Bagabeach
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 1,351
- 2,786
ETH akiweza kupandisha viwango vya mchezaji kama sancho, anthony, mount, bissaka, martial, rashford awe na mwendelezo, bruno awe bora kama kawaida, na mabeki lindelof kiwango kiongezeke na confidence.
Then asajili onana na striker mpya, na beki mmoja wa kati....
ETH yuko makini na kila mechi anaichukulia serious.
Aongeze morali ya wachezaji.
akiongeza viwango na motisha tuna squand pana na bora kuliko timu zote isipokuwa man city tu EPL...
hao kina hamis na wengne wengi ni haters tu na maneno mengi but sisi ni bora kuliko hao 2nd wa 2022/2023 na last season overall assessment sisi tumefanikiwa kuliko arsenal lakini wao wamefanya improvement kubwa kuliko Sisi ndio maana hata wao wako excited na last season sababu ni rapid improvement walioifanya inawapa over confidence na kusema sana.
But ETH ni bora na next season ttakuwa bora sana....trust
Then asajili onana na striker mpya, na beki mmoja wa kati....
ETH yuko makini na kila mechi anaichukulia serious.
Aongeze morali ya wachezaji.
akiongeza viwango na motisha tuna squand pana na bora kuliko timu zote isipokuwa man city tu EPL...
hao kina hamis na wengne wengi ni haters tu na maneno mengi but sisi ni bora kuliko hao 2nd wa 2022/2023 na last season overall assessment sisi tumefanikiwa kuliko arsenal lakini wao wamefanya improvement kubwa kuliko Sisi ndio maana hata wao wako excited na last season sababu ni rapid improvement walioifanya inawapa over confidence na kusema sana.
But ETH ni bora na next season ttakuwa bora sana....trust

