Al-Hadidy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 1,413
- 3,078
Kuvunjia mkataba sio easy sana hasa kwa mishahara wanayopokea na hicho kitu either Glazers ama akitokea mmiliki mpya sidhani kama wataweza kukifanya maana inahitajika pesa si kidogo.kwa budget ya usajili ya man utd ;kama wachezaji wao hawauziki sokoni ili kuweza kusajili wengine.. njia nyingine kwa kipindi hiki waitumie ni kuwavunjia mikataba tu na kuangalia kwenye academy yao iwapo wachezaji wazuri wapo wwapandishe snr team..
iyo pia unakuwa umefanya investment tofauti na kwenda kusajili wengine na kuwalipa mishahara mikubwa.
Mtu kama Martial akikataa kuondoka waangalie alternative yupo mwaka wa mwisho wa mkataba,Maguire wakati anatua alisaini mkataba mrefu sana nadhani unaisha 2027 huyo ndio wamtoe kilazima akikataa kuuzwa maana mishahara ndio inawatamanisha,Ralf alishasema wakati ndio anaanza kazi kuwa failure yetu kubwa imetokana pia na mikataba ya wachezaji.
Kuna muda unatamani uuze wachezaji mizigo ili ufanye replacement ila sasa mikataba inawabeba na wanajaza nafasi tu za wachezaji bila faida.
Navutiwa na anachokifanya Todd pale Chelsea mikataba mirefu ila mishahara sio mirefu,hapo hata wakilflop wanauzwa kirahisi,ila kwetu mtu mzigo anapokea €250k per week hata akikaa benchi hana hasara kwake.
Tutaona kama hiyo ruthless way inaweza kutumika.
| Manchester United are operating under takeover uncertainly, strict FFP regulations which means they’re operating around £100m net spend in mind. 


