Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ten hag hana mbinu, hana ushawishi kwa wachezaji, mchezaji yoyote anaesakwa na huyu kipara ni either

*Amewahi mfundisha (hii haina tofauti na Ex, simu moja tu kafika)

*Huyo mchezaji amewahi chezea ligi ya uholanzi

*Au ni mholanzi

Fuatilia sajili zake zote utaniambia
Cry more kijana acha kocha afanye kazi na anaowaamini tutamuwajibisha timu ikifanya vibaya.

Ni timu yetu ndio haina ushawishi kwani kukataliwa na wachezaji na kupigwa si kumezoeleka hata kabla yake kutua.

Kocha ana percentage nzuri kuliko wote waliopita unakaa na taarabu zako kila siku.

Cry more Cry more mzee humtaki nenda Al Nassr utarudi akishafukuzwa
 
Habari mpya zilizozagaa na za chini² toka kwa mtu wa karibu wa Ferdinand tunaweza kusikia update ya takeover muda wowote kuanzia kesho
Hii ndio muhimu kuliko zote. ..ila wakimpa yule muingereza imekula kwao. ..muarabu ndio habari ya mjini kwa sasa
 
Hii ndio muhimu kuliko zote. ..ila wakimpa yule muingereza imekula kwao. ..muarabu ndio habari ya mjini kwa sasa
Yule Muingereza mbona alishafeli bid yake ni illegal shareholders wangewapeleka Glazers na yeye mahakamani
 
hivo mtu anatolea wapi nguvu ya kusema Ten Hag sio kocha?

Mnakumbuma Amonia walivyotufunga goli msimu uliopita kwasababu ya kutojua wachezaji wasimame wapi wakiwa na mpira na wasipokuwa na mpira...

Maneno sio matendo moja ya waongeaji wakubwa wa theories Rafk Rangnick alipewa nafasi wote tuliona alivyoharibu kabisa...

Ten Hag amejitahidi kwenye vingi sana kuanzia tactical awareness ya wachezaji wetu... Sahizi unaona tusipokuwa na mpira wachezaji wanasimama maeneo sahihi .

Ni mtu sahihi na hii Aina ya mapira amecheza sababu wachezaji wa kucope na aina ya system yake hamna...

Tutafika au mmesahau tumemaliza nafasi ya 3... Kutokea kusema timu nzima iuzwe.

Hata akitaka wahilanzi 30 kama tutaendelea kuimarika awalete
 
hivo mtu anatolea wapi nguvu ya kusema Ten Hag sio kocha?

Mnakumbuma Amonia walivyotufunga goli msimu uliopita kwasababu ya kutojua wachezaji wasimame wapi wakiwa na mpira na wasipokuwa na mpira...

Maneno sio matendo moja ya waongeaji wakubwa wa theories Rafk Rangnick alipewa nafasi wote tuliona alivyoharibu kabisa...

Ten Hag amejitahidi kwenye vingi sana kuanzia tactical awareness ya wachezaji wetu... Sahizi unaona tusipokuwa na mpira wachezaji wanasimama maeneo sahihi .

Ni mtu sahihi na hii Aina ya mapira amecheza sababu wachezaji wa kucope na aina ya system yake hamna...

Tutafika au mmesahau tumemaliza nafasi ya 3... Kutokea kusema timu nzima iuzwe.

Hata akitaka wahilanzi 30 kama tutaendelea kuimarika awalete
Kocha wakawaida huyo ndo maana alipopewa bajeti kubwa hakufanya lolote Sasa wamempa bajeti kiduchu apambane sio kulialia
 
Kocha wakawaida huyo ndo maana alipopewa bajeti kubwa hakufanya lolote Sasa wamempa bajeti kiduchu apambane sio kulialia
Tatizo lenu hamtaki kuleta facts.

Msimu wa kwanza Gurdiola anatua City alipewa €216.25 akamaliza nafasi ya 3 akiwa hana hata kikombe cha kahawa. Je, hapo Fraudiola alifanya lolote? Au mnamuona EtH tu!

EtH msimu uliopita amepewa United iliyochoka vibaya mno ikiwa chini ya uongozi usioleweka, mezani akawekewa €243.28 kamaliza nafasi ya 3 na kombe la EFL. Hata Gurdiola hii ilimshinda.

Msimu wa pili wa Gurdiola waarabu wakaweka mezani €317m hakuna timu ingeweza kushindana na City maana waliweka levels mpya EPL: 100 points, kwasasa ubingwa wa EPL ukiutaka uwe na kikosi cha kupata points kuanzia 90.

EtH pesa ya usajili aliyopewa mpaka sasa ni €303.28m. Misimu miwili Fraudiola alitumia €538.25m / nusu bilioni na chenchi.

EtH aliwahi kusema "A coach can't perform magic."
 
Tatizo lenu hamtaki kuleta facts.

Msimu wa kwanza Gurdiola anatua City alipewa €216.25 akamaliza nafasi ya 3 akiwa hana hata kikombe cha kahawa. Je, hapo Fraudiola alifanya lolote? Au mnamuona EtH tu!

EtH msimu uliopita amepewa United iliyochoka vibaya mno ikiwa chini ya uongozi usioleweka, mezani akawekewa €243.28 kamaliza nafasi ya 3 na kombe la EFL. Hata Gurdiola hii ilimshinda.

Msimu wa pili wa Gurdiola waarabu wakaweka mezani €317m hakuna timu ingeweza kushindana na City maana waliweka levels mpya EPL: 100 points, kwasasa ubingwa wa EPL ukiutaka uwe na kikosi cha kupata points kuanzia 90.

EtH pesa ya usajili aliyopewa mpaka sasa ni €303.28m. Misimu miwili Fraudiola alitumia €538.25m / nusu bilioni na chenchi.

EtH aliwahi kusema "A coach can't perform magic."
Fun fact Antony 86£
 


Flash Back

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Mount ni mwekundu rasmi
1688551469791.jpg
 
Back
Top Bottom