Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Caicedo na Mount Mount ana vikombe vitatu Caicedo ni 6,8 na RB wakati Mount ni 8,10 na winger.

Mnachuki zisizo na aibu sana baadhi yenu.
Sidhani Kama wana chuki, Mount amefanya vzr sana pale alipocheza juu ya viungo wawili Kante na Kova au kante na Jorginho ,chini ya Tuchel akimuweka juu na Kai kwenye mfumo wa 3-4-2-1/3-4-3

Mount Kama winger hakuwa na madhara yoyote ,Kama no.8 ambapo anacheza Eriksen kwenye double pivot ,mount hakuwa na impact hasa kwenye kusidia defending,

Potter kila alipokuwa anamchezesha no.8 kwenye double pivot ,Chelsea ilikuwa inakuwa dhaifu Sana


Tusubiri tuone ETh atamtumiaje
 
Ile namba huwa kama vile ina laana. Ronaldo alivyoiacha 2009 wachezaji wote walioivaa baada yake hawakufanya vizuri.

Labda alivyorudi mwenyewe kaitolea gundu. Ila Cavani alipiga nayo kazi vizuri tu.
Hiyo namba nashangaa wanaolia kutopewa Garnacho,mimi naona afadhali.

Kuna wachezaji bora capable wameflop vibaya na kufeli na hiyo namba bora afeli Mount ambaye hata sisi hatumuamini kuliko kummaliza kijana Garnacho na presha mapema sana kwa umri wake hiyo jezi ni nzito sana.

Hatutaki kumpoteza kipenzi chetu toka Academy tukaishia kukumbuka ya akina Januzaj
 
Screenshot_20230705-155332.jpg


Hatimaye
 
Hiyo namba nashangaa wanaolia kutopewa Garnacho,mimi naona afadhali.

Kuna wachezaji bora capable wameflop vibaya na kufeli na hiyo namba bora afeli Mount ambaye hata sisi hatumuamini kuliko kummaliza kijana Garnacho na presha mapema sana kwa umri wake hiyo jezi ni nzito sana.

Hatutaki kumpoteza kipenzi chetu toka Academy tukaishia kukumbuka ya akina Januzaj
Mashabiki huwa wanalia vitu vya kijinga sana, hasa kule Twitter. Yani mtu anaumia kabisa Mount kupewa #7 kisa Ronaldo aliwahi kuivaa.

Wamevaa wakina Owen, Sanchez siyo ajabu Mount kuivaa.
 
Dili la Mount limeonyesha ni jinsi gani hatupati taarifa zote kuhusu usajili.

Video ya Mount kuwaaga Chelsea imerekodiwa mwezi 1 uliopita.
Watu huwa walalamishi tu ,ila sisi wafatiliaji wa usajili huwa tunajua kinachoendelea mpaka deal done


Inaweza kuchukua wiki 2 clubs zinajadili add ons tu ,

Ila mashabiki wanadhani usajili Ni kama vile unavyofanya kwenye FIFA mode au kununua Mitumba pale Karume
 
kwa nini siku ya mwisho ya usajili tunashuhudia dili linamalizwa kwa siku moja?
kwa mantiki hiyo huoni ya kwamba vilabu vinajichelewesha makusudi kufanya usajili kwa haraka
Hizo huwa ni panic buy ,but Kama klabu inataka kufanya Usajili makini kwakuzingatia details mbalimbali atafit vipi kwenye timu, gharama isiwe kubwa , n.k lazima usajili uchukue muda

Ndio maana panic buy nyingi zinafeli au unapigwa Bei kubwa
 
Back
Top Bottom