Al-Hadidy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 1,413
- 3,078
Cry more kijana acha kocha afanye kazi na anaowaamini tutamuwajibisha timu ikifanya vibaya.Ten hag hana mbinu, hana ushawishi kwa wachezaji, mchezaji yoyote anaesakwa na huyu kipara ni either
*Amewahi mfundisha (hii haina tofauti na Ex, simu moja tu kafika)
*Huyo mchezaji amewahi chezea ligi ya uholanzi
*Au ni mholanzi
Fuatilia sajili zake zote utaniambia
Ni timu yetu ndio haina ushawishi kwani kukataliwa na wachezaji na kupigwa si kumezoeleka hata kabla yake kutua.
Kocha ana percentage nzuri kuliko wote waliopita unakaa na taarabu zako kila siku.




Cry more Cry more mzee humtaki nenda Al Nassr utarudi akishafukuzwa














