilivyopoteana Kiungo ,na mabeki , jinsi Kepa alivyokuwa anachezea Fimbo
 
Huwa mnakuwa wabishi na maneno mengi ya kebehi

Tulisema hivi hivi kuhusu Anthony masebene kuwa pale hakuna mchezaji ,

Leo % kubwa mnakubali pale ulifanyika utapeli
 
sidhani kama ni maamuzi ya ten hag haya. Amekiri mara kadhaa confidently kuwa anahitaji abaki. Nadhani kilichomuondoa kipo nje ya uwezo wa kocha.
@DAEMUSHIN njoo umjibu huyu,namna EtH anafoolish watu akiwa kwenye media.
 
Onana plus mabeki wenu wake na viungo wanaopoteza mipira

Sitashangaa mkimkumbuka Degea

Mimi nimefurahi Sana maana alikuwa kikwazo mechi zetu nyingi tusiwabonde nyingi ,

Safari hii na asilimia kubwa tunawapiga 3+
Ukiwa unataka kucheza modern football unamchagua nani De Gea au Onana?
 
Onana ila awe na mabeki plus viungo wakuendana nae, lasivyo yatakuwa kama ya kepa , Kepa Ni modern GK ,but angalia akicheza na kina kolibaly,
Kikwazo kikubwa cha kucheza modern football, kilikua ni GK.
Lakini pia De Gea, kiwango chake kimeshuka sana miaka ya karibuni.
Hata ile shoot-stopping ability imepungua sana.

Ili ucheze expressed football, GK ni eneo mihimu na la kwanza kulizingatia.
Maana mipango ya timu yote inaanzia kwa GK.
 
Onana plus mabeki wenu wake na viungo wanaopoteza mipira

Sitashangaa mkimkumbuka Degea

Mimi nimefurahi Sana maana alikuwa kikwazo mechi zetu nyingi tusiwabonde nyingi ,

Safari hii na asilimia kubwa tunawapiga 3+
Ndiyo tumeamua, De Gea kiazi tu muda mwingine. Ukitoa shot stopping hana chochote kusaidia timu. Distribution mbovu, cross claims sifuri, DDG muoga sana.

DDG atabaki kuwa legend na tumeiona kazi yake kwa miaka 12. Ni muda wa kujaribu kitu kingine hata tukifeli, no regrets.

Cristiano Ronaldo: “As Picasso said, you have to destroy it to rebuild it and if they start with me, for me, it's not a problem."
 
Halafu si ni wewe juzijuzi ulisema , Ten hag asipobadiri kipa ajiandae kufail anachokipanga?
Kuna sehemu nimekataa mabadiliko ya GK? Point yangu Ni Kama mabek na viungo Ni hao hao ,bado kazi ipo

Onana atapiga pass nzuri ,beki au Kiungo ata pressiwa , turnover yake Ni kushambuliwa
 
Mpira ni ule ule naona mnapaka mafuta eti modern football!!
Hapana! Kuna vitu vimebadilika, kuanzia sheria, namna ya uchezaji, majukumu ya wachezaji uwanjani: full backs, goalkeepers.

Zamani kabisa wakati soka linaanzia England walikuwa wanacheza 2-3-5. Baadae kwenye mapinduzi ya soka la Uingereza wakaongeza beki 1 hadi kuwa 3 sasa hivi inajulikana 3-5-2.

Wadachi nao wakaja kufanya mapinduzi kwa kuleta Totat Football, hapa kila mchezaji alikuwa anaweza kucheza nafasi zote uwanjani (kiraka). Waingereza waliiga na Liverpool walicheza aina hii ya football.

Miaka ya 2000 Hispania nao wakafanya mapinduzi kwa kuja na Tiki-Taka hapa Barcelona wanajulikana kwa aina hii ya uchezaji. Late 90s Johan Cruyff ndiyo alikuwa Barca, ni mtu ambaye Erik ten Hag anamtazama kama role model na legend wa Holland.

Modern football inatazamia kila eneo la uwanja, kufunga na kuzuia. Kutoka kutumia mabeki 2 (ambao kwasasa ni mabeki wa kati) mpaka timu kutumia mabeki 3 wa kati (mfano Chelsea). Pia inahitaji wachezaji walio mahiri kwenye nafasi zao.

Kwenye modern football ndiyo kuna high-pressing, counter-attacking football.
 
Back
Top Bottom