Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
7hag jasusi la kidachi
Kocha wakawaida huyo ndo maana alipopewa bajeti kubwa hakufanya lolote Sasa wamempa bajeti kiduchu apambane sio kulialiahivo mtu anatolea wapi nguvu ya kusema Ten Hag sio kocha?
Mnakumbuma Amonia walivyotufunga goli msimu uliopita kwasababu ya kutojua wachezaji wasimame wapi wakiwa na mpira na wasipokuwa na mpira...
Maneno sio matendo moja ya waongeaji wakubwa wa theories Rafk Rangnick alipewa nafasi wote tuliona alivyoharibu kabisa...
Ten Hag amejitahidi kwenye vingi sana kuanzia tactical awareness ya wachezaji wetu... Sahizi unaona tusipokuwa na mpira wachezaji wanasimama maeneo sahihi .
Ni mtu sahihi na hii Aina ya mapira amecheza sababu wachezaji wa kucope na aina ya system yake hamna...
Tutafika au mmesahau tumemaliza nafasi ya 3... Kutokea kusema timu nzima iuzwe.
Hata akitaka wahilanzi 30 kama tutaendelea kuimarika awalete
Tatizo lenu hamtaki kuleta facts.Kocha wakawaida huyo ndo maana alipopewa bajeti kubwa hakufanya lolote Sasa wamempa bajeti kiduchu apambane sio kulialia
Fun fact Antony 86£Tatizo lenu hamtaki kuleta facts.
Msimu wa kwanza Gurdiola anatua City alipewa €216.25 akamaliza nafasi ya 3 akiwa hana hata kikombe cha kahawa. Je, hapo Fraudiola alifanya lolote? Au mnamuona EtH tu!
EtH msimu uliopita amepewa United iliyochoka vibaya mno ikiwa chini ya uongozi usioleweka, mezani akawekewa €243.28 kamaliza nafasi ya 3 na kombe la EFL. Hata Gurdiola hii ilimshinda.
Msimu wa pili wa Gurdiola waarabu wakaweka mezani €317m hakuna timu ingeweza kushindana na City maana waliweka levels mpya EPL: 100 points, kwasasa ubingwa wa EPL ukiutaka uwe na kikosi cha kupata points kuanzia 90.
EtH pesa ya usajili aliyopewa mpaka sasa ni €303.28m. Misimu miwili Fraudiola alitumia €538.25m / nusu bilioni na chenchi.
EtH aliwahi kusema "A coach can't perform magic."
It's called business!Fun fact Antony 86£
Ila Man U, Ni utopolo yaani usajili wake haushtui Kama zamani sijui kwa nini?
Sasa hivi tushaacha mambo ya kuokota tu watu. Timu inasajili wachezaji wenye profiles za kucheza kwenye system ya kocha.Ila Man U, Ni utopolo yaani usajili wake haushtui Kama zamani sijui kwa nini?
Ilitakiwa wapigane kwa kina Rice,Caicedo,MacAllister aiseh!
Sasa hivi tushaacha mambo ya kuokota tu watu. Timu inasajili wachezaji wenye profiles za kucheza kwenye system ya kocha.
Caicedo na Mount Mount ana vikombe vitatu Caicedo ni 6,8 na RB wakati Mount ni 8,10 na winger.Ila Man U, Ni utopolo yaani usajili wake haushtui Kama zamani sijui kwa nini?
Ilitakiwa wapigane kwa kina Rice,Caicedo,MacAllister aiseh!
Kapewa namba 7 ???
Kijana kapewa namba 7 duh ataiweza kweliHuu mzigo wa lawama kijana atauweza? 😃
View attachment 2679203
Sidhani Kama wana chuki, Mount amefanya vzr sana pale alipocheza juu ya viungo wawili Kante na Kova au kante na Jorginho ,chini ya Tuchel akimuweka juu na Kai kwenye mfumo wa 3-4-2-1/3-4-3Caicedo na Mount Mount ana vikombe vitatu Caicedo ni 6,8 na RB wakati Mount ni 8,10 na winger.
Mnachuki zisizo na aibu sana baadhi yenu.
Itakuwa kachagua mwenyewe. Ronaldo ni idol wake.Kapewa namba 7 ???
Ile namba huwa kama vile ina laana. Ronaldo alivyoiacha 2009 wachezaji wote walioivaa baada yake hawakufanya vizuri.Kijana kapewa namba 7 duh ataiweza kweli